Mwenye uzoefu na hili linalo tokea anisaidie

jjs2017

JF-Expert Member
May 25, 2019
2,023
4,213
Habari ya asubuhi ndugu zangu.

Mimi ni kijana wenu mwenye umri wa miaka 30+, sijaoa wala sina familia na pia sina mwanamke yeyote wa kudumu,nakuja hapa kuomba kwenu ushauri wa kina juu ya haya mazingira ninayo ya pitia maana yamekua tishio kwa maisha yangu sasa na siku za usoni ndugu zangu, nisaidie kijana wenu

NIMEKUA NIKIKUMBANA NA MAZINGIRA HAYA NDUGU ZANGU

1: kuhisi upweke sana moyoni kiasi cha kujiona siyo binadamu wa kawaida

2: Napatwa na hisia za uchungu na hasira hali inayo pelekea kuhisi kama nataka kulipuka flani hivi. ( Yani kunakua na kitu kama natakiwa nikitapike au ni kipasue ndani ya moyo wangu kitoke niwe salama)

3: Mwili wangu na akili umechoka sana mpaka na jihisi mwili hauna energy ya kutosha na akili kuzimia

4: Nimekua ni kihema sana na kutoa hewa kwa nguvu ili mwili urelax

5: Nimekua mtu wakukosa amani moyoni kabisa ndugu zangu niwe kazini, niwe nyumbani au hata kwenye mikusanyiko ya watu

6: Sina marafiki wa kudumu hata mmoja kwa sasa na kuchangamana na watu najikuta tuu automatically hata nikiwa na watu bado nakuwa mpweke sana.

7: Sina furaha kabisa , japo na fake sana furaha ila kiukweli mimi sinaga furaha hata kidogo tuu

8: Nime kuwa ni mtu wa kuhisi na kuona imagination za matukio ya kutisha tisha na ya hatari tupu ndugu zangu kama ajali, vifo, mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu na manyanyaso makali , pamoja na vitendo vya kikatili sana kwa binadamu na wanyama

9: Nimekua ni mtu wa kukosa usingizi kabisa, japo mwili unataka muda wote uwe umelala tuu

10: Macho yangu ya mekua angavu sana inafika mahali nakua kama mtu mwenye kusinzia sana

HATUA NILIZO JITAHIDI KUZICHUKUA KUKABILIANA NA MAZINGIRA HAYO ILA ZIKAGONGA MWAMBA

1: Nilienda hospitali ya Rufaa nikakutana na wataalamu wa afya ya mwili nikawaelezea jinsi nilivyo, wakanielekeza kwa wataalamu wa afya ya akili ila niliishiwa kupewa dawa kama "amitrilia" na zikagonga mwamba baadae nilihamishiwa kwa specialist mmoja na kunipa dozi ya vidonge vya "phenobabiton"


2: Dawa zao ziligonga mwamba zote na madaktari wakanionyesha kukata tamaa na mimi japo hawakuniambia ila mazungumzo yao yalionyesha hivyo, waliingia mpaka library zaidi ya madaktari tano ila waliishia kuniambia katumie hizo dawa tuu na uombe sana.

3: Nimejitahidi kwenda kwenye maombi ila naona huko wananichanganya sana , kila mtumishi anaongea lake .

4: Nimejitahidi kujichanganya kwenye gym na viwanja vya mazoezi , pamoja na kupiga mazoezi makali sana ila hakuna badiliko chanya bado nipo hivyo hivyo

Ndugu zangu naombeni ushauri na msaada wenu nifanyaje ndugu zangu.

Asanteni



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Habari ya asubuhi ndugu zangu.

Mimi ni kijana wenu nakuja hapa kuomba kwenu ushauri wa kina juu ya haya mazingira ninayo ya pitia maana yamekua tishio kwa maisha yangu sasa na siku za usoni ndugu zangu, nisaidie kijana wenu

NIMEKUA NIKIKUMBANA NA MAZINGIRA HAYA NDUGU ZANGU

1: kuhisi upweke sana moyoni kiasi cha kujiona siyo binadamu wa kawaida

2: Napatwa na hisia za uchungu na hasira hali inayo pelekea kuhisi kama nataka kulipuka flani hivi. ( Yani kunakua na kitu kama natakiwa nikitapike au ni kipasue ndani ya moyo wangu kitoke niwe salama)

3: Mwili wangu na akili umechoka sana mpaka na jihisi mwili hauna energy ya kutosha na akili kuzimia

4: Nimekua ni kihema sana na kutoa hewa kwa nguvu ili mwili urelax

5: Nimekua mtu wakukosa amani moyoni kabisa ndugu zangu niwe kazini, niwe nyumbani au hata kwenye mikusanyiko ya watu

6: Sina marafiki wa kudumu hata mmoja kwa sasa na kuchangamana na watu najikuta tuu automatically hata nikiwa na watu bado nakuwa mpweke sana.

