Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,293
- 6,902
Haya nenda nadakue ni nani alizikwapua Pesa za Gadafi kisha akamroga Balozi hadi akajiua mwenyewe na Ushahidi ukapotea?? Nenda kamuulize Boss wako Membe alifanya fanyaje hadi Leo hii kashifa haikufika Bungeni? au kwa kuwa Membe ni Rafiki wa Mengi ndiyo maana ngoma iliminywa kimya kimya? Ebu kapige Udaku hapo tuone.
Kama mpaka sasa unawaza katika kurogana, basi Tanzania kazi inayo! Yaani karne hii unaleta mambo ya kuamini katika kurogana? Hebu hamisha akili yako toka hapo ilipo ili uende sawa na wakati. Kwanini unaniletea habari za Membe mkuu? Mbona sina link naye?
Ova