Wewe kama memba wa JF una mchango gani humu?

Wewe kama memba wa JF una mchango gani humu?

Wewe umetoa mchango gani kumtoa kijana humu kwenye sifuri na kwenda kwenye ndoto zake?
Nina vijana watano humu wanajijua wamefanikiwa kupitia mimi, kama wapo online watakuja.

Note: achana na vijana wanao kuomba pesa hasa 20 za kubeti humu gademitt.
Sasa unaandika haya ili iweje?

Huoni ya kuwa unacho kifanya ni sifa zisizo na kichwa wala miguu?

Umeandika kitu kisicho na nyama, na hakuna impact wala funzo mtu anaweza kutoka nalo hapa

Wewe Inshort ni debe tupu tu..
 
Sasa unaandika haya ili iweje?

Huoni ya kuwa unacho kifanya ni sifa zisizo na kichwa wala miguu?

Umeandika kitu kisicho na nyama, na hakuna impact wala funzo mtu anaweza kutoka nalo hapa

Wewe Inshort ni debe tupu tu..
Sawa napokea maoni yako
 
Back
Top Bottom