7: Sina furaha kabisa , japo na fake sana furaha ila kiukweli mimi sinaga furaha hata kidogo tuu

8: Nime kuwa ni mtu wa kuhisi na kuona imagination za matukio ya kutisha tisha na ya hatari tupu ndugu zangu kama ajali, vifo, mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu na manyanyaso makali , pamoja na vitendo vya kikatili sana kwa binadamu na wanyama

9: Nimekua ni mtu wa kukosa usingizi kabisa, japo mwili unataka muda wote uwe umelala tuu

10: Macho yangu ya mekua angavu sana inafika mahali nakua kama mtu mwenye kusinzia sana

HATUA NILIZO JITAHIDI KUZICHUKUA KUKABILIANA NA MAZINGIRA HAYO ILA ZIKAGONGA MWAMBA

1: Nilienda hospitali ya Rufaa nikakutana na wataalamu wa afya ya mwili nikawaelezea jinsi nilivyo, wakanielekeza kwa wataalamu wa afya ya akili ila niliishiwa kupewa dawa kama "amitrilia" na zikagonga mwamba baadae nilihamishiwa kwa specialist mmoja na kunipa dozi ya vidonge vya "phenobabiton"


2: Dawa zao ziligonga mwamba zote na madaktari wakanionyesha kukata tamaa na mimi japo hawakuniambia ila mazungumzo yao yalionyesha hivyo, waliingia mpaka library zaidi ya madaktari tano ila waliishia kuniambia katumie hizo dawa tuu na uombe sana.

3: Nimejitahidi kwenda kwenye maombi ila naona huko wananichanganya sana , kila mtumishi anaongea lake .

4: Nimejitahidi kujichanganya kwenye gym na viwanja vya mazoezi , pamoja na kupiga mazoezi makali sana ila hakuna badiliko chanya bado nipo hivyo hivyo

Ndugu zangu naombeni ushauri na msaada wenu nifanyaje ndugu zangu.

Asanteni



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kama una mpenzi ambaye ni pasua kichwa achana nae kwanza.
 
Habari ya asubuhi ndugu zangu.

Mimi ni kijana wenu mwenye umri wa miaka 30+, sijaoa wala sina familia na pia sina mwanamke yeyote wa kudumu,nakuja hapa kuomba kwenu ushauri wa kina juu ya haya mazingira ninayo ya pitia maana yamekua tishio kwa maisha yangu sasa na siku za usoni ndugu zangu, nisaidie kijana wenu

NIMEKUA NIKIKUMBANA NA MAZINGIRA HAYA NDUGU ZANGU

1: kuhisi upweke sana moyoni kiasi cha kujiona siyo binadamu wa kawaida

2: Napatwa na hisia za uchungu na hasira hali inayo pelekea kuhisi kama nataka kulipuka flani hivi. ( Yani kunakua na kitu kama natakiwa nikitapike au ni kipasue ndani ya moyo wangu kitoke niwe salama)

3: Mwili wangu na akili umechoka sana mpaka na jihisi mwili hauna energy ya kutosha na akili kuzimia

4: Nimekua ni kihema sana na kutoa hewa kwa nguvu ili mwili urelax

5: Nimekua mtu wakukosa amani moyoni kabisa ndugu zangu niwe kazini, niwe nyumbani au hata kwenye mikusanyiko ya watu

6: Sina marafiki wa kudumu hata mmoja kwa sasa na kuchangamana na watu najikuta tuu automatically hata nikiwa na watu bado nakuwa mpweke sana.

7: Sina furaha kabisa , japo na fake sana furaha ila kiukweli mimi sinaga furaha hata kidogo tuu

8: Nime kuwa ni mtu wa kuhisi na kuona imagination za matukio ya kutisha tisha na ya hatari tupu ndugu zangu kama ajali, vifo, mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu na manyanyaso makali , pamoja na vitendo vya kikatili sana kwa binadamu na wanyama

9: Nimekua ni mtu wa kukosa usingizi kabisa, japo mwili unataka muda wote uwe umelala tuu

10: Macho yangu ya mekua angavu sana inafika mahali nakua kama mtu mwenye kusinzia sana

HATUA NILIZO JITAHIDI KUZICHUKUA KUKABILIANA NA MAZINGIRA HAYO ILA ZIKAGONGA MWAMBA

1: Nilienda hospitali ya Rufaa nikakutana na wataalamu wa afya ya mwili nikawaelezea jinsi nilivyo, wakanielekeza kwa wataalamu wa afya ya akili ila niliishiwa kupewa dawa kama "amitrilia" na zikagonga mwamba baadae nilihamishiwa kwa specialist mmoja na kunipa dozi ya vidonge vya "phenobabiton"


2: Dawa zao ziligonga mwamba zote na madaktari wakanionyesha kukata tamaa na mimi japo hawakuniambia ila mazungumzo yao yalionyesha hivyo, waliingia mpaka library zaidi ya madaktari tano ila waliishia kuniambia katumie hizo dawa tuu na uombe sana.

