Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,950
- 183,444
Mashirima yuko bize kuandaa mbege🤣Wewe msalie mashirima , mpaka mbege zikutoke kichwani 😅
Mashirima yuko bize kuandaa mbege🤣Wewe msalie mashirima , mpaka mbege zikutoke kichwani 😅
Wanataka za ofisini ili wajipige picha wazitume mtandaoni🤣🤣🤣 Kwamba vijana hawataki kutembeza mabeseni
Kidogo tu, sio sana🤣Shindii umelewa sio bure😅
Ndiooooo.Kweli?
Unanipa connection au hutaki shindii?Shindii pesa zimejaa huko kwako acha kunichora
Nakubali mkuu mimi mbanga zangu za shamba an kijana unajikuta pekeako tu najifungia shambani miezi minane ukirudi mjini vijana wa umri wako wa 20s na 30s wanakushangaa na kusema hawawezi an mtu hana kitu lakini anachagua kazi balaaWanataka za ofisini ili wajipige picha wazitume mtandaoni
niunganishe na mimiMimi kuna madogo niliwaunganisha kazi wamepata