'Who created God' is an Illogical Question!

'Who created God' is an Illogical Question!

Kama nina mapepo huo ni ushahidi zaidi kwamba Mungu hayupo.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hatakiwi kuumba ulimwengu ambao unaruhusu mapepo kuwaingia viumbe wake wengine.

That is a contradiction.
Pepo unaruhusu mwenyewe kukuingia kutokana na matendo na fikra zako ovu, usimsingizie Mungu.
 
Hicho kidongo.

Anasema wanaoamini Mungu hawana mantiki.

Wakishindwa hoja wanaweza kutoa "Deus ex Machina" yoyote kwa sababu hawana hoja.

Wanaweza hata kusema nina mapepo kama jibu la mkato wakishindwa kujibu hoja ngumu.

Unajua mtu anaweza kukupa jibu, lakini wewe ndo ukaamua kuwa hilo ni jibu au siyo jibu. Kiufupi, muuliza swali ndo huwa anaamua kama amejibiwa au la. Anaweza akajibiwa vizuri sana na akachorewa na michoro mizuri lakini akiamua kuwa hilo siyo jibu, basi siyo jibu kwake.
 
Asante kwa mada na michango. Shukran sana.

Lakini naomba tuepuke kuwa kama watu wengine ambao huwa wanaanzaga kupinga ideas kwa kuangalia weaknesses za wahusika na kuacha knowledge yao.

I strongly Agree with you kuwa hata nao wana weaknesses pia. Kama alisema 300 mil years (well hiyo sifahamu nakumbuka niliwahi kusoma dissertation za Origin of Species ya Charles na Kazi iliyokuwa translated ya Lyell katika uniformity. Lakini kama nilivyosema hapo mwanzo. Lyell anakumbukwa kwa kupinga kuwa dunia imeumbwa mwaka 4004 kutoka kwa idea za kanisa kupitia Archbishop Usher. Ilikuwa ni era ya upinzani katika historia.

Zamani wataalam wengi hawakuwa wataalam kwa kusomea mpaka levels za phd. Zamani ilikuwa mtu anakuwa associated katika discipline na kujifunza na kuwa mtaalam. Kama ilivyokuwa kwa wengine. Na walikuwa wanaeshimika pia.

Leo hii mtu huwezi kusema Lyell hastahili kuwa father of geology, it will sounds insane. And why it sounds insane, its because mtu anayetazama hivyo ni yule ambaye hajaisoma kazi yake yote na kufahamu historical background za debate zilizokwepo. He is still a well respect man in geology. I think he deserves it. I know he got errors kwa kuwa specific kudate lakinj kwa kipindi kile hakukuwa na relative datings na aliweka angalau kukadiria.

Let me share Lyells works alivyochange elimu:

Alisema dunia haipo static, Church ilisema kuwa milima iliyopo ipo tangu uumbaji, Lyell akasema dunia ipo katika uniformity, it changes gradually, landscape ya sasa sio kama ya zamani. At that time no one believed him na kuna papers zilikuwa published under church kupinga kwa sababu they thought he lied.

Alianzisha relative dating, alipotoa law of sediments kuwa the bottom is older than the top before kila mtu alijua land ipo deposited kwa pamoja kutokana na idea za creationists.

Ameweza kuhamasisha evolution theory sio kwa sababu anahusika na theory of evolution, Lyell hausiki na theory of evolution directly lakini Darwin na wengine walipojua kama dunia ya sasa haipo sawa na kale then probably hata species hazikuwa kama zilivyo sasa. Contribution yake ilipelekea theiry ya evolution kuwa na support.

Pia Lyell ndie wa kwanza kupinga haswa kuwa dunia sio older to 4000 kama walivyokuwa wanaamini Europe kipindi cha Dar Ages.


So lets stop kuhusiana na Lyell na Darwin.

Tukiwa kama wataalamu na wenye hekima tuangalie mitazamo iliyopo katika kuelezea origin ya viumbe kuwa kama vilivyo hivi sasa.

Je is evolution a lie? Then kama "no" I wont ask anything.

Kama its a lie then whats the best way inayoelezea mageuzi ya viumbe vilivyopo?

