'Who created God' is an Illogical Question!

'Who created God' is an Illogical Question!

Is god logical?
Kwakuwa umeshindwa kujimudu kujitambua wewe binafsi.ambaye hupo unajiona na akili unayo.unapata wapi uwezo Wa kutaka kujua Mungu kama yupo .ambaye umuoni !!?? Na mbaya zaidi umesoma habari zote juu yako binadamu mpaka shahada.kulikoni huyu Mungu ambaye ujamsoma habari zake angalau kwa ngazi ya cheti la darasa 2 !!!???
Kwa lugha yangu ya kibantu, "kiranga" maana yake "shetani" kwahiyo sishangai kuona unashabikia kua Mungu hayupo. Pole sana ndugu maana anaekutumikisha tayar kasha hukumiwa.
 
Kiranga una uwezo wa kufanya chochote kile kama ukiamua na kuituma akili yako lazima jambo ulitakalo ulifanikishe.
Mungu ni roho ndani yako.
Una uwezo wa kufanya pembetatu ambayo pia ni duara?

Una uwezo wa kufanya Mungu asiwepo?

Una uwezo wa kufanya roho isiwepo lakini ukawa unaishi?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Unaweza kuthibitisha roho ipo?
 
Kiranga huishi kunishangaza, unatambua uwepo wa mapepo na attributes zao zote. Lakini unashindwa kutambua uwepo wa Mungu alioko ndani yako. Poor you.
Wewe ndiye huishi kunishangaza.

Hata maana ya neno "kama" hujui.

Ingekuwa ni Kiingereza ningekusamehe kwa kuwa ni lugha ya mkoloni imekuja na meli.

Kiswahili nacho udhuru wako ni nini?

Sasa mtu wewe ambaye hujui maanabya neno "kama" ndiye unaweza kujadiliana nami kuhusu falsafa ya dini na uwepo au kuyokuwepo kwa Mungu?
 
Umeshindwa kujibu hoja ya kuthibitisha ubaya uko vipi.Unaruka ruka,wewe huamini kama Mungu yupo,vipi useme ana kitabu,asiyekuwepo anakuwaje na kitabu.
Ndio nikasema,msioamini Mungu hayupo,mnajidanganya,hamuwezi kujenga hoja,mpaka mtumie hoja za Mungu,Mungu mnayesema hayupo.
Uko nusu nusu,mara useme Mungu hayupo,mara unatafuta hoja kutoka kwa huyo Mungu ambaye hayupo.
Sema huna jibu,usione aibu.
Nimekwambia kuua ni ubaya, kuchukua maisha ya asiyetaka kuuawa ni ubaya.

Ndiyo maana sheria za nchi zinakataza kuua.

Hilo halitoki kwenye kitabu chako cha dini ulichokikana.
 
Ni wapi nilisema naamini mungu mwenye cotradiction? Habari za contradiction ni zako wewe.

Wapi nimesema umesema unaamini Mungu mwenye contradiction?

Sijasema umesema unaamini Mungu mwenye contradiction. Nimesema unaamini Mungu mwenye contradiction.

Swali la kuniuliza mimi si nikuoneshe wapi umesema unaamini Mungu mwenye contradiction (kwani sijasema umesema unaamini Mungu mwenye contradiction).

Swali la kuniuliza mimi ni kwa nini nasema unaamini Mungu mwenye contradiction.

The problem of the existence of evil in a world that the omnipotent, omniscient and omni benevolent God created is a big contradiction.

Hujaweza kuiondoa hiyo contradiction. Sio lazima useme unaamini Mungu mwenye contradiction.

Kama unaamini Mungu ana uwezo wote, ana ujuzi wote na ana upendo wote na kaumba huu ulimwengu, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?

That is a big contradiction. You believe in that God. You believe in a self contradicting God.

Can you remove the contradiction?
 
Unataka tuangalie sifa zote za mungu katika kila tukio? maana unajua kuwa mungu ana sifa zaidi ya uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote.

