'Who created God' is an Illogical Question!

'Who created God' is an Illogical Question!

Brother I am not asking kuhusu theories zilizopo

Nakuuliza wewe kama Sammoo theory gani ambayo umeiaccept.
Hiyo theory inakwambia Origin ya man ni wapi?

Evolution na Origin ni tofauti.

Mfano: kuna theory inasema life originated from dirt, kulikuwa na uchafu uchafu umejikusanya mahali mara ghafla wakatokea funza hiyo ni origin

Evolution inakuja kusema o funza wakabadilika wakawa sijui chura then akawa nyani then bindamu


Wewe theory gani ya ORIGIN unaikubali?
and in first place I was not talking about those theories,,,,you said we were created and I said no I was born not created
 
Kwani mimi nimebisha.
Nimekubali u were born not created etc etc
Nimeachana na hilo

Nimekuuliza swali "Wewe unaamini what is the origin of man, kwa wewe mtazamo wako kama Ndugu. Sammoo?"

Very simple question
and in first place I was not talking about those theories,,,,you said we were created and I said no I was born not created
i
 
Wengine mnajaza server kwa kuwaita wanahoji mashetani na hamwezi kuwajibu hoja zao. Kama mnataka kuwahubiria tafuteni namna nyingine.
 
Wengine mnajaza server kwa kuwaita wanahoji mashetani na hamwezi kuwajibu hoja zao. Kama mnataka kuwahubiria tafuteni namna nyingine.
Sijaona hoja ambayo haijajibiwa mpaka sasa hivi
Nimejibu maswali yote niliyoulizwa na wao pia nimewauliza maswali nangoja kusikia watasemaje

Tunatafakari pamoja, hilo ndiyo lengo nadhani
 
If i may ask
According to you, what is the origin of man?
Man alitokea wapi?

siyo evolution, coz ili evolution itokee lazima kulikuwa na kitu kingine kabla ndiyo kikaevolve

what is the source according to you?
Mungu na yeye kaumbwa na nani?
 
Uhalali wa uwepo wa Mungu ni uwepo wa binadamu, viumbe hai na visivyo hai.
Kitendo cha kuuliza maswali ya uwepo wa Mungu kinadhihisha Mungu yupo, otherwise tungelikuwa empty minded kama ambavyo viumbe wengine walivyo.
Utimamu wa kibinadamu mbali na elimu na maarifa mengine ya kidunia unadhihisha uwepo wa aliye juu kifikra na kihisia kuliko binadamu.
Swali linakuja ni nani huyo? (ni mizimu,majini,malaika au na nani hasa).
Kimantiki Kama ambavyo wanyama hawana uwezo alionao binadamu ndivyo ilivyo kwa binadamu asivyo na uwezo kama alionao yule aliyemuumba.
Wanapinga uwepo wa Mungu ni kama kinyago mbele ya mtengenezaji/mchongaji,ndio maana machoni pa aliyewaumba anawaona kama vinyago ambao hawasikii wala hawaoni.
 
Kwani mimi nimebisha.
Nimekubali u were born not created etc etc
Nimeachana na hilo

Nimekuuliza swali "Wewe unaamini what is the origin of man, kwa wewe mtazamo wako kama Ndugu. Sammoo?"

Very simple question

i
kwangu mimi bado sijapata clear origin, evolution theories zina mapungufu mengi kwa mfano kwenye issue za DNA,,lakini pia hata huko kwenye theory ya uumbaji nayo iko na mafumbo mengi haiko clear
 
Uhalali wa uwepo wa Mungu ni uwepo wa binadamu, viumbe hai na visivyo hai.
Kitendo cha kuuliza maswali ya uwepo wa Mungu kinadhihisha Mungu yupo, otherwise tungelikuwa empty minded kama ambavyo viumbe wengine walivyo.
Utimamu wa kibinadamu mbali na elimu na maarifa mengine ya kidunia unadhihisha uwepo wa aliye juu kifikra na kihisia kuliko binadamu.
Swali linakuja ni nani huyo? (ni mizimu,majini,malaika au na nani hasa).
Kimantiki Kama ambavyo wanyama hawana uwezo alionao binadamu ndivyo ilivyo kwa binadamu asivyo na uwezo kama alionao yule aliyemuumba.
Wanapinga uwepo wa Mungu ni kama kinyago mbele ya mtengenezaji/mchongaji,ndio maana machoni pa aliyewaumba anawaona kama vinyago ambao hawasikii wala hawaoni.

Hata Rene Descartes alifeli katika hilo la kujidai eti "Kisa nauliza swali au nafikiria kitu basi kipo (exist)". What if I think He isnot exist,will it make that to be True kwamba Mungu hayupo?

Mbele ya mchongaji, kinyago ni kinyago tu, iwe kinapinga au hakipingi uwepo wake.
 
How is that possible???
How is that possible???
Why not?
Kwani kuna rule au principle sehemu kwamba lazima Muumbaji awe ameumbwa?

