Wizi wa Escrow: Albert Marwa ni nani?

Wizi wa Escrow: Albert Marwa ni nani?

Kaka huyo sio mtoto wa Mzee Marwa ili kalelewa na mzee Marwa,huyu jamaa hapo nyuma alikuwa mwanzilishi wa radio ya kiisalamu,kwa Marwa hakuna Mwislamu,kama mna bisha kuna mtoto wake mzee Marwa alikuwa anafanya kazi CRDB sijui kama baado yupo na watoto wa Mzee Marwa wote wananfanana na hakuna mweusi tii kama huyo mkwe

Uko sahihi, kalelewa tu na Mzee Marwa. Sio mtoto wake kabisa.
Ova
 
Hayo yote unayoyasema leo hii unayasikia kwa sababu demokrasia imekithiri.

Yote hayo yalikuwepo toka zamani lakini ulikuwa huyasikii na huwezi kuchukuwa hatua lakini leo unayasikia na unaweza kuchukuwa hatua na unaziona hatua zinazochukuliwa kwa kuwa demokrasia haikuminywa.

Zamani hata kama unayajuwa ilikuwa huna pakuyasemea wala humjuwi ni nani wakuchukuwa hatua, mpaka atangaze Rais au Waziri Mkuu.

Ndio mnavyojidanganya eeeeh? Nani alitoa escort ya kubeba zile bilion 70 kwa magari? Au yalikodishwa magomeni?
 
Hii kitu kama imeanza leo mkuu akiwa madarakani, ajue atazeeka nayo. Itamfuata popote pale atakapojificha. Awamu ya nne wizi mtupu...mabilioni ya Kikwete yalienda wapi? Madawa ya kulevya ndio biashara pendwa ya baadhi ya mabilionea wetu....poaching imefikia sehemu mpaka dunia nzima inaulizia integrity ya wanaotuongoza!!! Halafu unasikia deal kama hii ya Escrow basi ujue ndio imefika kikomo...Hakuna marefu yasiyo na ncha.

Wanajisikiaje wagonjwa wanapokufa kwa kukosa dawa mahospitalini??? Ndio uongozi uliotukuka na zaidi ya Mwalimu Nyerere wa kuibia watanzania????!!!

FaizaFoxy muanze kujiandaa mana kama pesa zilienda Ulaya na Marekani watu wakadhani wamezificha wanapoteza muda...
Kama NBC na mzee Ben. Ndio maana wale ambao hawakugusa cha mtu kama Mzee Warioba wanao ujasiri wa kuongea mabaya ya nchi hii!

 
Hiyo "mifumo tofauti ya kisiasa" unaipanga na kuitolea maamuzi wewe?

najua unapenda kuwaaminisha watu kuwa kuna mtu/watu unaopenda watambulike kuwa ndiwo "wanapanga na kutoa maamuzi".
and you know as much as I do that you are wrong, Mr.
 
najua unapenda kuwaaminisha watu kuwa kuna mtu/watu unaopenda watambulike kuwa ndiwo "wanapanga na kutoa maamuzi".
and you know as much as I do that you are wrong, Mr.

Hujajibu swali, rudi juu ukasome tena kama umesahau.
 
Picha ya Chenge hujaiona kabeba na nini?


attachment.php

Hapo Chenge hataki msaada kusukuma vijisenti hivyo maana hata Bungeni aliingia mwenyewe kumwaga ----- usiku wa manane

RockSpider Albert Marwa naona ni yule wa pili kushoto aliyevaa tai ya kibluu kabla ya Ritz
 

Attachments

  • CHENGE NA ESCROW.jpg
    CHENGE NA ESCROW.jpg
    76.7 KB · Views: 742
"Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people." - Eleanor Roosevelt

watu wanazungumza mambo wakati hata anologue hkuna .....naona wewe hapo unatoka kapa tu
elewa watu huwa wanazungumziwa tuuu
 
Uko sahihi, kalelewa tu na Mzee Marwa. Sio mtoto wake kabisa.
Ova

Acha hizo ! Usiishi Kwa kukariri ! Kwani wewe huyo unayedai ni baba yako ni Mzazi wako kweli? Pengine si baba yako , mwenye Siri ya Mtoto ni mama pekee na ndiye anayepanga tarehe ya kuzaliwa alikudanganya unakariri hicho hicho, Tambua Marehemu Mzee Marwa alikuwa na wake wengi na Watoto wengi sana , Huo Uzushi wako kaa nao mwenyewe.
 