Hapa tunazungumzia ukamilifu ila kama unataka tuzungumzie ukamilifu kwa kuhusisha sifa zote za mungu basi sawa.
Mungu akiwa na contradiction moja tu, uungu wake wote unatiliwa shaka.

Kama wewe ukiwa na kosa moja tu lenye hatia ya kifungo, kutokuwa na hatia kwako kunaondolewa na unafungwa gerezani.

Huwezi kusema "kweli nimeua, lakini niachieni kwa sababu naenda kanisani kila Jumapili".

One contradiction on the part of God removes the claim that his omnipotent, omniscient and omni benelovent.

You have not removed that contradiction.
 
Wewe umekimbia jukumu lako, Jibu kule ulikoishia kwanza ndio uingi huku. Usiwe kama popcon kwenye sufuria la Moto, We need linear discusion
Wapi?

Unaweza kuweka link au post number?

Mbona unaandika kama ngumbaru kwa neno "kule" bila kuweka kielelezo kama link au post number katika ulimwengu huu wa hyperlink?

Hujui ku link? Hujui kuhesabu?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Nimempa mfano mwepesi tu, lakini kitu kingine kwa kuuchunguza ulimwengu, Tunaona relationship kati ya Mungu na Planet Earth tu. Lakini Universe yenye diameter zaidi ya Centrions of Lightyears nalo ni kisio la chini mno. Na watafiti wamegundua tu kama 1/10000000000000000 ya universe. Unajuaje kama Mwajiri anawafanyakazi wengi na wao hawajavunja kanuni na wanaendelea na utaratibu kama dunia ilivyokuwa kabla ya kukiuka maagizo. Bibilia inatupa Summary ya historia ya planet earth as a minute member of complex universe.
Cardinal rule of comparison, compare likes.

Nimekuuliza, mwajiri ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?

Umelinganisha visivyolingana kwa namna ya kama vinalingana.

Umechemsha.
 
Kwakuwa umeshindwa kujimudu kujitambua wewe binafsi.ambaye hupo unajiona na akili unayo.unapata wapi uwezo Wa kutaka kujua Mungu kama yupo .ambaye umuoni !!?? Na mbaya zaidi umesoma habari zote juu yako binadamu mpaka shahada.kulikoni huyu Mungu ambaye ujamsoma habari zake angalau kwa ngazi ya cheti la darasa 2 !!!???
This is a confused non sequitur.

Let me know if you want to know why this is a confused non sequitur.
 
Mungu akiwa na contradiction moja tu, uungu wake wote unatiliwa shaka.

Kama wewe ukiwa na kosa moja tu lenye hatia ya kifungo, kutokuwa na hatia kwako kunaondolewa na unafungwa gerezani.

Huwezi kusema "kweli nimeua, lakini niachieni kwa sababu naenda kanisani kila Jumapili".

One contradiction on the part of God removes the claim that his omnipotent, omniscient and omni benelovent.

You have not removed that contradiction.
Tatizo unalazimisha tukubali hizo unazoita contradiction,hutaki mjadala kuhusu hilo.

Yani wewe ushapitisha kuwa kuna contradictions na unataka sie tukubaliane na wewe halafu ndiyo tuanze kuondoa hizo contradictions.
 
Tatizo unalazimisha tukubali hizo unazoita contradiction,hutaki mjadala kuhusu hilo.

Yani wewe ushapitisha kuwa kuna contradictions na unataka sie tukubaliane na wewe halafu ndiyo tuanze kuondoa hizo contradictions.
OK. Tujadiliane kuhusu contradiction.

Unakubali contradiction ipo?
 
Tatizo unalazimisha tukubali hizo unazoita contradiction,hutaki mjadala kuhusu hilo.

Yani wewe ushapitisha kuwa kuna contradictions na unataka sie tukubaliane na wewe halafu ndiyo tuanze kuondoa hizo contradictions.
Huyo jamaa kama humjui ni pasua kichwa. Huwa hajibu maswali ambayo hajui na analazimisha sana mambo. Kiufupi kaamua kuwa kipofu. Sasa kiziwi-kipofu hata uimbe vizuri namna gani hawezi kusikia na hata kuwe na kizuri kiasi gani hawezi kuona.

