Wizi wa Escrow: Albert Marwa ni nani?

Wizi wa Escrow: Albert Marwa ni nani?

Ni yupi sasa katika picha?

attachment.php


Getstart, katika hiyo picha kuna wafuatao;


  1. [*=center]Wa kwanza kushoto ni Khalfan Kikwete.
    [*=center]Wa pili ni Albert Marwa.
    [*=center]Wa tatu ni Ridhiwani Kikwete.
    [*=center]Wa nne ni Balozi wa China, Mh. LU Youqing
    [*=center]Wa tano ni mke wa Balozi huyo.
    [*=center]Wa sita ni Khalifa Kikwete
    [*=center]Wa mwisho kulia ni Salum Kiba.


Kwa wasiomfahamu Salum Kiba ni huyu hapa chini akipata ushauri wa First Lady;

SMK+2.jpg


Salum Kiba ni kamanda wa UVCCM.
 
Mkuu unajua mzee Marwa
alikuwa ni mzee ambaye alikuwa na huruma sana kalea watoto wengi ambao
sio wake,nakumbuka pia alikuwa akiishi na Mzee mmoja emoro akiitwa mzee
Hassan,na huyu mtu alikula raha kama askari mwenye cheo na alikuwa
akienda nao popote aendepo Mzee marwa alikuwa ni mweupe pee hata watoto
zake ni weupe namkumbuka mtoto wake nmmoja wa mwisho mwisho anaitwa
James Marwa alikuwa anafanya CRDB sijui siku hizi yupo wapi.Watoto wa
Marwa hawajificha na walikuwa wanapenda sana kutembea kwa group.

Ile familia ya Mzambarauni Gongo la Mboto, karibu na shule ya msingi ina uhusiano gani na Mzee Marwa?
 
attachment.php


Getstart, katika hiyo picha kuna wafuatao;


  1. [*=center]Wa kwanza kushoto ni Khalfan Kikwete.
    [*=center]Wa pili ni Albert Marwa.
    [*=center]Wa tatu ni Ridhiwani Kikwete.
    [*=center]Wa nne ni Balozi wa China, Mh. LU Youqing
    [*=center]Wa tano ni mke wa Balozi huyo.
    [*=center]Wa sita ni Khalifa Kikwete
    [*=center]Wa mwisho kulia ni Salum Kiba.


Kwa wasiomfahamu Salum Kiba ni huyu hapa chini akipata ushauri wa First Lady;

SMK+2.jpg


Salum Kiba ni kamanda wa UVCCM.

Kiba ni nani kwa tusiomfahamu?
 
attachment.php


Getstart, katika hiyo picha kuna wafuatao;


  1. [*=center]Wa kwanza kushoto ni Khalfan Kikwete.
    [*=center]Wa pili ni Albert Marwa.
    [*=center]Wa tatu ni Ridhiwani Kikwete.
    [*=center]Wa nne ni Balozi wa China, Mh. LU Youqing
    [*=center]Wa tano ni mke wa Balozi huyo.
    [*=center]Wa sita ni Khalifa Kikwete
    [*=center]Wa mwisho kulia ni Salum Kiba.


Kwa wasiomfahamu Salum Kiba ni huyu hapa chini akipata ushauri wa First Lady;

SMK+2.jpg


Salum Kiba ni kamanda wa UVCCM.


Huyo wa kwanza kushoto ni KIWADINYO

hapo wamepiga picha na RAIS WA CHINA XI JINPIN na MKEWE PENG LIYUAN

Xi-Jinping-wife-Pe_2517570b.jpg
 
Wewe ni Bingwa Mtetezi wa kukariri? Yaani umekariri mpaka umepitiliza, hivi unazijua sababu za Sofia kuachika?alimuumiza roho sister yupi? Uwe Unakisoma ulichokiandika kabla haujakileta hapa jukwaani. Kwanza Marehemu Mang'enya hakuwa Waziri bali alikuwa Ni Kamanda wa JWTZ akiwa na cheo cha Maj General .
Yes alliba mchumba wa mtu .saa Hizi yupo chaliiii Barclay
 
Mkitaka kumjua huyu mtu na kama usalama wa Taifa hili kweli wako serious na wanafanya kazi kwa uadilifu halisi nawapa tip ni hivi waanzie kuchunguza Maisha yake huyu tangu Singida miaka ya 1985 wakati baba yake wa kufikia major General Mwita Marwa alipokuwa mkuu wa Mkoa wa Singida ni tapeli la kutupwa na timu yao ya kina Raymond Shauri.Lakini kama nchi ndio hii unategemea nini.Na hata wasipoamua kufanya kazi yao iko siku za mwizi ni arobaini tu , japo watasema dua la kuku, imefifkia mpaka kina Shyrose ni wabunge wa East Africa! masikini Tanzania nchi yangu, kuna siku ataingia jambazi ikulu
 
Mkitaka kumjua huyu mtu na kama usalama wa Taifa hili kweli wako serious na wanafanya kazi kwa uadilifu halisi nawapa tip ni hivi waanzie kuchunguza Maisha yake huyu tangu Singida miaka ya 1985 wakati baba yake wa kufikia major General Mwita Marwa alipokuwa mkuu wa Mkoa wa Singida ni tapeli la kutupwa na timu yao ya kina Raymond Shauri.Lakini kama nchi ndio hii unategemea nini.Na hata wasipoamua kufanya kazi yao iko siku za mwizi ni arobaini tu , japo watasema dua la kuku, imefifkia mpaka kina Shyrose ni wabunge wa East Africa! masikini Tanzania nchi yangu, kuna siku ataingia jambazi ikulu

kipindi alucho tawala jk makanjanja wengi wamepewa nafasi......ila wamezitumiaaa, kama kutukamua wametukamus
 
Wewe ndi umepungikiwa akili wanaojua maana wanaongea maana kwa vile wewew huji maana badala ya kuuliza maana unajifanya unaj,ua ama kweli asiyejua maana haambiwi maana, na jambo usillolijua ni usiku wa kiza naona bado uko kizani au akili imekufa kabisa pole sana
 
Wana JF wakati wa mjadala wa escrow mbunge wa ubungo mh John Mnyika alimtaja Albert Marwa kama mnufaika wa ufisadi wa ubadhirifu wa mabilioni ya walipa kodi kwenye scandal ya Tegeta Escrow.