Thats where ninapopenda tu concentrate zaidi.
EVOLUTION IS A LIE. IN MORE SIMPLE WAY ITS LIKE A GLOBAL RELIGION WHOSE GOD IS TIME(MILLIONS/BILLIONS OF TIME BELIEVED BY IMMAGINATION)



COSMIC EVOLUTION/ORGIN OF UNIVERSE AND OUR EARTH (Hapa Mtu Hayupo)/BING BANG THEORY
Cosmic evolution ikifeli maana yake na mwendelezo wa evolutions nyingine umefeli moja kwa moja.
bb_theory.jpg

Hiki Kitu mkuu Hakina scientific proof kimekuwa proven wrong ni mawazo ya watu yasiyo na mashiko.


1:HAikubaliani na 1st and 2n2 law of thermodynamics, Haikubaliani naThe law of course and effect, Haikubaliani na The law of conservation of angular Momentum, Haikubaliani na newtons 1st and 2nd laws. Haikuballiani na law of conservation of mass.
Mfano mdogo tu;
Law of Angular momentum ilitaka kila components ambazo ni result of explosion (Bing Bang theory) zizunguke with similar speed na same direction (unaweza kurefer hata mechanics(Rotation) kama ulisoma physics advance).
Cha ajabu speed ya jua ni ndogo kuliko speed ya dunia. Sayari ya Dunia na nyinginezo zina move katika different directions na Venus, Uranus na pluto.
Ukiangalia Milk way galax inaspin in opposite direction na Goofy Galax. Cha ajabu zaidi Mwezi pamoja ya kuwa na movement pia unamove away from earth by a certain small distance. Haya yote mkuu Yanafanya ORGIN Of THINGS kwa Theory hiyo kuwa ni ZAIDI YA MUUJIZA WA UUMBWAJI WA DUNIA KWA SIKU 6 na Ya saba kuagizwa kutumika kama Kumbukumbu ya Uumbaji huo.

INCONSISTENCE YA UUMBWAJI WA DUNIA NA MAGALAX NA ULIMWENGU WOTE KWA UJUMLA.
Dunia Iliumbwa/evolve lini?
1:1862 - Miaka 20 Million iliyopita (THOMSON)
2:1897 - Miaka 40 Millioni Iliyopita (THOMSON)
3:1921 - Miaka Billioni moja iliyopita (Rayleigh)
4:1932 - Miaka 1.6 Billioni iliyopita (W.O. Hotchkiss)
5:1947 - Miaka 3.35 Billion iliyopita (A. Holmes)
6:1956 -Miaka 4.5 Billion iliyopita (A. Holmes)
7:1960 - Miaka 4.6 Billion hii ndio update inayotumika sasa.
Kwa mtindo huu tutegemee hiibirthday ya dunia kutokuwa consistent yaani kuna uwezekano kuongezeka hadi kufika matrillioni miaka ijayo. KAtika vipindi vyote hiyo Tunaoamini Uumbaji wa Mungu Takwimu haziyumbi wala hazibadiliki. Kwa kuangalia Miaka ya watu kuanzia adamu na matukio yaliyorecodiwa Dunia inabaki iliumbwa around miaka 6000 iliyopita.

Hapo nimekupa mfano mmoja wa Aina moja ya EVOLUTION ambayo sio tu ni KAMA DINI YA KIPAGANI FLANI AMBAYO MUNGU WAKE NI MUDA BADO NI UONGO UNAOJIPENDEKEZA KWENYE SCIENCE. INAHITAJI IMANI KUAMINI HIYO MIUJIZA SIO SCIENCE, NA IMANI INAYOKUIHITAJI KUAMINI HAYO NI KUBWA SANA KULIKO HII YA MUNGU AMBAE NI DESIGNER OF THIS UNIVERSE.