3: Nimejitahidi kwenda kwenye maombi ila naona huko wananichanganya sana , kila mtumishi anaongea lake .

4: Nimejitahidi kujichanganya kwenye gym na viwanja vya mazoezi , pamoja na kupiga mazoezi makali sana ila hakuna badiliko chanya bado nipo hivyo hivyo

Ndugu zangu naombeni ushauri na msaada wenu nifanyaje ndugu zangu.

Asanteni



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Easy sana tatizo lako

shida ni kwamba haujaoa lazima upweke ukupate na hasira zisizo na maana kijana tafuta mwanamke mwenye hofu ya Mungu oa uone kama utaendelea kupata hayo matatizo yako .
 
Habari ya asubuhi ndugu zangu.

Mimi ni kijana wenu mwenye umri wa miaka 30+, sijaoa wala sina familia na pia sina mwanamke yeyote wa kudumu,nakuja hapa kuomba kwenu ushauri wa kina juu ya haya mazingira ninayo ya pitia maana yamekua tishio kwa maisha yangu sasa na siku za usoni ndugu zangu, nisaidie kijana wenu

NIMEKUA NIKIKUMBANA NA MAZINGIRA HAYA NDUGU ZANGU

1: kuhisi upweke sana moyoni kiasi cha kujiona siyo binadamu wa kawaida

2: Napatwa na hisia za uchungu na hasira hali inayo pelekea kuhisi kama nataka kulipuka flani hivi. ( Yani kunakua na kitu kama natakiwa nikitapike au ni kipasue ndani ya moyo wangu kitoke niwe salama)

3: Mwili wangu na akili umechoka sana mpaka na jihisi mwili hauna energy ya kutosha na akili kuzimia

4: Nimekua ni kihema sana na kutoa hewa kwa nguvu ili mwili urelax

5: Nimekua mtu wakukosa amani moyoni kabisa ndugu zangu niwe kazini, niwe nyumbani au hata kwenye mikusanyiko ya watu

6: Sina marafiki wa kudumu hata mmoja kwa sasa na kuchangamana na watu najikuta tuu automatically hata nikiwa na watu bado nakuwa mpweke sana.

7: Sina furaha kabisa , japo na fake sana furaha ila kiukweli mimi sinaga furaha hata kidogo tuu

8: Nime kuwa ni mtu wa kuhisi na kuona imagination za matukio ya kutisha tisha na ya hatari tupu ndugu zangu kama ajali, vifo, mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu na manyanyaso makali , pamoja na vitendo vya kikatili sana kwa binadamu na wanyama

9: Nimekua ni mtu wa kukosa usingizi kabisa, japo mwili unataka muda wote uwe umelala tuu

10: Macho yangu ya mekua angavu sana inafika mahali nakua kama mtu mwenye kusinzia sana

HATUA NILIZO JITAHIDI KUZICHUKUA KUKABILIANA NA MAZINGIRA HAYO ILA ZIKAGONGA MWAMBA

1: Nilienda hospitali ya Rufaa nikakutana na wataalamu wa afya ya mwili nikawaelezea jinsi nilivyo, wakanielekeza kwa wataalamu wa afya ya akili ila niliishiwa kupewa dawa kama "amitrilia" na zikagonga mwamba baadae nilihamishiwa kwa specialist mmoja na kunipa dozi ya vidonge vya "phenobabiton"


2: Dawa zao ziligonga mwamba zote na madaktari wakanionyesha kukata tamaa na mimi japo hawakuniambia ila mazungumzo yao yalionyesha hivyo, waliingia mpaka library zaidi ya madaktari tano ila waliishia kuniambia katumie hizo dawa tuu na uombe sana.

3: Nimejitahidi kwenda kwenye maombi ila naona huko wananichanganya sana , kila mtumishi anaongea lake .

4: Nimejitahidi kujichanganya kwenye gym na viwanja vya mazoezi , pamoja na kupiga mazoezi makali sana ila hakuna badiliko chanya bado nipo hivyo hivyo

Ndugu zangu naombeni ushauri na msaada wenu nifanyaje ndugu zangu.

