Wewe kama memba wa JF una mchango gani humu?

Wewe kama memba wa JF una mchango gani humu?

Kwa hiyo mangi umekuja na kivuli kingine, maana hii ID ni ya 2022.
Nimekumbuka mwaka 2015/16 niliwahi kuanzishiwa uzi flani humu...😂
Basi nilisutwa na kushambuliwq na wadada kama 10 hivi walio ungana humu...😜
Lakini wandewa sikuwahi kubadili ID wala Avatar....🤣
 
Nimekumbuka mwaka 2015/16 niliwahi kuanzishiwa uzi flani humu...😂
Basi nilisutwa na kushambuliwq na wadada kama 10 hivi walio ungana humu...😜
Lakini wandewa sikuwahi kubadili ID wala Avatar....🤣
Kipindi kile ulikuwa na matukio sana mkuu, ukachanganya mapishi humu humu, we noma sana.

Hata hivyo ngozi ngumu hiyo, hakuna kubadilisha utambulisho 💪
 
Kipindi kile ulikuwa na matukio sana mkuu, ukachanganya mapishi humu humu, we noma sana.

Hata hivyo ngozi ngumu hiyo, hakuna kubadilisha utambulisho 💪
Nikweli mkuu....🤣
Yaani nilichanganywa na pesa, ushamba, tamaa na umri...😂
Mwisho nikaja kufanya maamuzi ya kutaka kuoa, hapo ndipo nilipo chafua hali ya hewa maana nilikua na wadada kama 4 na wawili kati yao ni member humu Jf alloooo.....😜
Yaani ulikua ni mnukano na kila mmoja alikua na kundi lake aiseeee...🤣
 
Nikweli mkuu....🤣
Yaani nilichanganywa na pesa, ushamba, tamaa na umri...😂
Mwisho nikaja kufanya maamuzi ya kutaka kuoa, hapo ndipo nilipo chafua hali ya hewa maana nilikua na wadada kama 4 na wawili kati yao ni member humu Jf alloooo.....😜
Yaani ulikua ni mnukano na kila mmoja alikua na kundi lake aiseeee...🤣
Ukamuoa yupi?
 
Nikweli mkuu....🤣
Yaani nilichanganywa na pesa, ushamba, tamaa na umri...😂
Mwisho nikaja kufanya maamuzi ya kutaka kuoa, hapo ndipo nilipo chafua hali ya hewa maana nilikua na wadada kama 4 na wawili kati yao ni member humu Jf alloooo.....😜
Yaani ulikua ni mnukano na kila mmoja alikua na kundi lake aiseeee...🤣
Nakumbuka sana mkuu, japo nimesahau majina ya wale wadada ila mnyukano ulikuwa hot sana!!

Uliwapanga wanne dah! Mzee mwenzangu noma sana😅
 
Back
Top Bottom