DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,496
- 5,099
Teh teh tehThat's why napenda wanaume walioenda umri kidogo, wanajitambua na wanajua thamani ya mtu.
Teh teh tehThat's why napenda wanaume walioenda umri kidogo, wanajitambua na wanajua thamani ya mtu.
Oouh..Ndo nilifikisha 20 mwaka jana december shem. Oooops y umeuliza lkn? Una agenda gani?
Yeah.....sbbu ww ni mwanaume sumbai
Oouh..
Nakuonaga mbichii saana sasa nikajua tu lazima utakuwa kwenye 19 20 21 hivi

Haha.. kaone
HahhahahaHaha.. kaone
Dude u sound like 13yrs old...."Kiukweli sina mpango wa kuoa mwanamke ninaye lingana naye umri. Maana mwanamke mwenye 30 yrs sana sana amebakiza miaka 10 tu ya kuwa active kwenye 6*6. Baada ya hapo K inaanza kusinyaaa
Mimi nina 30 mpk nikafikishe 60 huko ni leo? Kwahiyo unakuja unajishebedua, unajituma lkn mie moyo wangu upo kwa mdada mwenye 21.
Nashindwa kukuambia ukweli kwamba mm naburudika tu kwako, maana jinsi unavyo shoboka nahisi ukiambiwa utapiga yowe la nguvu na kuzimia kabisa.
Wito kwa wadada wenye umri mkubwa tafuteni wazee wa miaka 60 wanaotaka kuongeza wake. Vijana huwa tunaongeza CV tu". Alijitapa mkware mmoja huku uswazi.
Jumapili njema.
Hakika ndio maana ht mfalme Suleiman aliomba busara.Hapa duniani Omba sana MUNGU akujaalie BUSARA Na HEKIMA.
Uwiii au kanywa viroba vilivyokatazwa sio bureDude u sound like 13yrs old....