ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,712
- 28,262
Kweli una hoja .......Shida ya hiyo iko kwenye uniformity, watu wengine wanafahamika na wengine hawafahamiki, isije kuonekana wanachangiwa wanaofahamika na wasiofahamika hawachangiwi.
kwa mfano kuna memba anaitwa mwakitako humu....
huyu hajulikani kabisa siku akifa ndio ntolee