Baba kiki,kiranga hana hoja za kuthibitisha kama hakuna Mungu.Ikiwa hujui uthibitisho Wenye ithibati,ilikuwaje useme Mungu hayupo.
Mimi Naamini Allah na Qur'an.
Hiyo milango ya fahamu(sense organs),ni nani aliyoifanya ikawa milango ya fahamu.Tumjuwe kwanza aliyefanya iwepo,nani aliyeifanya ikawepo.maxime anasema haiwezekani kukitolea kitu justification kuwa kina exist bila kutumia five sense organs.
Je,wewe unasemaje juu ya hilo?
Kama utakumbuka nimewahi kuleta uzi wa makosa 10 aliyotenda Mungu, kosa la kwanza na kubwa kabisa ni kumuumba Shetani.Kwa nini Mungu alimuumba Shetani ili hali alijua Shetani atakuja kuasi na kumpotosha Binadamu?
Kwa nini Mungu aliumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?
Kwa nini Mungu asingemwekea Binadamu immunity dhidi ya dhambi na dhidi ya mbinu za Shetani?
Angalia ulichojibu 834, ulichoulizwa mwanzoni mwa post no 871 na ulichojibu 875.Wapi?
Unaweza kuweka link au post number?
Mbona unaandika kama ngumbaru kwa neno "kule" bila kuweka kielelezo kama link au post number katika ulimwengu huu wa hyperlink?
Hujui ku link? Hujui kuhesabu?
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
maxime anasema haiwezekani kukitolea kitu justification kuwa kina exist bila kutumia five sense organs.
Je,wewe unasemaje juu ya hilo?
.Itakuwa wewe umekuta mjadala katikati,bila kujuwa umeanzia wapi.Mjadala ni kuhusu Mungu,kuleta mabaya,ili kitu tukijuwe ni kibaya,kuna uthibitisho upi ni kibaya,kilicholetwa na Mungu.
Kwa upande wako jibu la Mabaya yanaonekana kwa wote,yanasababishwa na sisi wanadamu wenyewe.Hilo tetemeko,lisingekuwako ila ni binadamu wenyewe,baada ya kutumia silaha kali za maangamizi,fikiria majaribio ya kurusha silaha kali zilizofanywa na Korea,kwa upande wa Korea wameona ni kitu kizuri,lakini kwetu ni huzuni kubwa,tumepoteza wapendo wetu(usitukumbushe,bado tuna huzuni kubwa).
Maradhi mbalimbali yanaowasumbua binadamu,wataalamu wanatuambia asili yake ni vitu vilivyotengenezwa na binadamu kwa mfano Cancer,Ukimwi,Ebola,Ndui nk.
Ukija upande wa kuzaliwa vilema,wataalamu wa tiba wote wanasema mtoto akizaliwa na kasoro yoyote ni kosa la kibinadamu,ima mama mjamzito amechelewa kwenda clinic au ametumia madawa bila ushauri wa wataalamu wa uzazi.
Nilichojibu ni nini?Angalia ulichojibu 834, ulichoulizwa mwanzoni mwa post no 871 na ulichojibu 875.
Naona unajibu hadi unapoteza mwelekeo wa mazungumzo na unaozungumza nao, Hi ni kwa sababu umechagua njia nyepesi sana ya kuuliza maswali bila kueleza mbadala wa hicho usichokamini hata pale unapohitajika kutoa alternatives zako.
Karibu,
Kwa mujibu wa sheria za nchi kila mtu ana uhuru wa kuabudu chochote anachotaka ata kama anataka kuabudu chura mradi tu asiingilie imani ya mtu mwingine.
Hakuna suala la kuthibitishiana kuwa imani ipi ni ya kweli ama la.
Wapagani wenzako Kenya wamekuja na dai la kitaka neno Mungu liondolewe katika wimbo wa Taifa wa Kenya kwa vile hawamtambui Mungu.Natoa wito kwenu nyie wenye kubisha uwepo wa Mungu muungane mtetee haki zenu hapa Tanzania pia.
Haya maelezo umeyapata wapi?Shetani ni Kiumbe mmoja kati ya zaidi ya Vigintillion ya viumbe wenye utashi walioumbwa na Mungu. Sasa Mungu si mwanadamu Hata aogope kuumba kwa sababu kiumbe kitaasi. Vinginevyo ukubali kuhoji infiniteness of his plans and supernatural intelligency with our finite mind. God did not create the world for robots but for us. Ilikuwa rahisi Kumkabidhi hii dunia Hata Ng'ombe au Panya Kuitawala lakini kwa utashi wake akaamua wewe mwenye uhuru hata wa kuhoji kazi zake uwe ndio mtawala.
hahahaaNilichojibu ni nini?
Utanipaje mimi kazi ambayo unataka kufanya wewe?
Umeshindwa ku copy kitu cha post moja ukakiweka na cha post nyingine na ukaandika objections zako kwa nini sitakiwi kujibu hivyo?
