Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!

Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!

"Kiukweli sina mpango wa kuoa mwanamke ninaye lingana naye umri. Maana mwanamke mwenye 30 yrs sana sana amebakiza miaka 10 tu ya kuwa active kwenye 6*6. Baada ya hapo K inaanza kusinyaaa

Mimi nina 30 mpk nikafikishe 60 huko ni leo? Kwahiyo unakuja unajishebedua, unajituma lkn mie moyo wangu upo kwa mdada mwenye 21.

Nashindwa kukuambia ukweli kwamba mm naburudika tu kwako, maana jinsi unavyo shoboka nahisi ukiambiwa utapiga yowe la nguvu na kuzimia kabisa.

Wito kwa wadada wenye umri mkubwa tafuteni wazee wa miaka 60 wanaotaka kuongeza wake. Vijana huwa tunaongeza CV tu". Alijitapa mkware mmoja huku uswazi.

Jumapili njema.
Ungetumia busara jinsi ya kufikisha mada yako, umewadhalilisha wanawake, si hao wa 30's tu bali hata hao wa 20's sababu na wao watakao olewa ni wachache wengu watafika huo umri bila mume.

Halafu mapenzi kitu tofauti sana kinachokufurahisha wewe si kinacho mfurahisha mwengine.

Kama chaguo lako ni 20's basi fanya yako usiwazungumzie wengine japo ktk uzi wako umejitoa lakin hayo ni mawazo yako.
 
Kila siku wanawake, wanawake,hv hamchoki wakuu? Inavyoonekana maish hayaendi bila wao
Basi nuwaheshimu japo kdg
 
And you think am a kid right?
okey lets say
unataka nifanyaje!!?
maana nisha kwambia its okey, bado unapanic.
acha hizo bhana, mi ndio nlianzisha mazungumzo nimesema yeshe, go on with what you want.
ebo!!
 
watu tunatofautiana sana ikiwa wengine tunaona wanawake wenye 30+ ndo wameshatulia washajua Maisha ni nini. Fashion Kwao sio issue tena, wengine wanamaisha Yao hivo ukiwanao mtsaidiana kujikwamua kimaisha haraka zaidi. Mtoa Mada sijui kama una miaka 30 analysis yako it's like umebarehe Juzi Bado akili zako zinatawaliwa na ngono, kuoa it's not about sexing only
Lengo la ndoa ni tendo la ndoa. Ndiyo maana ukiwa hanithi (jogoo hapandi mtungi) hakuna ndoa.
 
"Kiukweli sina mpango wa kuoa mwanamke ninaye lingana naye umri. Maana mwanamke mwenye 30 yrs sana sana amebakiza miaka 10 tu ya kuwa active kwenye 6*6. Baada ya hapo K inaanza kusinyaaa

Mimi nina 30 mpk nikafikishe 60 huko ni leo? Kwahiyo unakuja unajishebedua, unajituma lkn mie moyo wangu upo kwa mdada mwenye 21.

Nashindwa kukuambia ukweli kwamba mm naburudika tu kwako, maana jinsi unavyo shoboka nahisi ukiambiwa utapiga yowe la nguvu na kuzimia kabisa.

Wito kwa wadada wenye umri mkubwa tafuteni wazee wa miaka 60 wanaotaka kuongeza wake. Vijana huwa tunaongeza CV tu". Alijitapa mkware mmoja huku uswazi.

Jumapili njema.
Mm nafkir kwa hizo akil zko we unastahil kuolew, mtt we kiume akil zko ndo zmeishia apo
 
Dogo unaangalia swala la mahusiano in one dimension(palatability, of GF member) nakushauri ukiamua sasa nataka kuoa angalia mwanamke ambaye in 10 to 20 yrs to come atakuwa Mama wa watoto wako,....kumbuka Mama ndo mwalim wa kwanza wa wanao so u need to choose wisely.. If unataka Mama atakayewafundisha wanao kuwa "how to be good in bed" only that bas we komaa na utam wa K tuu...vilevile Kumbuka mwanamke uliyemzidi saana umri wakati we umezeeka kwa sbb unakula vyakula hovyo hufanyi mazoezi kipindi we unapiga DALI KIMOKO uko hoi ye ndo kwanza kumekucha... Lazima vijana wakusaidie
Potelea mbali. Siwezi kuidhulumu nafsi yangu nikae na nungayembe (zee ) kisa naogopa future) . Mla ni mla leo, mala jana kala nn? Aijuaye kesho ni mwenyezi mungu tu.
 
Ukiona kafika 30 kapa ujue ana matatizo huyo. Walihisi wakiolewa mapema watakosa vingi kwa hiyo walikataa waoaji
Bora useme wewe nikisema mm itakuwa nongwa. Mwanamke miaka 30 alikuwa wapi siku zote? Huo mfuko wa mayai bado upo? Na kama upo mzima? Hiyo K ina hali gani? Nigandane na wewe zee watoto wameisha?
 
Mwanaume suruali nani akutake wewe unaishi kwa wazazi unamiaka 30 fyuuuuu kwataarifa yako kuolewa mkosi tu skuiz mijitu ishajipigia punyeto paka limelegea utafkiri la babu mzee kuliamsha paka lisimame masaa matatu alafu goli lenyewe moja bora nisiolewe tu
Acha dharau wew kama umekutana na teja usifikiri wote tupo hivyo
 
Ww ni mwanaume MJINGA kuliko wote duniani
 
Duuuuuuh polen sana wadada wenye miaka selasini
Wala usiwape pole mkuu. Kwani kuzeeka ugonjwa? Hao washakula maisha tayari. Ukikuta mdada ana 25+ plus hana mtoto basi kawachomoa sana huyo mpk kizazi hakipo?
 
Ww ni mwanaume MJINGA kuliko wote duniani
Ukweli unauma. Nimesema kweli tupu. Mwanmke mwenye 30 kisha zeeka hafai kuolewa. Labda kama mtu anajenga museum anaweza kuoa kwa ajili ya maonyesho?
 
Back
Top Bottom