Hapana

Bindamu ameumbwa na Mungu ambaye ni eternal,

Attributes za Mungu huyu na attributes za binadamu ni tofauti

The creation is finite has a defined beginning and end

The creator doesn't
 
kwangu mimi bado sijapata clear origin, evolution theories zina mapungufu mengi kwa mfano kwenye issue za DNA,,lakini pia hata huko kwenye theory ya uumbaji nayo iko na mafumbo mengi haiko clear

So you're hanging in the air
You want clarity?

Okay let's see if you will be able to find that in this lifetime
May be some day some clear, well clothed and painted information will be
laid at your feet and you will pick on it

Meanwhile to me, mafumbo hayo are the same thing that draws us more to the faith because it gives us more than head knowledge, it gives us revelation. It enables us to explain things from a different realm
As much as we may love science, it limited
Science contradicts itself
See my comment on the second law of thermodynamics above

Anyways goodafternoon
 
Why not?
Kwani kuna rule au principle sehemu kwamba lazima Muumbaji awe ameumbwa?

Hapana

Bindamu ameumbwa na Mungu ambaye ni eternal,

Attributes za Mungu huyu na attributes za binadamu ni tofauti

The creation is finite has a defined beginning and end

The creator doesn't
Sio kwenye rule au principle ila idea nzima tu ya Kiumbe wa namna hiyo haingii akilini. Let's start slow, SO UNATAKA KUNAMBIA AMEJIUMBA AU VIPI???
 
Sio kwenye rule au principle ila idea nzima tu ya Kiumbe wa namna hiyo haingii akilini. Let's start slow, SO UNATAKA KUNAMBIA AMEJIUMBA AU VIPI???

Ndugu yangu, naona haujaelewa

Mungu siyo kiumbe, hivyo Mungu haumbwi wala hajiumbi

God is the Creator
Human Being is a Creation
A creation is created

The Creator is not Created
Sijaona ambacho hujakielewa hapo

God has no source, hes eternal, infinite
God has no start, he was never created because He has always been there and will always been there


Naomba useme kuwa "haingii akilini mwako"
Kwa sababu kwa sisi wengine inaingia, inaeleweka and it's simple and clear

Man is finite
God is infinite
 
Eti mtu anathubutu kabisa kusema...Nimeongea na Mungu....Hahahaaa, kuna watu ni hatari sana....unaongea na kitu usichojua kama kipo? huo siyo mwanzo wa ukichaa?
inahitaji ujasiri kufanya mambo hayo sana mana sio tu unadanganya wengine bali unajidanganya mpk ww mwenyewe. Hujawah hata kusikia sauti ya mungu wala malaika halafu unajitokeza hadharani kabisa na kusema yupo...
 
Basi dunia na yenyewe haijaumbwa

Kwa nini?

What do you base that on?
Naomba kujua what you base your opinion kwamba kama binadamu aliumbwa basi aliyemuumba naye aliumbwa?

Hiyo ni assumption yako na haina uzito wowote
 
inahitaji ujasiri kufanya mambo hayo sana mana sio tu unadanganya wengine bali unajidanganya mpk ww mwenyewe. Hujawah hata kusikia sauti ya mungu wala malaika halafu unajitokeza hadharani kabisa na kusema yupo...
Kwani wewe kila kitu ambacho kipo lazima ukisikie au ukione?

Tunaamini wewe una kumbukumbu. Tumeshawahi kuisikia au kuiona. Lakini tunajua ipo kutokana na jinsi unavyobehave mbele ya watu

Unaweza ukaona Upendo? Hapana ila kuna vitu fulani vinapoint towards uwepo wa hicho kitu

Hiyo idea kwamba ili kitu kiwepo lazima tuweze kukiona au kukisikia sio kweli

Vitu ambavyo vinaweza kuonwa au kusikika ni vile ambavyo vipo katika physical realm

God is a Spiritual being, hivyo ndivyo tunavyoamini
And ujue kutofautisha a physical being and a spiritual being
 
Ndugu yangu, naona haujaelewa

Mungu siyo kiumbe, hivyo Mungu haumbwi wala hajiumbi

God is the Creator
Human Being is a Creation
A creation is created

The Creator is not Created
Sijaona ambacho hujakielewa hapo

God has no source, hes eternal, infinite
God has no start, he was never created because He has always been there and will always been there


Naomba useme kuwa "haingii akilini mwako"
Kwa sababu kwa sisi wengine inaingia, inaeleweka and it's simple and clear

Man is finite
God is infinite

Ndugu yangu nadhani umekosea kidogo hapo juu.Mungu sio kiumbe? He is a Being that why akatuumba kwa mfano wake(Nukuu ya kidini).
 
Kwa nini?

What do you base that on?
Naomba kujua what you base your opinion kwamba kama binadamu aliumbwa basi aliyemuumba naye aliumbwa?

Hiyo ni assumption yako na haina uzito wowote
Kama Assumption yangu haina uzito wowote,
basi na assumption yako ya dunia imeumbwa na mungu haina uzito wowote
 
Back
Top Bottom