Anapenda sana ushabiki bila kufuata mstari. Covid 19 pakacha linanuka, yeye analazimisha kulibeba kisa kuinua wanawake wenzie,,! Pale inapofikia kuvunja katiba kwa kuvutia maslahi kona. Nchi iyayumba na anahaibika mtu kama sio taasisi nzima, muda si mrefu