Pia katika mitandao ya kijamii albert anahusishwa na uhusiano wa karibu na familia ya Kikwete. Hii inaonyesha wazi kbs familia ya rais kwa kutumia nafasi ya rais ndio inayotumika kufanya ubadhirifu serikalin kwa kumhusisha Albert Marwa pamoja na Ridhwani Kikwete,ni wazi pia kuwa kwa kuwa hawajakanusha taarifa hizi ni kweli wamesheriki kuangamiza uchumi wa taifa letu changa.

Upotezu wa tsh 321bn za walipa kodi wakati huo unawachangisha watz masikini hela za kujenga maabara ni dhambi kubwa sn, Mh rais Kikwete kokote ulipo hutakwepa dhambi hii kwa kuwa ni mnufaika wa ubadhirifu huu,watz wanapoteza maisha kwa kukosa dawa ilihali serikali yako ikijishughulisha na ubadhirifu wa mali za watz, bado ninaamini kabla hujamaliza mda wako Mungu atawalipa watz masikini wa taifa hili.

Mungu ibariki Tanzania
Haya ni makubwa!!!!
Nimepitia ----------- Forum na nimekuta attachment ikionyesha Gurumo kuhamishiwa dola 50,000 (hamsini elfu).Huyu ni Mnukulu ,mwangalizi mkuu wa Ikulu ya Rais.
Nimevunjika moyo!!
 
N.B.C bank ilifirisiwa na Mengi wa ipp baada ya kukopa mahela kibao kisha akachoma nyaraka zote na kupoteza ushahidi.mengi kama lilivyo jina lake ana Madhambi Mengi sana.

Mengi na ile SKUVI yake VIPi ??? Maana pesa ilikuja kwa waziri Mkuu Msuya ..kwa Ajili ya kusaidia uwezeshaji vijana ...anapewa azisimamie
 
story za watoto wa kotas miaka ya 80-90,nimejaribu kurudi rivasi labda ntapata story ya Antony musuguri,olaa,sijui kaishia wapi huyu chakaramu
 
Majuzi alikuja Rais wa Nakheel .kampuni kubwa zaidi ya Real estate .hawa ndio wajenzi wa ile the Palm na The world
Kwa wale waliofika dubai wanaujua mradi ule.
Kuna kabalozi mdogo pale Dubai mjenga alipewa jukumu la kutafuta wawekezaji kuja kuwekeza pale Tanganyika packers na kigamboni new city.
Huyu mjenga alifanikiwa kumshawishi Rais wa Nakheel kuja Tanzania .
Na jamaa badala ya kumuunganisha na Nssf na nhc akampa huyu albert na kumjulisha ati ni muwekezaki mkubwa wa real estate Tanzania.
Asichojua balozi wetu kuwa waraabu wa UAE ni real business people na hawa jamaa wanasomeshwa USA tu.
Wanajua kabisa bogus deals.
Jamaa katembezwa huku ns kule kaaga anasema anaenda kutafuta pesa za kuwekeza !! Ndio kimoja kakitoa
Nashindwa kuelewa huyu balozi mngeja ilikuwa amuweke mbele huyu Albert ....
Nimeamini huyu Mganda /Mkurya ni kiboko kwa misifa
unnamed%2B%282%29.jpg
 
Mkitaka kumjua huyu mtu na kama usalama wa Taifa hili kweli wako serious na wanafanya kazi kwa uadilifu halisi nawapa tip ni hivi waanzie kuchunguza Maisha yake huyu tangu Singida miaka ya 1985 wakati baba yake wa kufikia major General Mwita Marwa alipokuwa mkuu wa Mkoa wa Singida ni tapeli la kutupwa na timu yao ya kina Raymond Shauri.Lakini kama nchi ndio hii unategemea nini.Na hata wasipoamua kufanya kazi yao iko siku za mwizi ni arobaini tu , japo watasema dua la kuku, imefifkia mpaka kina Shyrose ni wabunge wa East Africa! masikini Tanzania nchi yangu, kuna siku ataingia jambazi ikulu
Wewe una Chuki za wazi wazi kama si Wivu unakusumbua Pia, Tambua kuwa kila Mtu mzima ana Historia yake, japo zipo historia za kweli na za kuzusha kama hizi , Hata wewe mwenyewe watu wakikuzushia historia sidhani kama utakubali, hao Usalama wa Taifa Kama wanapokea Amri yako basi Wambie wakamchunguze aliyemuua Balozi wa Libya kisha akachukuchia Mapesa ya Marehemu Gadafi, wamembie wakawachunguze Sendeka,Kafulila na Zito walichukua tshs ngapi kwa Mengi na Mkono?
 
story za watoto wa kotas miaka ya 80-90,nimejaribu kurudi rivasi labda ntapata story ya Antony musuguri,olaa,sijui kaishia wapi huyu chakaramu

Ni mwaka na kitu sasa tokea Antony afariki nenda katoe pole kabsa.
 
Back
Top Bottom