Nimemwuliza hapo juu kuwa hizo contradicition, hayo majanga, na mengineyo kwa nini ni vitu vibaya? Yeye haamini kama kuna Mungu sasa ubaya na wema kipimo chake nini? Kama hakuna Mungu kwa nini anataka majadiliano yenye mantiki? Ina maana sisi ni Special? Ina maana sisi si wanyama?

Kiranga ni mtu aliyeamua kuwa kipofu na kiziwi. Usitarajie akusikie hata utumie nguvu kiasi gani kupiga ngoma!
 
Huyo jamaa kama humjui ni pasua kichwa. Huwa hajibu maswali ambayo hajui na analazimisha sana mambo. Kiufupi kaamua kuwa kipofu. Sasa kiziwi-kipofu hata uimbe vizuri namna gani hawezi kusikia na hata kuwe na kizuri kiasi gani hawezi kuona.

Nimemwuliza hapo juu kuwa hizo contradicition, hayo majanga, na mengineyo kwa nini ni vitu vibaya? Yeye haamini kama kuna Mungu sasa ubaya na wema kipimo chake nini? Kama hakuna Mungu kwa nini anataka majadiliano yenye mantiki? Ina maana sisi ni Special? Ina maana sisi si wanyama?

Kiranga ni mtu aliyeamua kuwa kipofu na kiziwi. Usitarajie akusikie hata utumie nguvu kiasi gani kupiga ngoma!
Contradiction ni kitu kibaya kwa sababu mfumo wenye contradiction uko shaghalabaghala na haueleweki. Inaonyesha lack of order, inaonesha uongo.

Ukikubali contradiction haina ubaya, unakubali kuishi kwenye ulimwengu ambao Mungu yupo na hayupo kwa wakati mmoja.

Ukikubali kuishi katika ulimwengu ambao contradiction haina ubaya, umekubali kuishi katika ulimwengu ambao 1=2=3=4=5=6=7 etc, namba hazina maana.

Ukikubali kuishi katika ulimwengu ambao contradiction si mbaya, umekubali kuishi katika mfumo ambao a=b=c=d=f=g=h=...z.

Hebu niendelee kuandika post hii kwa mfumo huu ambao contradiction si mbaya, ili ujue, maneno haya ya chini ni ya Kiswahili, lakini yameandikwa katika mfumo huo wa contradiction

Hebu soma halafu niambie nimeandika nini.

Ajwqh hwerskl jwiskl jqapwerkts wetsuyqmklop weutdfgjk lwdhjk yrelkgfewang bhktrar. Mjklift hukfds bkhdfsn nrkhgfdd ccsjkhl nmkplewsa hgjkl mnbdjk, yhb tfde tjko njkl mmnfedsawecxzs ghn. Jkh klo nnmjo klew ght jkh gt ddsh kl okljngnbdd ght kjlkk hdsaw, huytrr fjkh lkfgresfdxcvgb nujhnjk. Mjnkg hngddrsekj kijlk njkmk jgl kmonfra fgnhjikj reanm ngga dr gu hkk jnmn nkggfdffkufkjbjlhb bhjfdas hyjurewesa kjmokmn ghnokjh klyrasqgft chj kilfrhgfdesrswa njijuhgf dreswa grtesra gtreseaw hji hujinkmj mkople gld gb njhm
 
Unaipimaje contradiction? Unajuaje kama hii ni contradiction?
Unaipima contradiction kwa logic. Unaijua hii ni contradiction kwa sababu unaona kitu kimoja kinakupa poposition (p) halafu kitu hicho hicho kinakupa proposition negation of p (-p) .
 
Unaipima contradiction kwa logic. Unaijua hii ni contradiction kwa sababu unaona kitu kimoja kinakupa poposition (p) halafu kitu hicho hicho kinakupa proposition negation of p (-p) .
Na unaipimaje logic? Hizo proposition zote unazipima vipi?
 
Back
Top Bottom