MFANO WEWE UKIWA NA GOGO HUWEZI UKALILIPUA BY CHANCE KIKATOKEA KITI. CHENYE MISUMARI KWENYE KONA NA SIO MAHALA PA KUKALIA, CHENYE SEHEMU YA KUEGEMEA, MIGUU MINNE MAANA IKIWA MITATU AU MIWILI ITAKUWA VIGUMU MTUMIAJI KUTUMIA. KWA AKILI YA NDOGO LAZIMA UAMINI KULIKUWA NA DESIGNER NA MANUAL ALIYOTUMIA. HIVYO NDIVYO ALIVYO MWANADAMU AMBAYE INFORMATION KUMUHUSU YEYE TU ILIYO KENYE CELL GENE MOJA AMBAYO KAMA UKIPEWA UANDIKE KILA KILICHOTUNZWA HUMO UNAWEZA KUPATA KARATASI LENYE UREFU WA KWENDA MWEZINI NA KURUDI MARA KADHAA. SASA MWANADAMU ANAGENES MAMILLION MANGAPI ZIDISHA MARA HIZO TAARIFA, ITS AMAZING BROTHER.

MKUU HAPA NI AINA MOJA TU YA EVOLUTION.
UKIENDA KWENYE;
CHEMICAL EVOLUTION; UTATA MTUPU METAL KUTOKA KWENYE HYDROGEN SCIENTIFICALLY WRONG
STELLER AND PLANNETARY EVOLUTION; INAVUNJA KABISA GAS LAW
ORGANIC EVOLUTION- HII INAVUNJA LAW OF BIOGENESIS (LIFE CANNOT COME FROM NON-LIFE) Hata hivo Darwion mwenyewe alikuwa hajui zaidi ya kushangaa wale ndege pale kisiwani na kulink knowledge za kwenye kitabu cha rafiki yake na kkutunga vitu ambayo ni vya kufikirika
MACRO EVOLUTION - Genetically haiwezekani kwa kiumbe yoyote kuanzisha kiumbe kingine kipya ambacho hakina uhusiano wowote na cha kwanza (Yaani bakteria kuwa kirusi, au kama alivyosema Darwin Samaki akatembea akawa sikwe baadae sokwe akawa mtu, hizi zote ni hisia ndio maana zimejificha kwenye kichaka cha Millions/Billions of years ili iwe vigumu kuprove)
Hata hivyo Darwin Hakujua hilo maana Genetic Science haikuwepo enzi zake.
MICRO EVOLUTION (Hii ndio inaweza kuwa scientifically at least proven) Yaani Mbwa anaweza kuzaa aina mbalimbali za mbwa lakini ataendelea kuzaa mbwa muda wote, Nayo ni kwa nini? Millions of informations stored in the Genome. Pia Mitosis haileti Genetic information mpya.


Mkuu nimejeribu kuandika mengi maana nimepata nafasi kidogo. Nitarudi Tena midamida.
Ninaamini Ni rahisi Kuamini Muujiza wa Uumbaji kwa kustudy the creative work of creator kuliko kuamini theory na non scientific fictions ambazo zimefanikiwa kuwaacha wakazi wengi wa dunia bila Matumaini. Dunia na Ulimwengu wote ulikuwa designed carefully in Six consecutive days (24hrs) Na kuagizwa kukumbuka na kutafakari tukio hili mara moja kwa wiki ya Maisha yote ya mwanadamu anapokuwa hai Siku ile ya Saba.
creation-timeline.jpg

Karibu kiongozi
 
Mungu wenu wa kwenye vitabu anavyooenda sifa angekuwepo angeandika angani kwa nyota kwamba yupo kila mtu asome kwa ligha yake.
God was so evident in the past because so many people were lost unknowingly. These days so many people know God, know what HE want, those who lost now, get lost voluntarily. To see God, will not make you faithful to HIM, Lucipher knew GOD, but chose to reject HIM, to reject HIS ideas.

The fact kwamba hamna alama ya wazi hivyo inaonesha Mungu huyu hayupo.

Alama ni wewe mwenyewe, Umeumbwa kwa mfano wa Mungu. Mungu anapima imani yako, na TRUST yako. Hautakiwi KUJUA kuwa safari itafika salama ndo upande gari, bali unatakiwa kum TRUST dereva na ku exercise reasonable care.

