Wizi wa matela CRDB

Wizi wa matela CRDB

Sina hamu. Mwezi uliopita nililambwa laki moja Bariadi mkoani Simiyu. Sina hamu kabisa. Hili jambo la wateja kulizwa CRDB walitazame.
 
Sehem kama hii watu kama nyinyi hamkosekani! eti nyekundu tano fix ili na wew uonekane una hela kuchafua kazi za watu hapo unapo sema wew wapo vizur zaid ya unavyo vifikiria wew!

utakuwa mojawao wewe, si bure!
 
Mm kuna cku nilienda KCB kuchukua pesa. Uhii teller alinikata 900 et hana change. Eeh nikampa karatas nikamwambia mbona exchange rate inasema nipate hii pesa mbona haijatimia? Ooh nimekosa chenji nikamtel nina mia hapa nipe buku yangu. Ndio akanipa . aliona aibu cz watu walikuwepo pemben . hata mia siachi aisee
 
sitasahau CRDB bukoba mwaka 2005,nilitoa hela vizur tu kuja mtaa flani nikanunua raba,nafika tu home nakuta ujumbe natafutwa jamaa wa duka anasema nilimpa hela feki bahat ule mji ni mdogo na kaka yangu alikuwa anajulikana bila hivyo wangenipa kesi,Leo sasa mmenifungua kichwa nin kilitokea Hawa jamaa baadhi wanakuwa hadi na feki,halafu wanajisikia balaa
 
Kuna siku nlkw nadeposit 750,000 pale crdb premier. Kuna mdada m1 mweupe akazichambua then akaweka katika mashine ya kuhesabia halafu akabonyesha 74 katika vile vitufe ili ikifika 740,000 ngoma isimame. Alifanya hivyo haraka mno huku akijichekelesha kwangu. Basi baada ya mashine kumaliza kuhesabu akasema bado 10 moja ziko 740,000. nilimjia juu nikamwambia mimi nishafanya kazi ya uteller naomba pesa irudi au niende kwa meneja yule pale. Akajichelesha tena akajirudia kihesabu mara hii zikatimia. Aliona aibu sana nikasepa zangu.
 
Kuna siku nlkw nadeposit 750,000 pale crdb premier. Kuna mdada m1 mweupe akazichambua then akaweka katika mashine ya kuhesabia halafu akabonyesha 74 katika vile vitufe ili ikifika 740,000 ngoma isimame. Alifanya hivyo haraka mno huku akijichekelesha kwangu. Basi baada ya mashine kumaliza kuhesabu akasema bado 10 moja ziko 740,000. nilimjia juu nikamwambia mimi nishafanya kazi ya uteller naomba pesa irudi au niende kwa meneja yule pale. Akajichelesha tena akajirudia kihesabu mara hii zikatimia. Aliona aibu sana nikasepa zangu.

Malalamiko mengi naona ni ya CRDB.. Aisee wafanyie kazi hili jambo..
 
Jamani muwe macho sana mnapowapa matela wa CRDB hela. Kuna huyu mmoja hapa Mbezi Mwisho, kijana wa kiume mweupe, ukimpa hela wakati wa kudeposit anazichanganya fasta na nyingine halafu wakati anazihesabu na mashine anakuambia mara kumi moja hamna, jana nilimpa mamilioni ya pesa cha ajabu aliniambia hamsini nzima imepelea. Nilitaka kuanzisha vagi lkn nikaona what is fifty thousand to me.

Nimemuwekea mtego huyu kijana. Mtanisoma kwenye magazeti.[/SIZE][/QUOTE]
 
Jamani muwe macho sana mnapowapa matela wa CRDB hela. Kuna huyu mmoja hapa Mbezi Mwisho, kijana wa kiume mweupe, ukimpa hela wakati wa kudeposit anazichanganya fasta na nyingine halafu wakati anazihesabu na mashine anakuambia mara kumi moja hamna, jana nilimpa mamilioni ya pesa cha ajabu aliniambia hamsini nzima imepelea. Nilitaka kuanzisha vagi lkn nikaona what is fifty thousand to me.

Nimemuwekea mtego huyu kijana. Mtanisoma kwenye magazeti.

Kaka pole sana,
Mimi nimekumbana na tatizo kama lako lakini ni NMB,mimi nilichokifanya ni ku report NMB makao makuu kupitia email ambayo waliyaweka humu jamii forum,na nashukuru respond ni nzuri wanashughulikia,mimi niko mkoani lakini ametumwa mtu kutoka makao makuu kunifuata na kunihoji,kwa sasa wapo kwenye hatua ya ku trace haya matukio kupitia camera zinazofungwa bank (CCTV).
Nakushauri fanya kama nilivyofanya hunasababu yakutengeneza mtego wakati mitego ilishategwa na naamini Camera zitakua zimenasa hili tukio.
 
Huo mtego sitakuwekea hapo kazini kwako benki. Nakuwekea huku mtaani hadi uhame mtaa.
Hujanijua wewe. Nilimhamisha traffic mmoja mnyakyusa pale Lushoto. Nilimwambia nitamwekea mtego akajua ni mtego wa hela. Alipewa bia za ofa asubuhi alijikuta mtaroni hana nguo na huku nyuma kuna mafuta mafuta meupe kama makamasi. Hakusubiri uhamisho...barua ya uhamisho ilimfuata nyuma....
ulevi noma, ndo maana pombe mimi huwaga sinywi... Ko mkuu traffic ndo tayar Asha. Firw. A hapo... Duuuh
 
Huo mtego utakamata panya! maana ashasoma atachukua tahadhali!
 
Hello wanaJf nipo hapa kusikiliza kilio chenu naombeni list ya matawi CRDB yanaongoza kwa uwizi kwa wateja,Ili tukaifanyie kazi ntawashukuru kwa kunipa feedback.
 
Hello wanaJf nipo hapa kusikiliza kilio chenu naombeni list ya matawi CRDB yanaongoza kwa uwizi kwa wateja,Ili tukaifanyie kazi ntawashukuru kwa kunipa feedback.

Kwa haraka haraka ni Mbezi Mwisho., Premier, waterfront, lumumba, huko mikoani ndio karibia yote ni wezi..dah kazi kweli kweli...
 
Mimi siku teller akiniibia,tutagawana majengo ya serikali aisee,me ntaenda jela nae atalazwa hospitali.pesa watu tunaipata kwa tabu hvi,afu ye aje achukue kiulaini tu.
 
Mwaka juzi niliibiwa dola 800 crdb mbezi beach. Nilighafilika sana. Nilienda hadi kwa meneja wa tawi maana najua 1000% Teller hakunipa zile pesa, lkn haikusidia zaidi ya kuambiwa ni kosa langu kuondoka teller booth bila kuhakikisha pesa zimetimia. Wtf! Hadi leo nikikumbuka naona uchungu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom