Wewe kama memba wa JF una mchango gani humu?

Wewe kama memba wa JF una mchango gani humu?

min -me

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
58,066
Reaction score
166,584
Wewe umetoa mchango gani kumtoa kijana humu kwenye sifuri na kwenda kwenye ndoto zake?
Nina vijana watano humu wanajijua wamefanikiwa kupitia mimi, kama wapo online watakuja.

Note: achana na vijana wanao kuomba pesa hasa 20 za kubeti humu gademitt.
 
Mchango mimi mi thread zangu mbili

Hits za kufa you oral interview za sekrariet ya Akita na jinsi ya kutumia mitandao ya ki Jamiii kuandaa portifolio utakayoitumia kupata scholarship na Akita international organizations hizo thread zangu ndo naziaminia nyingine nyingine ni mbwembwe changamsha genge na kutaka comments
 
Wengi nimewapa connections za kazi.
Wengi nimewapa vimemo na wakatoboa.
Wengi niliwashauri na wakasogea hatua kadhaa mbele.
Wengi walinitapeli....
Wapo walio nidanganya na kunivuta pesa....
Sema miaka ya 2015 kurudi nyuma Jf ilikua hot 🔥 kinoma.... sikuzile tulikulana kwa heshima na palikua so cool 😎
Ila Jf ilikua na pisi za kwenda alloooo.....😋
Sikuzile tulipendana sana kabla ya huu uvamizi wa Gen-Z
 
Wengi nimewapa connections za kazi.
Wengi nimewapa vimemo na wakatoboa.
Wengi niliwashauri na wakasogea hatua kadhaa mbele.
Wengi walinitapeli....
Wapo walio nidanganya na kunivuta pesa....
Sema miaka ya 2015 kurudi nyuma Jf ilikua hot 🔥 kinoma.... sikuzile tulikulana kwa heshima na palikua so cool 😎
Ila Jf ilikua na pisi za kwenda alloooo.....😋
Sikuzile tulipendana sana kabla ya huu uvamizi wa Gen-Z
Safi sana , kuna takataka nilimpa connection ila kwa I'd nyingine ambayo ilikuja kuungwa niliona ananitukana matusi ya nguoni ,ndio maana huo nina dharau sana humu🤗
 
Back
Top Bottom