Kwa nini afanye kumjua kuwe na ubishi mkubwa sana wakati angeweza kufanya liwe jambo la wazi kabisa?
God want you to use your BRAIN. GOD test YOU. If we could always see a God's sign every morning, you could not exercise your FREE WILL, you could be occupied with FEAR.
 
Mungu wenu wa kwenye vitabu anavyooenda sifa angekuwepo angeandika angani kwa nyota kwamba yupo kila mtu asome kwa ligha yake.
God was so evident in the past because so many people were lost unknowingly. These days so many people know God, know what HE want, those who lost now, get lost voluntarily. To see God, will not make you faithful to HIM, Lucipher knew GOD, but chose to reject HIM, to reject HIS ideas.

The fact kwamba hamna alama ya wazi hivyo inaonesha Mungu huyu hayupo.

Alama ni wewe mwenyewe, Umeumbwa kwa mfano wa Mungu. Mungu anapima imani yako, na TRUST yako. Hautakiwi KUJUA kuwa safari itafika salama ndo upande gari, bali unatakiwa kum TRUST dereva na ku exercise reasonable care.

Kwa nini afanye kumjua kuwe na ubishi mkubwa sana wakati angeweza kufanya liwe jambo la wazi kabisa?
God want you to use your BRAIN. GOD test YOU. If we could always see a God's sign every morning, you could not exercise your FREE WILL, you could be occupied with FEAR.
 
Mungu wenu wa kwenye vitabu anavyooenda sifa angekuwepo angeandika angani kwa nyota kwamba yupo kila mtu asome kwa ligha yake.
God was so evident in the past because so many people were lost unknowingly. These days so many people know God, know what HE want, those who lost now, get lost voluntarily. To see God, will not make you faithful to HIM, Lucipher knew GOD, but chose to reject HIM, to reject HIS ideas.

The fact kwamba hamna alama ya wazi hivyo inaonesha Mungu huyu hayupo.

Alama ni wewe mwenyewe, Umeumbwa kwa mfano wa Mungu. Mungu anapima imani yako, na TRUST yako. Hautakiwi KUJUA kuwa safari itafika salama ndo upande gari, bali unatakiwa kum TRUST dereva na ku exercise reasonable care.

Kwa nini afanye kumjua kuwe na ubishi mkubwa sana wakati angeweza kufanya liwe jambo la wazi kabisa?
God want you to use your BRAIN. GOD test YOU. If we could always see a God's sign every morning, you could not exercise your FREE WILL, you could be occupied with FEAR.
 
Kwa nini sheria ziwe hizo wakati zingeweza kuwa nzuri zaidi?
Kwa hiyo Mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao hauwezi kuwa na mabaya?

Ungeshindwa kufanya mabaya, ungemlaumu MUNGU kwa kukuumba bila utashi kama ROBOT
 
You can test something 100% and found that it is defective.

How useful can be for something that can be tested 100% to have a reliance of less than 100%?
Not all of the facts concerning evolution are known, that's why evolution is not 100% reliable. Unreliability of evolution is not that it tells lie, but because most of it has not been revealed.
 
Not all of the facts concerning evolution are known, that's why evolution is not 100% reliable. Unreliability of evolution is not that it tells lie, but because most of it has not been revealed.
The foundation is what matter. The foundation proves everything is a naked lie and stories that are incompatible to science.
EVOLUTION IS A RELIGION BY ITSELF. IT NEEDS A GREATER FAITH THAN THAT OF A PERSON NEED TO BELIEVE GOD CREATED EVERYTHING
 
The foundation is what matter. The foundation proves everything is a naked lie and stories that are incompatible to science.
EVOLUTION IS A RELIGION BY ITSELF. IT NEEDS A GREATER FAITH THAN THAT OF A PERSON NEED TO BELIEVE GOD CREATED EVERYTHING
So what's that foundation?
 
So what's that foundation?
YOUR ARE THE BELIEVER OF THAT RELIGION, TELL ME ANYTHING YOU STAND FOR AND I WILL PROVE IT WRONG.
OR AU HUJUI UMESIMAMIA WAPI. IF YOU DON'T HAVE EVEN A DOT OF WHAT YOU STAND FOR THEN YOU ARE FLOATING.
 
