Wewe kama memba wa JF una mchango gani humu?

Wewe kama memba wa JF una mchango gani humu?

Mchango mimi mi thread zangu mbili

Hits za kufa you oral interview za sekrariet ya Akita na jinsi ya kutumia mitandao ya ki Jamiii kuandaa portifolio utakayoitumia kupata scholarship na Akita international organizations hizo thread zangu ndo naziaminia nyingine nyingine ni mbwembwe changamsha genge na kutaka comments
Link pl3ase kaka mkubwa
 
Wengi nimewapa connections za kazi.
Wengi nimewapa vimemo na wakatoboa.
Wengi niliwashauri na wakasogea hatua kadhaa mbele.
Wengi walinitapeli....
Wapo walio nidanganya na kunivuta pesa....
Sema miaka ya 2015 kurudi nyuma Jf ilikua hot 🔥 kinoma.... sikuzile tulikulana kwa heshima na palikua so cool 😎
Ila Jf ilikua na pisi za kwenda alloooo.....😋
Sikuzile tulipendana sana kabla ya huu uvamizi wa Gen-Z
We nae ni mkongwe aiseee
 
Back
Top Bottom