Wewe unayeamini Mungu ambaye ana contradiction imani yako hiyo ina muelekeo wa wapi kama si kwenye uongo?
Kuuliza maswali hata Socrates aliuliza, kuna ubaya gani kama anayeulizwa majibu anayajua?
Unaweza kuweka link au post number?Wapi?
Unaweza kuweka link au post number?
Mbona unaandika kama ngumbaru kwa neno "kule" bila kuweka kielelezo kama link au post number katika ulimwengu huu wa hyperlink?
Hujui ku link? Hujui kuhesabu?
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
kaisha poteza mwelekeo anarukaruka tu, Ila yote haya ni matokeo ya Mungu kumuumba na utashi na uhuru wa kuchagua ambapo angeumbwa BATA au MJUSI asiye na uwezo wa kuhoji wala utashi wala uchaguzi wowote angekuwa amelala anasubiri asubuhi kazi moja tu ya kutafuta chakula na reproduction to propagate Generation yake.Ata hueleweki unasimamia nini?
U have flight of ideas.
1.Mara huamini Mungu yupo
2.Mara unataka uthibitisho wa uwepo wa mungu
3.Mara Declaration of human rights
kaisha poteza mwelekeo anarukaruka tu, Ila yote haya ni matokeo ya Mungu kumuumba na utashi na uhuru wa kuchagua ambapo angeumbwa BATA au MJUSI asiye na uwezo wa kuhoji wala utashi wala uchaguzi wowote angekuwa amelala anasubiri asubuhi kazi moja tu ya kutafuta chakula na reproduction to propagate Generation yake.
Exactly!kaisha poteza mwelekeo anarukaruka tu, Ila yote haya ni matokeo ya Mungu kumuumba na utashi na uhuru wa kuchagua ambapo angeumbwa BATA au MJUSI asiye na uwezo wa kuhoji wala utashi wala uchaguzi wowote angekuwa amelala anasubiri asubuhi kazi moja tu ya kutafuta chakula na reproduction to propagate Generation yake.
Anayesema hakubali kwamba Mungu yupo na kutoa nafasi ya kuthibitishiwa kwamba Mungu yupo na anayesema Mungu yupo nani anasema anajua kitu hapo?hahahaa
Unaweza kuweka link au post number?
umeshapoteza mwelekeo mkuu.
I know nothing except the fact of my ignorance. Socrates, from Diogenes Laertius, Lives of Eminent Philosophers
Kulingana na Socrate, kwa nini usiseme you know nothing about causative agent zaidi Ya Mungu ili utanue ubongo kwa kusaka maarifa zaidi. Pia unatumia uhalali ghani kuamini Socrate practices (470/469 – 399 BC) kuwa sawa huku Unaona za yesu ambaye alikuja baada yake na Kwa kauli zake anarefer Mwanzo na Uumbaji kama ni kitu halisi na ni Kaz ya Mungu. Hata Paulo alipopanda pale kwenye kibweta ambacho kama sio msomi wa logic na philosophy uliotukuka huwezi kusimama hapo(aeropagus), aliwashinda hao Greece philosophers na wengi wakamfuata yeye na Kristo. na hoja aliyowashindia ni Creation na Uwepo wa Mungu Muumbaji. Tafakari
Anayesema hakubali kwamba Mungu yupo na kutoa nafasi ya kuthibitishiwa kwamba Mungu yupo na anayesema Mungu yupo nani anasema anajua kitu hapo?
Katika mstari wa spectrum ya kuamini Mungu yupo unaoanzia perfect 0 kwa wale wanaoamini yupo kabisaa na perfect 100 wasioamini Mungu yupo kabisaa kuna namba tatu haziwezi kuwa perfect. In fact whole number yoyote haiwezi kuwa perfect ukiwa na kifaa cha kuiangalia vizuri zaidi, lakini hapa nitaangalia namba tatu.Sounding very agnostic-ish right there...😀
Ushawahi kusikia kitu kinaitwa "immanent critique" ?Ata hueleweki unasimamia nini?
U have flight of ideas.
1.Mara huamini Mungu yupo
2.Mara unataka uthibitisho wa uwepo wa mungu
3.Mara Declaration of human rights
Una uhakika kwamba wafia dini wengine duniani wanafahamu haya maelezo?Haya maelezo umeyapata wapi?
Una uhakika kwamba wafia dini wengine duniani wanafahamu haya maelezo?
Kwa nini tukihoji mambo ya Mungu mnamtete nyie? kwa nini asijitokeze aje kujibu hizi tuhuma zinazomkabili?
Kama Mungu hakuogopa kumuumba shetani, kwa nini anakataza kazi za shetani? huoni huko ni kumuogopa shetani?
Ungetenda haki kama ungeanza kujibu unachotakiwa ili uulize swali lingine.Anayesema hakubali kwamba Mungu yupo na kutoa nafasi ya kuthibitishiwa kwamba Mungu yupo na anayesema Mungu yupo nani anasema anajua kitu hapo?