YOUR ARE THE BELIEVER OF THAT RELIGION, TELL ME ANYTHING YOU STAND FOR AND I WILL PROVE IT WRONG.
OR AU HUJUI UMESIMAMIA WAPI. IT YOU DON'T HAVE EVEN A DOT OF WHAT YOU STAND FOR THEN YOU ARE FLOATING.
Hey! stop dreaming moronically! who told you evolution is a religion?
Religion, do you know what does it meaning?

I thought you are here to find truth concerning the subject at the hand, but you are looking for the side to oppose. Don't run away from the topic.
 
Hey! stop dreaming moronically! who told you evolution is a religion?
Religion, do you know what does it meaning?

I thought you are here to find truth concerning the subject at the hand, but you are looking for the side to oppose. Don't run away from the topic.
RELIGION - a pursuit or interest to which someone ascribes supreme importance.
 
RELIGION - a pursuit or interest to which someone ascribes supreme importance.
Religion stands upon the FAITH, people worship things that they don't understand clearly or at all. But evolution stands upon the knowledge , evolutionists are continuously seeking to understand how changes within the living things are possible and why.

So have you seen the difference between evolution and religion? Now let get back to the topic, we are debating on the topic that ''Is it possible for GOD to create everything yet him/herself has got no creator?''
 
The foundation is what matter. The foundation proves everything is a naked lie and stories that are incompatible to science.
EVOLUTION IS A RELIGION BY ITSELF. IT NEEDS A GREATER FAITH THAN THAT OF A PERSON NEED TO BELIEVE GOD CREATED EVERYTHING
Let's grant you that what you have said is the truth.


Can you prove God, the omnipotent, the omniscient the omni benevolent exists and is the creator of the universe?
 
Kwanza hujajibu nilichokuuliza kuwa kama huna tatizo na imani kwanini unasema huipi nafasi sana imani?

Hebu thibitisha kitu unacho kiamini.

Nimekujibu, tatizo hata ninapokujibu hulitambui jibu.

Mtu akisema hana tatizo na kunywa maji, ana tatizo na kunywa maji machafu kwani yatamletea ugonjwa, mtu huyo kakataa kunywa maji?

Sina tatizo na imani, naona tatizo imani potofu inapohubiriwa kama imani sahihi.

Mtu akisema kwamba katika Euclidean geometry pembetatu ni duara, hapo nitaona tatizo.
That's a contradiction

Mtu akisema kuna Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote ambaye kaumba ulimwengu huu unaoruhusu matetemeko na vimbunga nitaona tatizo hapo.That's a contradiction.

Mtu akisema jua litachomoza kesho ni imani pia, lakini sina tatizo na imani hiyo, hata mimi ninayo pia, ni imani isiyo na contradiction.

Mtu akiniambia kuna teknolojia ya kutuma ujumbe kwenye mtandao wa Jamiiforums halafu ujumbe huo ukamfikia mtu mwingine atakayetembelea Jamiiforums, na kama servers zipo online na ujumbe umekuwa posted atauona, sina hakika kama servers zitakuwa online baada ya mimi kuandika haya, lakini naandika na kuamini zitakuwa online na wewe utasoma.

Ukichunguza utakuta sina tatizo na imani. Mimi mwenyewe kupost messages hapa JF natumia imani.

Nina tatizo na imani potofu isiyo na mantiki ambayo inasemwa kwamba ni imani sahihi.
 
EVOLUTION IS A LIE. IN MORE SIMPLE WAY ITS LIKE A GLOBAL RELIGION WHOSE GOD IS TIME(MILLIONS/BILLIONS OF TIME BELIEVED BY IMMAGINATION)



COSMIC EVOLUTION/ORGIN OF UNIVERSE AND OUR EARTH (Hapa Mtu Hayupo)/BING BANG THEORY
Cosmic evolution ikifeli maana yake na mwendelezo wa evolutions nyingine umefeli moja kwa moja.
bb_theory.jpg

Hiki Kitu mkuu Hakina scientific proof kimekuwa proven wrong ni mawazo ya watu yasiyo na mashiko.


