Muda unaenda hivi sasa ni saa 12 na robo asubuhi misa inaanza saa 8 muhimbili.
Uongozi wa jf hawana ushirikiano kuhusu rambirambi.
Saaa acha tuingie ulingoni ninaomba rambi rambi zote zitume kwa Hornet kwa namba yake hii 0755155782 jina Jacklin Tumain au litasoma jacklin Palangyo.
Tafadhali ukituma kwa wakala au kwa namba yako tunaomba update hapa.
Hiv mnaposemaga uongoz wa jamii forums huwa mna refer kitu gan!? Au wakurugenz na technical stsffs hapo? ( as i assume), Isn't programming (and other admnstrative stuffs) a burden enough hapo JF mpaka mjitie kwenye mambo mengine ambayo ni ya users ambao kwa ma group yao kwa kadiri ya wanavyojuana ndio haswa wanatakiwa kushughulikiana!??Nakubaliana na hili wazo,uongozi wa jf ufanye kitu ambacho kitaonesha utekelezaji wake
Mimi naunga mkono wazo, na R.I.P mrumi mungu Amjalie pepo ya JANATULFIRDOUS. AMEENWanabodi,
Kiukweli mimi ni follower mzuri wa Jukwa la Siasa, halafu majukwa mengine kutembelea mara moja moja.
Sasa jana, kutokana na Tanesco kutufanyia vitu vyake toka asubuhi, kwa wengine umeme ndio kila kitu, hivyo leo nikazianzia mapema tuu ile saa 10 tayari niko viti virefu, by saa 2:00 usiku nimeisha pindua gari, hivyo kufika saa 8 usiku, usingizi umakata. Mtu anabaki kuhesabu kelechi na hizi nyumba zetu za kupanga ambazo hazina siling board, na usiku wa manene ulivyo utulivu, unajikuta unayasikia yanayoendelea chumba cha jirani, kuna sauti na sauti, lakini sauti nyingine kiukweli, usingizi ndio unakata kabisa, nikajikuta naingia MMU, ndio usingizi ukakata kabisa baada ya kukuta taarifa ya kifo cha member maarufu number 1 wa jf kule MMU na Celebrity Forum.
Duh..., japo mimi sio mwanachama active wa celebrity forum, ila jamaa namkubali sana na nimeguswa.
Zamani JF ilikuwa tukipoteza mwanachama, if management ilikuwa inafanya some sort of organisation, nakumbuka msiba wa Regia if tulitengeneza hadi Tshirts na tuka jiorganize hadi kuhudhuria mazishi kule Ifakara, tena kuna member alijitolea gari yake!
Hebu tazameni hapa chini
I don't know what happened now. Should we push for equal treatment during the demise of our members, tuweke system ya ndugu kuripoti kwa jf management kifo cha mwanachama wetu yoyote regardless umaarufu wake, kisha waweke number ya mchango, wana jf kuchangie, na siku ya kuaga jf management iwepo na kukabidhi mchango kwa wakiwa na mtu wa jf atoe neno.
Na kwenye mazishi ya wana jf wa eneo husika wahudhurie kutuwakilisha.
Kwenye mchango wa rambirambi hata tukiweka minimum TZS 1,000 tuu, kwa jinsi tulivyo wengi, hiyo fedha ina kuwa ina impact kubwa na ni faraja kwa familia kujua mpendwa wao alikuwa mwanachama wa mtandao wa jf na jf wanajali.
Na kwa vile wengi wa wana jf wanatumia pen names, ili kuheshimu the unanimity ya marehemu, humu jf tuu ndio atatajwa kwa jina lake la jf, mfano huyu warumi , lakini
pale msibani no one will mention his name, hata kwenye Salaam za jf, hatamkwi popote kwa jina, bali "marehemu alikuwa mwanachama wetu, alijinga jf lini, amechangia mada mbalimbali etc just that, na if members watakao hudhuria msiba, kwa vile kule wataliona na kulijua jina halisi, kanuni yetu na "name calling" iwe strictly observed kumuheshimu marehemu kwa kutolitaja jina lake halisi, maadam humu kwetu alikuwa warumi , then he/she will always be warumi.
Hivyo naomba kutoa wito wa swali kwa sisi wana JF, JF Member are equal, sasa member mwenzetu anapokufa, jee tuanze kuonyesha solidarity kwenye msiba kwa kushiriki na kumuenzi member mwenzetu kama tulivyofanya kwenye msiba wa Regia Mtema?, au tuache tuu hali hii iendelee kwasababu kila mtu na bahati yake na hadhi yake na umaarufu wake?.
Mkuu Maxence Melo , if there is anything jf can do kuhusu huyu fallen hero, let's do something kuonyesha solidarity yetu.
RIP warumi !.
Pasco wa jf, anakulilia.
Paskali
Mkuu uongozi ndo utupe uelekeo na namna ya ufanyikaji wa hili Jambo,humu wengi tunatumia false names,je ikitokea Mimi naanzisha uhamasishaji wa mchango wa msiba wa member wa jf mtaniamini?Hiv mnaposemaga uongoz wa jamii forum huwa mna refer kitu gan!? Au wakurugenz na technical stsffs hapo??( as i assume) .Isnt programming (and other admnstrative stuffs) a burden enough hapo jf mpaka mjitie kwenye mambo mengine ambayo ni ya users ambao kwa ma group yao kwa kadir ya wanavyojuana ndio haswa wanatakiwa kushughulikiana!??