Kama NBC na mzee Ben. Ndio maana wale ambao hawakugusa cha mtu kama Mzee Warioba wanao ujasiri wa kuongea mabaya ya nchi hii!


N.B.C bank ilifirisiwa na Mengi wa ipp baada ya kukopa mahela kibao kisha akachoma nyaraka zote na kupoteza ushahidi.mengi kama lilivyo jina lake ana Madhambi Mengi sana.
 
Acha hizo ! Usiishi Kwa kukariri ! Kwani wewe huyo unayedai ni baba yako ni Mzazi wako kweli? Pengine si baba yako , mwenye Siri ya Mtoto ni mama pekee na ndiye anayepanga tarehe ya kuzaliwa alikudanganya unakariri hicho hicho, Tambua Marehemu Mzee Marwa alikuwa na wake wengi na Watoto wengi sana , Huo Uzushi wako kaa nao mwenyewe.

Wakati mwingine uwe unawaza kwa kutumia kichwa, maana naona akili yako umeilimbikiza ujinga hadi unakurupuka tu na kuandika matakataka yako bila kujua suala limetokea wapi na kuelekea wapi. Yaani umekurupuka tu kama umetoka kuliwa ndogo, unapost tu uharo wako hapa, hebu achana na mimi. Always huwa naongea navyovijua.
Ova
 
Wakati mwingine uwe unawaza kwa kutumia kichwa, maana naona akili yako umeilimbikiza ujinga hadi unakurupuka tu na kuandika matakataka yako bila kujua suala limetokea wapi na kuelekea wapi. Yaani umekurupuka tu kama umetoka kuliwa ndogo, unapost tu uharo wako hapa, hebu achana na mimi. Always huwa naongea navyovijua.
Ova
Always huwa unaongea anavyojua? Kwa maana hiyo huwa Anaongea kama Punguani Fulani sio? Mimi na ww ni nani anakurupuka? Acha kuishi Kwa kukariri ! Yaani unadhani kila unalokariri ni sahihi ? Kwani wewe ni Mungu ? Usijifanye wewe ni Mungu eti huna mapungufu ! Aina ya watu kama wewe ndiyo mnaomsaidia Membe kuficha Mapesa ya Gadafi kisha mmewasahaulisha watu hadi leo hawahoji juu ya Barozi wa Libya kuijua na Pesa za Gadafi kuchukuchiwa na Membe.
 
Always huwa unaongea anavyojua? Kwa maana hiyo huwa Anaongea kama Punguani Fulani sio? Mimi na ww ni nani anakurupuka? Acha kuishi Kwa kukariri ! Yaani unadhani kila unalokariri ni sahihi ? Kwani wewe ni Mungu ? Usijifanye wewe ni Mungu eti huna mapungufu ! Aina ya watu kama wewe ndiyo mnaomsaidia Membe kuficha Mapesa ya Gadafi kisha mmewasahaulisha watu hadi leo hawahoji juu ya Barozi wa Libya kuijua na Pesa za Gadafi kuchukuchiwa na Membe.

Andika Balozi sio Barozi, anzia hapo kwanza kujifunza mambo mengine yatafuata!
Ova
 
Wewe MDAKUZI uwezo wako wa Udaku umefika kikomo sasa umebakia kutukana tu ! Kama wewe kweli ni Mdakuzi chipukizi, nakupa kazi sasa maana Naona huna cha kufanya.Nenda kapige Udaku huu => Uliza Zito kavuta Tshs ngapi Kwa Mkono na Mengi ? Pia alipewa tshs ngapi na singasinga ? Kadhalika Piga Udaku kwa Kafulila na Sendeka wamepewa nini na Mengi?? Endeleza udakuzi hadi Kwa Pesa za Gadafi kwa Membe, Pesa za NBC Bank kwa Mengi, Pia Pesa toka Ulaya kujenga vyuo kule Musoma mkono kawambia wananchi alipewa tshs ngapi? Fanya udaku hapo usiishi kwa kulishwa maneno na akina Kim.
 
Andika Balozi sio Barozi, anzia hapo kwanza kujifunza mambo mengine yatafuata!
Ova

Haya nenda nadakue ni nani alizikwapua Pesa za Gadafi kisha akamroga Balozi hadi akajiua mwenyewe na Ushahidi ukapotea?? Nenda kamuulize Boss wako Membe alifanya fanyaje hadi Leo hii kashifa haikufika Bungeni? au kwa kuwa Membe ni Rafiki wa Mengi ndiyo maana ngoma iliminywa kimya kimya? Ebu kapige Udaku hapo tuone.
 
Back
Top Bottom