Wewe kama memba wa JF una mchango gani humu?

Wewe kama memba wa JF una mchango gani humu?

X wamejaa wadwanzi sana skuhiz......
Kuna mmoja alikuja akajieleza Sana kidogo niingie kingi kwamba kutoa Ni moyo ile kutoka DM nikaenda USSD ili nimtumie zikaingia DM nyingine 2 wanaomba hela dah nilighairisha mkuu
Ma papai hayo , nayanaomba 20 tu kummmke mimi nayatukana tu
 
Wewe umetoa mchango gani kumtoa kijana humu kwenye sifuri na kwenda kwenye ndoto zake?
Nina vijana watano humu wanajijua wamefanikiwa kupitia mimi, kama wapo online watakuja.

Note: achana na vijana wanao kuomba pesa hasa 20 za kubeti humu gademitt.
Hongera sana, Mungu akubariki.
Mimi sina mchango wowote, zaidi ya maombi,kuombea watu.
Na Jf imeninufaisha kwa kunipa rizki kupitia biashara,
Imenipa watu mbalimbali ambao wamechangia sana katika utatuzi wa changamoto mbalimbali.
MUNGU awabariki sana ndugu zangu wa Jf.
 
Wengi nimewapa connections za kazi.
Wengi nimewapa vimemo na wakatoboa.
Wengi niliwashauri na wakasogea hatua kadhaa mbele.
Wengi walinitapeli....
Wapo walio nidanganya na kunivuta pesa....
Sema miaka ya 2015 kurudi nyuma Jf ilikua hot 🔥 kinoma.... sikuzile tulikulana kwa heshima na palikua so cool 😎
Ila Jf ilikua na pisi za kwenda alloooo.....😋
Sikuzile tulipendana sana kabla ya huu uvamizi wa Gen-Z
Mlipendana au mlivuana tu? Nimekumbuka lile timbwili lako.
 
Likes kwa sisi wenye akili pembuzi, huwa Ni setup kwa wajinga
Sasa kiongozi kama hicho ndio pekee nimechangia nisingizie nimesaidia watu ilihali sio kweli?

Na hata kama kuna watu kwa namna moja ama nyingine nimewanufaisha, ndio niwaanike hapa?
 
Wewe umetoa mchango gani kumtoa kijana humu kwenye sifuri na kwenda kwenye ndoto zake?
Nina vijana watano humu wanajijua wamefanikiwa kupitia mimi, kama wapo online watakuja.

Note: achana na vijana wanao kuomba pesa hasa 20 za kubeti humu gademitt.
Nilipitia uzi fulani wa kuhusu kilimo huko MPANDA maeneo ya MWESE , nikajitosa porini kupambana na shamba so from zero lakini huu ni msimu wa pili niko huko with over 200+sacks. Thanks
 
Hongera sana, Mungu akubariki.
Mimi sina mchango wowote, zaidi ya maombi,kuombea watu.
Na Jf imeninufaisha kwa kunipa rizki kupitia biashara,
Imenipa watu mbalimbali ambao wamechangia sana katika utatuzi wa changamoto mbalimbali.
MUNGU awabariki sana ndugu zangu wa Jf.
Nashukuru sana mkuu, watu wasijisifu ujinga ujinga tu
 
Back
Top Bottom