Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
Albert Marwa amemuoa mtoto wa alhaji???
Hii nchi ukioa mtoto wa rais na wewe unakuwa rais.tazama huyu ni mkwe tu wa rais.mtoto wa rais je anapiga mabulungutu mazito kiasi gani
Huyo inaelekea kichwani kweupe.Mkuu, hata ID yako unaikosea!
Ni yupi sasa katika picha?Wewe acha tu, watu wanajua kujipenyeza!
Duh kumbe, ngoja nipeleke posa kwa yule aliepata division four kipindi kile,. Sijui bado yupo
Duh kumbe, ngoja nipeleke posa kwa yule aliepata division four kipindi kile,. Sijui bado yupo
hii familia ya jk kiboko yaani ktk watoto wote ns familia zote za marais tz hawa wamejuaa kutafuna nchiWewe acha tu, watu wanajua kujipenyeza!
Wana JF wakati wa mjadala wa escrow mbunge wa ubungo mh John Mnyika alimtaja Albert Marwa kama mnufaika wa ufisadi wa ubadhirifu wa mabilioni ya walipa kodi kwenye scandal ya Tegeta Escrow.
Pia katika mitandao ya kijamii albert anahusishwa na uhusiano wa karibu na familia ya Kikwete. Hii inaonyesha wazi kbs familia ya rais kwa kutumia nafasi ya rais ndio inayotumika kufanya ubadhirifu serikalin kwa kumhusisha Albert Marwa pamoja na Ridhwani Kikwete,.................................
Mungu ibariki Tanzania
Mkwe wa Rais
Nchi imekosa mwelekeo,ubadhirifu huu wa tegeta escrow ni cancer itakayoua wote waliohusika na uharamia huu na itaanza na Kikwete,watz wapoteze maisha kwa kukosa dawa ilihali rais anashiriki kwenye ubadhirifu huu,ni nani wa kuisemea nchi hii iliyobaki kuwa shamba la bibi?
Cancer hii imeanza na Kikwete sasa itakula kila aliyehusika na dhambi hii
Mkwe wa mkuu wa kaya, Mkewe ni share holder wa simba trust
Haswa, hatujui kama alisilimishwa baada ya kumchukua binti Kikwete.Albert Marwa amemuoa mtoto wa alhaji???
Hii nchi ukioa mtoto wa rais na wewe unakuwa rais.tazama huyu ni mkwe tu wa rais.mtoto wa rais je anapiga mabulungutu mazito kiasi gani