Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!

Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!


HABARI ZENU MABIBI NA MABWANA,

NAOMBA NIWAJUZE TU KUWA
HUYU NDIYE MLENGWA WA HUU UZI,
NA AMESHAMJIBU MWENZIYE KAMA MUONAVYO.

HIVYO
UJUMBE WAMESHAFIKISHIANA.

MJADALA UFUNGWE!
Ha ha haaaa! Kiukweli hata sura ya uyoo mshikaji siijui then sjafikisha miaka hio uwongo zambi nina 26 pia nimemjibu ivyo coz ameonyesha tharau kwa wanawake hao wenye 30 mbona wanaolewa tena ndio umri mzuri sababu kashamaliza kila kitu ndoa itadumu skuizi watu wanaona leo kesho ugomvi keshokutwa wameachana sababu niakili tu zakitoto
 
Ha ha haaaa! Kiukweli hata sura ya uyoo mshikaji siijui then sjafikisha miaka hio uwongo zambi nina 26 pia nimemjibu ivyo coz ameonyesha tharau kwa wanawake hao wenye 30 mbona wanaolewa tena ndio umri mzuri sababu kashamaliza kila kitu ndoa itadumu skuizi watu wanaona leo kesho ugomvi keshokutwa wameachana sababu niakili tu zakitoto

MKUU,

KAMA NI 26 KABISA NI_PM FASTA TUYAJENGE!
 
Asa jaman kama ww miaka hiyo unataka kuoa wa 21 na mwanaume wa 25 ata oa wa miaka mingap?
Usikute ww tayar ni baba mtu mnatuharibia dada zetu bana waacheni wakue alaaah
 
Tofauti ya hawa wadada wawili ni mfano kati ya wanaoolewa kabla ya 30 na wale wengine. Angalia lugha, angalia content.
Nigga,
I am 27, I am married and I have two kids. . .

Limenipata sio jichoni moyoni coz I am a woman, and its not OK kumuongelea mwanamke mwenzangu ovyo

Mwanaume suruali nani akutake wewe unaishi kwa wazazi unamiaka 30 fyuuuuu kwataarifa yako kuolewa mkosi tu skuiz mijitu ishajipigia punyeto paka limelegea utafkiri la babu mzee kuliamsha paka lisimame masaa matatu alafu goli lenyewe moja bora nisiolewe tu
 
Nigga,
I am 27, I am married and I have two kids. . .

Limenipata sio jichoni moyoni coz I am a woman, and its not OK kumuongelea mwanamke mwenzangu ovyo
Shukuru Mungu kwa kupata bahati ya kugundua umuhimu wa ndoa mapema. Wenzako wakina Wema Sepetu wanagongwa gongwa ovyo ovyo mpaka wakina Hamoooraaapaaaaa na yeye akataka akaonje mgodi wa Wema Sepetu. Mwanamke akishagongwa gongwa zaidi ya watu wa 5. Wengineo wanamchezo wa kuwaachia nuksi madada zetu wanakuwa awaoleweki.
 
Mwanaume suruali nani akutake wewe unaishi kwa wazazi unamiaka 30 fyuuuuu kwataarifa yako kuolewa mkosi tu skuiz mijitu ishajipigia punyeto paka limelegea utafkiri la babu mzee kuliamsha paka lisimame masaa matatu alafu goli lenyewe moja bora nisiolewe tu
Tena hilo bao halina hata protein limejaa povu tu na sperms zisizo na mikia.
 
Wakaka wa hivi au watu wanaojifayanga much know na so selective huwa wanaishia kuwa na wenz kituko sana sijui why ila nadhan Mungu huwa anawapa. Wanasema usiongee sana ukamaliza maneno
 
Y'ally nigga yoslf...!
Hujui ata nini unaongelea, wameongelewa vibaya vipi??
Utakuwa hujui bioz mshamba wewe, you just imagine umevunja besen at 14 mpk 33, zaidi ya 18 unarukaruka tu

Sababu eti una tafuta man with car, house, good job, cashman, and handsome...!!! Akili zenu bhana mnajijua wenyewe.

