Wizi wa Escrow: Albert Marwa ni nani?

Wizi wa Escrow: Albert Marwa ni nani?

Bora kufanya yako..kuliko kuchokonoa ya wala nchi.. utaishia kula makombo. Mfyuuuuu
 
Kwikwi hahahaha!mkwe na sehemu ya sandarusi oooh TZ machozi yako kwa nguvu za mola hayataishia baharini kama kilio cha samaki,pole TZ poleni wana TZ
 
hakuna serikali iliyoharibu nchi ya Tanzania kama awamu hii ya nne, sijui kama raisi ajae ataweza kuwashughulikia hawa!
 
mbona hamuulizi profile yake?

Alizaliwa wapi? kasomea wapi? alienda JKT wapi? kazi kafanya wapi? kaoa mara ngapi? ana biashara zipi? makampuni yake ni yepi? pesa alianza kuzipata lini? kwa njia zipi? ana watoto wangapi? anaishi wapi? wazazi wake ni akina nani? ukoo upi? familia ipi? anahusikaje wizara ya fedha? inakuwaje kule china anaigiaje? au connection yake china iko? je anawatunza watoto wake wengine? na anawake wangapi?



lakini swali kubwa zaidi....Je ana security Clarence na hawa jamaa hapa chini?
 
naninibaraka

you have spoken the truth:
Albert pocketed a lot of money from chinese companies as an agent; but all these deals belong to the big boy, jakayain.
In only one deal, the pipeline he pocketed usd 25 million, kept in the middle east

watanzania, kalagabaho!
omg!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
hakuna serikali iliyoharibu nchi ya Tanzania kama awamu hii ya nne, sijui kama raisi ajae ataweza kuwashughulikia hawa!
Pia sijui ataanzia wapi kuisuka upya nchi hii. Wanaotaka urais yawapasa kuangalia na haya wajipime kama wana ubavu wa kuinua uchumi na maisha ya watu. Ikiwa unajiona hutaweza ni bora ukawaachia wengine.
 
.. Stamina vyeo vingi katoaa kwa kujuana...ikulu kajaza ndg na washkaji zake tu, mshauri wake ni ndugu yake
mpaka hapo kuna kiongozi tena zaidi ya uj...nga
 
Last edited by a moderator:
Jamani mbona kama mnang'ang'aniza tu na familia ya rais iwemo kwenye hii scandal??? Waliomo si mliwasikia kina kilaini na wengine?

Kuhusu Albert marwa ni mtoto wa mkuu wa majeshi wa zamani Mzee Mwita Marwa,alimuona salama kikwete dadake riz wanaezaliwa kwa mama mmoja,mama yao alifariki siku nyingi,ili kumuoa salama na kwa taarifa tu Albert ni muislam siku nyingi alibadili dini kabla ya kumuoa salama,walijuana na salama akiwa tayari muislam tena swala tano tofauti na kina riz,
 
Jamani mbona kama mnang'ang'aniza tu na familia ya rais iwemo kwenye hii scandal??? Waliomo si mliwasikia kina kilaini na wengine?

Kuhusu Albert marwa ni mtoto wa mkuu wa majeshi wa zamani Mzee Mwita Marwa,alimuona salama kikwete dadake riz wanaezaliwa kwa mama mmoja,mama yao alifariki siku nyingi,ili kumuoa salama na kwa taarifa tu Albert ni muislam siku nyingi alibadili dini kabla ya kumuoa salama,walijuana na salama akiwa tayari muislam tena swala tano tofauti na kina riz,

Tulikuwa tunawangoja kwa hamu mtoe vichwa vyenu tu tuwakatilie mbali.

Subiri nizame maktaba kwanza.
 
Wakuu Kama haya ni ya kweli kwa nn ccm isimuonye
 
Tulikuwa tunawangoja kwa hamu mtoe vichwa vyenu tu tuwakatilie mbali.

Subiri nizame maktaba kwanza.

kaja kutetea.....ukweli jamaaa kaoa pale kimaslahi tu
dahh kitambo kuna mshikaji mmja alikuwa anaitwa mzaba alikuwa anakaa jirani na kina salama alikuwa anamgegeda huyo dem.....
 
Kwanza albert marwa si mtanzania.historia inaonyesha aliokotwa na bri gen marwa uganda kwenye vita vya kagera na kumtunza kama mtoto wa hiari.halafu leo anatusumbua na pesa zetu
 
Jamani mbona kama mnang'ang'aniza tu na familia ya rais iwemo kwenye hii scandal??? Waliomo si mliwasikia kina kilaini na wengine?

Kuhusu Albert marwa ni mtoto wa mkuu wa majeshi wa zamani Mzee Mwita Marwa,alimuona salama kikwete dadake riz wanaezaliwa kwa mama mmoja,mama yao alifariki siku nyingi,ili kumuoa salama na kwa taarifa tu Albert ni muislam siku nyingi alibadili dini kabla ya kumuoa salama,walijuana na salama akiwa tayari muislam tena swala tano tofauti na kina riz,

Tunashukuru kwa taarifa ya kumtetea huyu kuwadi Albert Marwa lkn watz wa leo wanaelewa kuwa tasisi ya rais ni taasisi nyeti ,lkn leo ikulu umekua sehemu ya kupigia deal na kufanya ubadhirifu kama wa escrow nk, hakuna wa kukemea

Albert and ridhwani coy mnafuja rasimali za watz kwa mgongo wa rais ili mkumbuke tu kuwa mda wenu wa kuiba unafikia ukingoni na tutakutana mitaani mda si mrefu,Mungu hadhiakiwi hata siku moja atahukumu kwa niaba ya watz wote waliopoteza maisha kwa kukosa dawa,

hawana uwezo wa kutibiwa kwenye hosp kama john hopkins lkn angalau hosp za ndani pamoja na huduma duni lkn angalau wapate dawa,haingii akilini serikal kupoteza 321bn wakati huo huo mnawachangisha masikini ujenzi wa maabara na zahanati hii ni laana itawatafuna popote mlipo!
Mungu ibariki Tanzania
 
Jamani mbona kama mnang'ang'aniza tu na familia ya rais iwemo kwenye hii scandal??? Waliomo si mliwasikia kina kilaini na wengine?

Kuhusu Albert marwa ni mtoto wa mkuu wa majeshi wa zamani Mzee Mwita Marwa,alimuona salama kikwete dadake riz wanaezaliwa kwa mama mmoja,mama yao alifariki siku nyingi,ili kumuoa salama na kwa taarifa tu Albert ni muislam siku nyingi alibadili dini kabla ya kumuoa salama,walijuana na salama akiwa tayari muislam tena swala tano tofauti na kina riz,

Mkuu,ni mtoto wa hiari aliyeokotwa na Mzee Marwa vitani Uganda,hivyo Mzee Marwa hawajui wazazi wa Albert wala Albert hawajui the real wazazi wake
 
naninibaraka
Hizo ni Tetesi tu , hizo Pesa za IPTL zimejaa Tetesi kibao hivi sasa imekuwa kama sitofahamu kila Mtu anahisiwa hata akina Mbowe, Slaa na wabunge kibao nao kuna Tetesi wamekula hiyo Pesa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom