Wizi wa Escrow: Albert Marwa ni nani?

Wizi wa Escrow: Albert Marwa ni nani?

naninibaraka

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2011
Posts
910
Reaction score
669
Wana JF wakati wa mjadala wa escrow mbunge wa ubungo mh John Mnyika alimtaja Albert Marwa kama mnufaika wa ufisadi wa ubadhirifu wa mabilioni ya walipa kodi kwenye scandal ya Tegeta Escrow.

Pia katika mitandao ya kijamii albert anahusishwa na uhusiano wa karibu na familia ya Kikwete. Hii inaonyesha wazi kbs familia ya rais kwa kutumia nafasi ya rais ndio inayotumika kufanya ubadhirifu serikalin kwa kumhusisha Albert Marwa pamoja na Ridhwani Kikwete,ni wazi pia kuwa kwa kuwa hawajakanusha taarifa hizi ni kweli wamesheriki kuangamiza uchumi wa taifa letu changa.

Upotezu wa tsh 321bn za walipa kodi wakati huo unawachangisha watz masikini hela za kujenga maabara ni dhambi kubwa sn, Mh rais Kikwete kokote ulipo hutakwepa dhambi hii kwa kuwa ni mnufaika wa ubadhirifu huu,watz wanapoteza maisha kwa kukosa dawa ilihali serikali yako ikijishughulisha na ubadhirifu wa mali za watz, bado ninaamini kabla hujamaliza mda wako Mungu atawalipa watz masikini wa taifa hili.

Mungu ibariki Tanzania
 
unnamed%2B(2).jpg
 
hyu jamaa alijipenyeza tu ili awe ktk familia ya j.k
ili dili zake ziende sawa......

Nchi imekosa mwelekeo,ubadhirifu huu wa tegeta escrow ni cancer itakayoua wote waliohusika na uharamia huu na itaanza na Kikwete,watz wapoteze maisha kwa kukosa dawa ilihali rais anashiriki kwenye ubadhirifu huu,ni nani wa kuisemea nchi hii iliyobaki kuwa shamba la bibi?
Cancer hii imeanza na Kikwete sasa itakula kila aliyehusika na dhambi hii
 
naninibaraka

Wakati Ukimuulizia Marwa Ni Nani Kwanza Na Sisi Pia Tuambie Miraji Na Salama Kikwete Ni Watoto Wa Nani Na Pesa Walizoziweka Australia Wamezipata Wapi

Na Pia Utuambie Yule Kanali Jakaya Mrisho Kikwete Wa 1995 Kisha 2005 Ni Yupi? Albert Marwa Anapatikana Kwa Wancholi Na Wachanka Tarime Nenda Wakagugawane Minyama Yako Hiyo Kama Butcher!
 
Last edited by a moderator:
Wakati Ukimuulizia Marwa Ni Nani Kwanza Na Sisi Pia Tuambie Miraji Na Salama Kikwete Ni Watoto Wa Nani Na Pesa Walizoziweka Australia Wamezipata Wapi Na Pia Utuambie Yule Kanali Jakaya Mrisho Kikwete Wa 1995 Kisha 2005 Ni Yupi? Albert Marwa Anapatikana Kwa Wancholi Na Wachanka Tarime Nenda Wakagugawane Minyama Yako Hiyo Kama Butcher!

IKULU ni taasisi kama imegeuka kuwa pango la walanguzi ni nani wa kuisemea? Ni mimi,wewe na wengine,uingozi ni dhamana kama Rais hakemei wala kuchukua hatua kwenye uchafu huu wa escrow kwa maana ya haraka ni sehemu ya uchafua huu,wakati wa kashfa ya EPA hakuchukua hatua zaid ya kusema waliochukua pesa warudishe,

Mungu wetu ni mwaminifu hakuna amtakiaye mwenzake mabaya ila kwa hili Kikwete asipowajibika kwa watz atawajibika kwa Mungu,na Mungu atajibu hili kwa watz waliokosa dawa ilihali watu wakigawana 321bn
 
Hii nchi ukioa mtoto wa rais na wewe unakuwa rais.tazama huyu ni mkwe tu wa rais.mtoto wa rais je anapiga mabulungutu mazito kiasi gani
 
Back
Top Bottom