Una uhakika kuwa huyu ni ndugu wa Nalaila Kiula! Mwacheni mzee wa Watu alikuwa mwadilifu lakini alitolewa Kafar n Wariob ,
Huyu anafikiri hatukumbuki Ndugu yake akifungwa kwa RUSHWA ...imagine akahongwa viti senti vidogo ...na Vibasi ..sijui vikiitwa BNNN ..Viki ply Mwenge - Posta ...na mkewe akapigwa safari ya Kuosha masho Japan ....all that at expense of DAR ES SALAAM ROAD UPGRADE MAINTANCE PROGRAM ....YA MID 90s....
Mwenzake Eng Mlingwa ...mjanja Siku hizi ni mkulima mkubwa tu wa miwa ....yeye ni mtumishi wa kwa mama rwaks
Acha awadanganye wenzake nao wakanyee DEBE Segerea Kama Mzee wao