morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,518
- 1,855
Kwakuwa umeshindwa kujimudu kujitambua wewe binafsi.ambaye hupo unajiona na akili unayo.unapata wapi uwezo Wa kutaka kujua Mungu kama yupo .ambaye umuoni !!?? Na mbaya zaidi umesoma habari zote juu yako binadamu mpaka shahada.kulikoni huyu Mungu ambaye ujamsoma habari zake angalau kwa ngazi ya cheti la darasa 2 !!!???Is god logical?
Kwa lugha yangu ya kibantu, "kiranga" maana yake "shetani" kwahiyo sishangai kuona unashabikia kua Mungu hayupo. Pole sana ndugu maana anaekutumikisha tayar kasha hukumiwa.