Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,127
- 110,900
Dahhhh....Nakumbuka sana mkuu, japo nimesahau majina ya wale wadada ila mnyukano ulikuwa hot sana!!
Uliwapanga wanne dah! Mzee mwenzangu noma sana😅
Sio poa kabisa, sema ilikua nilikua nakula ujana, kwasasa uzee umenifika wacha nile maisha polepole...🤗