WaaapiiiiKuna ipy, kuna mwingine mdogo km nakumbuka vizuri alikua msela sana
WaaapiiiiKuna ipy, kuna mwingine mdogo km nakumbuka vizuri alikua msela sana
🤣Semeya acha kutishia watu humu.Bwana mdogo usinilazimishe nitamke neno baya kwako ikawa laana.
Sauh'waah
Nimekwambiaje?Waaapiiii
Acha uzushi kifaranga weweKibajaji alipo anasheherekea. Wanoko wanadai jimbo la mtera lemutuz alikuwa alichukue 2025.
Le mutuz alikuwa above 50.Chini ya miaka 50 bado ni kijana inahesabika.
Punguza shobo na jazba bwana mdogo. Hizi burger za mlenda na dagaa unazokula huko uswaz zisikupe kiburi humu.Nimekwambiaje?
62 yearsLe mutuz alikuwa above 50.
Mi babaako kwanza we mchumbaa kaa kimyaPunguza shobo na jazba bwana mdogo. Hizi burger za mlenda na dagaa unazokula huko uswaz zisikupe kiburi humu.
Sauh'waah
Baba angu wapi we bwana mdogo uliyeanza kula burger 2020sMi babaako kwanza we mchumbaa kaa kimya
Nimewaza wale Wanawe walomtukana tuu,sijui Wana Hali Gani!RIP le mubebez. Mzee malechela anazika tu watoto masikini![]()
Niuze burger 1994 nile 2020 we pumbavu kweliBaba angu wapi we bwana mdogo uliyeanza kula burger 2020s