sky black
JF-Expert Member
- Mar 2, 2017
- 219
- 400
Ha ha haaaa! Kiukweli hata sura ya uyoo mshikaji siijui then sjafikisha miaka hio uwongo zambi nina 26 pia nimemjibu ivyo coz ameonyesha tharau kwa wanawake hao wenye 30 mbona wanaolewa tena ndio umri mzuri sababu kashamaliza kila kitu ndoa itadumu skuizi watu wanaona leo kesho ugomvi keshokutwa wameachana sababu niakili tu zakitoto![]()
HABARI ZENU MABIBI NA MABWANA,
NAOMBA NIWAJUZE TU KUWA
HUYU NDIYE MLENGWA WA HUU UZI,
NA AMESHAMJIBU MWENZIYE KAMA MUONAVYO.
HIVYO
UJUMBE WAMESHAFIKISHIANA.
MJADALA UFUNGWE!
![]()
![]()
![]()