1:HAikubaliani na 1st and 2n2 law of thermodynamics, Haikubaliani naThe law of course and effect, Haikubaliani na The law of conservation of angular Momentum, Haikubaliani na newtons 1st and 2nd laws. Haikuballiani na law of conservation of mass.
Mfano mdogo tu;
Law of Angular momentum ilitaka kila components ambazo ni result of explosion (Bing Bang theory) zizunguke with similar speed na same direction (unaweza kurefer hata mechanics(Rotation) kama ulisoma physics advance).
Cha ajabu speed ya jua ni ndogo kuliko speed ya dunia. Sayari ya Dunia na nyinginezo zina move katika different directions na Venus, Uranus na pluto.
Ukiangalia Milk way galax inaspin in opposite direction na Goofy Galax. Cha ajabu zaidi Mwezi pamoja ya kuwa na movement pia unamove away from earth by a certain small distance. Haya yote mkuu Yanafanya ORGIN Of THINGS kwa Theory hiyo kuwa ni ZAIDI YA MUUJIZA WA UUMBWAJI WA DUNIA KWA SIKU 6 na Ya saba kuagizwa kutumika kama Kumbukumbu ya Uumbaji huo.

INCONSISTENCE YA UUMBWAJI WA DUNIA NA MAGALAX NA ULIMWENGU WOTE KWA UJUMLA.
Dunia Iliumbwa/evolve lini?
1:1862 - Miaka 20 Million iliyopita (THOMSON)
2:1897 - Miaka 40 Millioni Iliyopita (THOMSON)
3:1921 - Miaka Billioni moja iliyopita (Rayleigh)
4:1932 - Miaka 1.6 Billioni iliyopita (W.O. Hotchkiss)
5:1947 - Miaka 3.35 Billion iliyopita (A. Holmes)
6:1956 -Miaka 4.5 Billion iliyopita (A. Holmes)
7:1960 - Miaka 4.6 Billion hii ndio update inayotumika sasa.
Kwa mtindo huu tutegemee hiibirthday ya dunia kutokuwa consistent yaani kuna uwezekano kuongezeka hadi kufika matrillioni miaka ijayo. KAtika vipindi vyote hiyo Tunaoamini Uumbaji wa Mungu Takwimu haziyumbi wala hazibadiliki. Kwa kuangalia Miaka ya watu kuanzia adamu na matukio yaliyorecodiwa Dunia inabaki iliumbwa around miaka 6000 iliyopita.

Hapo nimekupa mfano mmoja wa Aina moja ya EVOLUTION ambayo sio tu ni KAMA DINI YA KIPAGANI FLANI AMBAYO MUNGU WAKE NI MUDA BADO NI UONGO UNAOJIPENDEKEZA KWENYE SCIENCE. INAHITAJI IMANI KUAMINI HIYO MIUJIZA SIO SCIENCE, NA IMANI INAYOKUIHITAJI KUAMINI HAYO NI KUBWA SANA KULIKO HII YA MUNGU AMBAE NI DESIGNER OF THIS UNIVERSE.

MFANO WEWE UKIWA NA GOGO HUWEZI UKALILIPUA BY CHANCE KIKATOKEA KITI. CHENYE MISUMARI KWENYE KONA NA SIO MAHALA PA KUKALIA, CHENYE SEHEMU YA KUEGEMEA, MIGUU MINNE MAANA IKIWA MITATU AU MIWILI ITAKUWA VIGUMU MTUMIAJI KUTUMIA. KWA AKILI YA NDOGO LAZIMA UAMINI KULIKUWA NA DESIGNER NA MANUAL ALIYOTUMIA. HIVYO NDIVYO ALIVYO MWANADAMU AMBAYE INFORMATION KUMUHUSU YEYE TU ILIYO KENYE CELL GENE MOJA AMBAYO KAMA UKIPEWA UANDIKE KILA KILICHOTUNZWA HUMO UNAWEZA KUPATA KARATASI LENYE UREFU WA KWENDA MWEZINI NA KURUDI MARA KADHAA. SASA MWANADAMU ANAGENES MAMILLION MANGAPI ZIDISHA MARA HIZO TAARIFA, ITS AMAZING BROTHER.

