sammoo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 701
- 1,604
and in first place I was not talking about those theories,,,,you said we were created and I said no I was born not createdBrother I am not asking kuhusu theories zilizopo
Nakuuliza wewe kama Sammoo theory gani ambayo umeiaccept.
Hiyo theory inakwambia Origin ya man ni wapi?
Evolution na Origin ni tofauti.
Mfano: kuna theory inasema life originated from dirt, kulikuwa na uchafu uchafu umejikusanya mahali mara ghafla wakatokea funza hiyo ni origin
Evolution inakuja kusema o funza wakabadilika wakawa sijui chura then akawa nyani then bindamu
Wewe theory gani ya ORIGIN unaikubali?
Mungu na yeye kaumbwa na nani?