Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!

Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!

Na wale wavulana ambao wana 30 yrs>wamebakiza 10 yrs kupata Tezi DUME oeni haraka
 
Kwa jinsi ulivyoandika tu sio husband material, jiangalie kijana. Ktk umri wako wenzako tunafamilia na watoto tunasomesha shule
 
Kwa jinsi ulivyoandika tu sio husband material, jiangalie kijana. Ktk umri wako wenzako tunafamilia na watoto tunasomesha shule
Maisha ni kupanga na kuchagua. Nimechagua haya.
 
Mke ni wa kumdhamini hata kama ana miaka 60
Maneno ya bandia haya tushayachoka? Mke angekuwa na thamani msingetujazia saver kila siku kulalamikia ndoa. Wanawake hawapo karne hii. Wamebakia makahaba, opportunists, gold diggers, and the like. Ndiyo maana wazungu kwa kuwa siyo wanafiki wakaanzisha ndoa za mikataba.
 
Kosea kujenga nyumba co kuoa umri si kitu maisha ni zaidi ya umri
 
Wanaume wengine mnapenda kuijisifia ukute hata hiyo 6*6 hakuna hata chamaana shombo tu kama uliona anaumri mkubwa ulimtongoza wa nini tafuta hiyo 21 lakini iko siku utamkumbuka huyo wa 30yr, mapenzi si umri ni zaidi tunawaona wengi tu walioa wenye umri mdogo wanapelekeshwa kama maboya usimkashifu mwenzio hivyo kuwa na hofu ya Mungu mkuu.
 
Na wale wavulana ambao wana 30 yrs>wamebakiza 10 yrs kupata Tezi DUME oeni haraka
Ana 30yr halafu kaoa mke 21yr anafikisha 40yr tezi DUME, hapo mke 31yr atatamani ardhi ipasuke au sugar utamkumbuka wa 30yr angekuvumilia
 
"Kiukweli sina mpango wa kuoa mwanamke ninayelingana naye umri. Maana mwanamke mwenye 30 yrs sana sana amebakiza miaka 10 tu ya kuwa active kwenye 6*6. Baada ya hapo K inaanza kusinyaa.

Mimi nina 30 mpaka nikafikishe 60 huko ni leo? Kwahiyo unakuja unajishebedua, unajituma lakini mimi moyo wangu upo kwa mdada mwenye 21.

Nashindwa kukuambia ukweli kwamba mimi naburudika tu kwako, maana jinsi unavyo shoboka nahisi ukiambiwa utapiga yowe la nguvu na kuzimia kabisa.

Wito kwa wadada wenye umri mkubwa tafuteni wazee wa miaka 60 wanaotaka kuongeza wake. Vijana huwa tunaongeza CV tu". Alijitapa mkware mmoja huku uswazi.

Jumapili njema.
Lugha siyo ya staha mkuu. Na wewe ukipata mtoto wa kike je? Akafika 30+ hajaolewa? Watch it!
 
Me namhtaji above 35 ndo ushangae sasa, tena npo serious hata km ana watoto wawili aje tuunge na wangu, akiwa na ajira its better, me nmeajiriwa serkalini, alie serious aje pm
 
Lugha siyo ya staha mkuu. Na wewe ukipata mtoto wa kike je? Akafika 30+ hajaolewa? Watch it!
Mwanangu mm nitampa elimu ya kutafuta mtoto tu na siyo kuolewa. Kuolewa dunia ya leo ni kutafuta stress. Hakuna waoaji wala waolewaji. Kuna makundi mawili yenye jinsia tofauti yanayo windana ili kugegedana tu
 
Me namhtaji above 35 ndo ushangae sasa, tena npo serious hata km ana watoto wawili aje tuunge na wangu, akiwa na ajira its better, me nmeajiriwa serkalini, alie serious aje pm
Wewe utakuwa una ajenda ya umario
 
Huna dada wala mdogo wako wa kike ndio maana unaropoka Kama mwanaume chizi.

Huna mtoto wa kike that why huelewi unachoongea.

Subiri zamu yako ili uisome namba.

Life is all about revenge.
Stay tuned
 
Back
Top Bottom