MKUU HAPA NI AINA MOJA TU YA EVOLUTION.
UKIENDA KWENYE;
CHEMICAL EVOLUTION; UTATA MTUPU METAL KUTOKA KWENYE HYDROGEN SCIENTIFICALLY WRONG
STELLER AND PLANNETARY EVOLUTION; INAVUNJA KABISA GAS LAW
ORGANIC EVOLUTION- HII INAVUNJA LAW OF BIOGENESIS (LIFE CANNOT COME FROM NON-LIFE) Hata hivo Darwion mwenyewe alikuwa hajui zaidi ya kushangaa wale ndege pale kisiwani na kulink knowledge za kwenye kitabu cha rafiki yake na kkutunga vitu ambayo ni vya kufikirika
MACRO EVOLUTION - Genetically haiwezekani kwa kiumbe yoyote kuanzisha kiumbe kingine kipya ambacho hakina uhusiano wowote na cha kwanza (Yaani bakteria kuwa kirusi, au kama alivyosema Darwin Samaki akatembea akawa sikwe baadae sokwe akawa mtu, hizi zote ni hisia ndio maana zimejificha kwenye kichaka cha Millions/Billions of years ili iwe vigumu kuprove)
Hata hivyo Darwin Hakujua hilo maana Genetic Science haikuwepo enzi zake.
MICRO EVOLUTION (Hii ndio inaweza kuwa scientifically at least proven) Yaani Mbwa anaweza kuzaa aina mbalimbali za mbwa lakini ataendelea kuzaa mbwa muda wote, Nayo ni kwa nini? Millions of informations stored in the Genome. Pia Mitosis haileti Genetic information mpya.


Mkuu nimejeribu kuandika mengi maana nimepata nafasi kidogo. Nitarudi Tena midamida.
Ninaamini Ni rahisi Kuamini Muujiza wa Uumbaji kwa kustudy the creative work of creator kuliko kuamini theory na non scientific fictions ambazo zimefanikiwa kuwaacha wakazi wengi wa dunia bila Matumaini. Dunia na Ulimwengu wote ulikuwa designed carefully in Six consecutive days (24hrs) Na kuagizwa kukumbuka na kutafakari tukio hili mara moja kwa wiki ya Maisha yote ya mwanadamu anapokuwa hai Siku ile ya Saba.
creation-timeline.jpg

Karibu kiongozi

Habari za weekend mkuu, thanks kwa mchango wako.

Naona kuna ideology mbalimbali ulizonazo kuhusiana na Evolution. Inakuwa ni ngumu sana kuweza kuendana nawe pamoja katika mjadala.

Katika maisha yangu sijawahi kufundishwa uhusiana kati ya Evolution na Big Bang au Cosmic Evolution. Maana nimesoma evolution as Evolution katika core yake.

PIa theory ya evolution haina mahusuano na dating ila inatumia dating kufanya comparisons sometimes. Datings hiyo ni part nyingine kabisa na errors zake sio errors za Evolution. Hizo errors zinaweza kutokea, ndio maana kuna absolute na relative datings.

Pia evolution haina uhusiano na Kuelezea origin of life. Evolution sio theory ya origin of life, bali ni theory inayoelezea origin of species. Nampa sana points Darwin kwa kuita kazi yake "Origin of Species" lakini wapinzani ndio wanaosema amezungumzia origin of life na kuanza kumpinga bila kusoma kazi yake.

Ninaomba kama tutajadiliana tujadiliane bila Mythologies Na conspiracies. Tujadili kama wasomi na nina imani una uelewa mzuri sana na utanisaidia.

Tuanze mwanzo ili kuondoa elimu isiyokwepo na tuelimishane vyema.

What is the theory of evolution.
Ni paradigm inayotazama historia ya viumbe katika dunia kutoka katika mageuzi yanayofanyika taratibu na kupelekea kutokea kwa aina nyingine ya kiumbe.

(Nimetumia kitabu cha Johnson M, 1999: Archaeological Theory: An Inteoduction. Oxford.)

Mpaka hapo katika simple definition, unakubali kuwa kuna mageuzi yanayofanyika taratibu katika viumbe?
 
Back
Top Bottom