Ni kweli Mungu asaidiye. Lkn nasi waja wake tunapaswa kujisaidia kwanza.Eeh mungu saidia vizazi vyetu
Mkuu unataka kumfunua tu huyoMim nipo Nina miaka 31 natafuta Mwanamke mwenye miaka 30 wakuoa, aje Pm. Tuzungumze
Tuheshimiane bhana mim nimeokoka namuogopa Mungu. Sina mambo yenu ya kipuuzi hayo.Mkuu unataka kumfunua tu huyo
Hahahaa! They say "never trust a man even when he is dead".Tuheshimiane bhana mim nimeokoka namuogopa Mungu. Sina mambo yenu ya kipuuzi hayo.
Mkuu yaelekea una mchumba ama mwenza wa age hiyo. Maana naona umefunguka balaaAnatudhalilisha wanaume wote sio tu eti ana umri mdogo ndo chanzo akili finyu kutojielewa na utoto wa fikra..kuwa na miaka mingi sio upeo wa mtu kukuwa kifikra.
KweliAnatudhalilisha wanaume wote sio tu eti ana umri mdogo ndo chanzo akili finyu kutojielewa na utoto wa fikra..kuwa na miaka mingi sio upeo wa mtu kukuwa kifikra.
Jiwe litakuwa limekupata mkuu. Mm nilitupa gizani sikujua kama wewe una demu mwenye age hiyo. Tuvumiliane tu, hii ndiyo jf.Very sad kwamba at 30 years of age bado unatumia mitandao ya kijamii kumpa mwanadada ujumbe ambao hata ukose nidhamu kiasi gani kwenye sms unaweza kumpa.
You are a coward.
Wanawake hawa wa 30's ambao mumekazana kweli kuwasimanga hawana shida hizo za wanaume mnazojifanya kuwasingizia.
Binafsi am proud of these ladies because they are mature and they know what they want. Despair flew out the window like last year.
I mean duh# rolling my eyes.
mimi ni KE, nipo kwenye ndoa. Jiwe halikunipata. Ila nahisi suala la kusaka hela na sio kufunua mabinti vyupi limekugusa kiainaJiwe litakuwa limekupata mkuu. Mm nilitupa gizani sikujua kama wewe una demu mwenye age hiyo. Tuvumiliane tu, hii ndiyo jf.
Kweli? Basi hebu Fanya assessment ya post yako kama inaendena na umri wakoNina 30 Mkuu, na niko vizuri upstairs
Ke mwenye 30 bado miaka 10 tu astaafu game ya 6*6. Uzazi ukome na abaki kuwa mtazamaji tu.Kwani mwanamke wa miaka 30 ana tatizo gani?..Embu acheni dharau za kijinga bana
Sometimes issues za jf don't take them seriously.Kweli? Basi hebu Fanya assessment ya post yako kama inaendena na umri wako
NotedSometimes issues za jf don't take them seriously.