Hili nalo neno. Kwa nia njema kabisa.Wazo zuri sana,tutajuje mtu kafariki?Hebu nisaidieni.
Binafsi naunga mkono hojaTufanye jambo, uko sahihi sana Nsumba Ntale, Pascal Mayalla.
Ni lazima JamiiForums tuwe na utamaduni wetu mzuri wa mshikamano kipindi cha majonzi.
Buriani warumi na Wana JamiiForums wote waliotangulia mbele ya haki.
Mungu awaangazieni mwanga wa milele na kuwapeni pumziko lenye raha.
JF ina members 500K unmaana tuwajari wrote kivipiMarehemu hajui kitu chochote.
Tuweke utaratibu wa kumjali mtu akiwa hai..mengine ni mbwembwe tu.
Si jambo la kupendeza kwa hakika,Wanabodi,
Kiukweli mimi ni follower mzuri wa Jukwaa la Siasa, halafu majukwaa mengine kutembelea mara moja moja.
Sasa jana, kutokana na Tanesco kutufanyia vitu vyake toka asubuhi, kwa wengine umeme ndio kila kitu, hivyo leo nikazianzia mapema tuu ile saa 10 tayari niko viti virefu, by saa 2:00 usiku nimeisha pindua gari, hivyo kufika saa 8 usiku, usingizi umakata. Mtu anabaki kuhesabu kelechi na hizi nyumba zetu za kupanga ambazo hazina siling board, na usiku wa manene ulivyo utulivu, unajikuta unayasikia yanayoendelea chumba cha jirani, kuna sauti na sauti, lakini sauti nyingine kiukweli, usingizi ndio unakata kabisa, nikajikuta naingia MMU, ndio usingizi ukakata kabisa baada ya kukuta taarifa ya kifo cha member maarufu number 1 wa jf kule MMU na Celebrity Forum.
Duh..., japo mimi sio mwanachama active wa celebrity forum, ila jamaa namkubali sana na nimeguswa.
Zamani JF ilikuwa tukipoteza mwanachama, if management ilikuwa inafanya some sort of organisation, nakumbuka msiba wa Regia if tulitengeneza hadi Tshirts na tuka jiorganize hadi kuhudhuria mazishi kule Ifakara, tena kuna member alijitolea gari yake!
Hebu tazameni hapa chini
I don't know what happened now. Should we push for equal treatment during the demise of our members, tuweke system ya ndugu kuripoti kwa jf management kifo cha mwanachama wetu yoyote regardless umaarufu wake, kisha waweke number ya mchango, wana jf kuchangie, na siku ya kuaga jf management iwepo na kukabidhi mchango kwa wakiwa na mtu wa jf atoe neno.
Na kwenye mazishi ya wana jf wa eneo husika wahudhurie kutuwakilisha.
Kwenye mchango wa rambirambi hata tukiweka minimum TZS 1,000 tuu, kwa jinsi tulivyo wengi, hiyo fedha ina kuwa ina impact kubwa na ni faraja kwa familia kujua mpendwa wao alikuwa mwanachama wa mtandao wa jf na jf wanajali.
Na kwa vile wengi wa wana jf wanatumia pen names, ili kuheshimu the unanimity ya marehemu, humu jf tuu ndio atatajwa kwa jina lake la jf, mfano huyu warumi , lakini
pale msibani no one will mention his name, hata kwenye Salaam za jf, hatamkwi popote kwa jina, bali "marehemu alikuwa mwanachama wetu, alijinga jf lini, amechangia mada mbalimbali etc just that, na if members watakao hudhuria msiba, kwa vile kule wataliona na kulijua jina halisi, kanuni yetu na "name calling" iwe strictly observed kumuheshimu marehemu kwa kutolitaja jina lake halisi, maadam humu kwetu alikuwa warumi , then he/she will always be warumi.
Hivyo naomba kutoa wito wa swali kwa sisi wana JF, JF Member are equal, sasa member mwenzetu anapokufa, jee tuanze kuonyesha solidarity kwenye msiba kwa kushiriki na kumuenzi member mwenzetu kama tulivyofanya kwenye msiba wa Regia Mtema?, au tuache tuu hali hii iendelee kwasababu kila mtu na bahati yake na hadhi yake na umaarufu wake?.
Mkuu Maxence Melo , if there is anything jf can do kuhusu huyu fallen hero, let's do something kuonyesha solidarity yetu.
RIP warumi !.
Pasco wa jf, anakulilia.
Paskali
Ukienda ukimpa wakala atume ipo shida gan?Wengine id zetu ni siri.
Naona haya kwenye magrupu ya WhatsApp ya watu wanaofahamiana kabisa inavyokuwa ngumu kutekelezeka. Sembuse hapa ambapo hatujuani kabisa?Pamoja na mapendekezo mazuri ya mawazo kutoka kwa wadau bado ninaendelea kushauri uongozi wa JF kwamba imefika wakati sasa sisi kama wanaJF tukawa na mfuko wa dharura (Emergence Fund) ambao tutakuwa tunauchangia kwa viwango vitakavyokubaliwa, kisha inapotokea mmoja wa wanaJF ametutoka na Uongozi wa JF ukapokea taarifa rasmi zilizothibitishwa basi kiweze kutolewa kiasi cha fedha kama pole ya rambirambi kwa wafiwa/mfiwa kadri itakavyokubaliwa.
Kazi ya Uongozi wa JF ni ku moderate tu hili jambo likae vizuri. Naamini sisi kama wanachama wa JF hili jambo tutaliunga mkono.