Healthly delivery kwa mwanamke inakoma ata 35, and Menopause around 45. Sasa mkiambiwa ukweli mipovu lukuki.
Wambie wakuelewe. maana wabishi balaa.
 
Huyu jamaa ni Unfair kabisa
Kwani huyu unayemua hata fika
Hyo 30 yrs weww ni kama Smartphone kubwa halafu ina Ram 512 na nikuambie tuu unaweza kuta Wa 40 Yrs iko tight kuliko hata huyo wa 21
KIBUYU WEWE
Issue kubwa hapa siyo tightness ya K, bali reproductive age. Nimeandika kuwa ke mwenye 30 kiuzazi na kingono ni mzee
 
Shukuru Mungu kwa kupata bahati ya kugundua umuhimu wa ndoa mapema. Wenzako wakina Wema Sepetu wanagongwa gongwa ovyo ovyo mpaka wakina Hamoooraaapaaaaa na yeye akataka akaonje mgodi wa Wema Sepetu. Mwanamke akishagongwa gongwa zaidi ya watu wa 5. Wengineo wanamchezo wa kuwaachia nuksi madada zetu wanakuwa awaoleweki.
Wambie, wambie. Tangu 14 mpk 34 anakuwa amegongwa na lundo la wanaume wenye kuweza kujaza kijiji. Halafu unaenda kuoa. Unatafuta nuksi za kijiji cha hao wanaume.
 
Labda usioe maana ukioa ipo siku na mkeo k yake italose tightness kama zingine unazooma sio size yako kwa sasa.
 
Asa jaman kama ww miaka hiyo unataka kuoa wa 21 na mwanaume wa 25 ata oa wa miaka mingap?
Usikute ww tayar ni baba mtu mnatuharibia dada zetu bana waacheni wakue alaaah
Mwanaume hazeeki mkuu. Ndiyo maana hata Mswati anaoa kila mwaka. Kazi ya mwanaume ni kumwaga mbegu tu.
 
Asa jaman kama ww miaka hiyo unataka kuoa wa 21 na mwanaume wa 25 ata oa wa miaka mingap?
Usikute ww tayar ni baba mtu mnatuharibia dada zetu bana waacheni wakue alaaah
Mwanaume hazeeki mkuu. Ndiyo maana hata Mswati anaoa kila mwaka. Kazi ya mwanaume ni kumwaga mbegu tu.
 
Na nyie wanawake mkome kuwa mnashobokea vivulana vilivyonyoa viduku na ku match colours kama maua rose, haya ndiyo matokeo yake.
Bora umewaambia,yaani mtu unakuta anacheza na wanyoa viduku,waendesha bajaji,waendesha bodaboda natena wengine wanagongewa vichochoroni,halafu mwisho wasiku umri ukienda anaanza kulaumu wanaume kutomuoa,nani ambaye atakuoa mtu umefanya mapenzi hovyohovyo bila nidhamu,na mkae mkijua kadri unavyofanya mapenzi hovyo nakujirahisisharahisisha habari zako zinaenea,mwanaume anayejielewa kabla yakuchumbia anapeleleza watu wanaokufahamu tena vijana kwasababu muda wa usiku wazee huwa wanakua wamelala,hawajui kinachoendelea kwa madada hawa,baada ya hapo mwanaume huweza au huacha kukuoa.
 
Ngojea ufike miaka 40 hiyo mashine yako ife ndio utakapojua huyo wa miaka 21 uliomchukua kuwa ulikosea na bora ungechukua wa umri wako,omba uzima tu ndugu,usimkufuru mwenyezi Mungu.
Mmh... miaka arobaini,kwani Mswati anamiaka mingapi..?
 
Potelea mbali. Siwezi kuidhulumu nafsi yangu nikae na nungayembe (zee ) kisa naogopa future) . Mla ni mla leo, mala jana kala nn? Aijuaye kesho ni mwenyezi mungu tu.
Duu!
 
Back
Top Bottom