Asanteni



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Tunafanana ila mie ninamashaka ni mkono wa mtu hivyo rudi kilipofukiwa kitovu chako waone wazee wakuogeshe.umenielewa nadhani mtafute mzee mwenye busara kijijini kwenu akupeleke sehemu.maana kuna mtu anaishi maisha yako wewe upo kama kivuli tu
 
Existential frustration.
Maisha yamekosa meaning.

Swali langu ni moja tu.

Je una kazi yoyote ya kukuingizia kipato?,je unaipenda?Je unataka kufanya nini katika maisha yako ambacho ukikipata basi unadhani maisha yako yatakuwa ya furaha na amani?

Pia ukipata muda kama unajua kusoma kiingereza soma kitabu cha Victor E Frankl kinaitwa Man's search for meaning.
 
Habari ya asubuhi ndugu zangu.

Mimi ni kijana wenu mwenye umri wa miaka 30+, sijaoa wala sina familia na pia sina mwanamke yeyote wa kudumu,nakuja hapa kuomba kwenu ushauri wa kina juu ya haya mazingira ninayo ya pitia maana yamekua tishio kwa maisha yangu sasa na siku za usoni ndugu zangu, nisaidie kijana wenu

NIMEKUA NIKIKUMBANA NA MAZINGIRA HAYA NDUGU ZANGU

1: kuhisi upweke sana moyoni kiasi cha kujiona siyo binadamu wa kawaida

2: Napatwa na hisia za uchungu na hasira hali inayo pelekea kuhisi kama nataka kulipuka flani hivi. ( Yani kunakua na kitu kama natakiwa nikitapike au ni kipasue ndani ya moyo wangu kitoke niwe salama)

3: Mwili wangu na akili umechoka sana mpaka na jihisi mwili hauna energy ya kutosha na akili kuzimia

4: Nimekua ni kihema sana na kutoa hewa kwa nguvu ili mwili urelax

5: Nimekua mtu wakukosa amani moyoni kabisa ndugu zangu niwe kazini, niwe nyumbani au hata kwenye mikusanyiko ya watu

6: Sina marafiki wa kudumu hata mmoja kwa sasa na kuchangamana na watu najikuta tuu automatically hata nikiwa na watu bado nakuwa mpweke sana.

7: Sina furaha kabisa , japo na fake sana furaha ila kiukweli mimi sinaga furaha hata kidogo tuu

8: Nime kuwa ni mtu wa kuhisi na kuona imagination za matukio ya kutisha tisha na ya hatari tupu ndugu zangu kama ajali, vifo, mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu na manyanyaso makali , pamoja na vitendo vya kikatili sana kwa binadamu na wanyama

9: Nimekua ni mtu wa kukosa usingizi kabisa, japo mwili unataka muda wote uwe umelala tuu

10: Macho yangu ya mekua angavu sana inafika mahali nakua kama mtu mwenye kusinzia sana

HATUA NILIZO JITAHIDI KUZICHUKUA KUKABILIANA NA MAZINGIRA HAYO ILA ZIKAGONGA MWAMBA

1: Nilienda hospitali ya Rufaa nikakutana na wataalamu wa afya ya mwili nikawaelezea jinsi nilivyo, wakanielekeza kwa wataalamu wa afya ya akili ila niliishiwa kupewa dawa kama "amitrilia" na zikagonga mwamba baadae nilihamishiwa kwa specialist mmoja na kunipa dozi ya vidonge vya "phenobabiton"


2: Dawa zao ziligonga mwamba zote na madaktari wakanionyesha kukata tamaa na mimi japo hawakuniambia ila mazungumzo yao yalionyesha hivyo, waliingia mpaka library zaidi ya madaktari tano ila waliishia kuniambia katumie hizo dawa tuu na uombe sana.

3: Nimejitahidi kwenda kwenye maombi ila naona huko wananichanganya sana , kila mtumishi anaongea lake .

4: Nimejitahidi kujichanganya kwenye gym na viwanja vya mazoezi , pamoja na kupiga mazoezi makali sana ila hakuna badiliko chanya bado nipo hivyo hivyo

Ndugu zangu naombeni ushauri na msaada wenu nifanyaje ndugu zangu.

Asanteni



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hapo kwenye usingiz mi mwenyewe sipati wa kutosha Ila umri huo kukosa mwanamke wa kueleweka unakua lonely Sana Mana huna mtu hata wa kushare Mambo yako.
 
Habari ya asubuhi ndugu zangu.

Mimi ni kijana wenu mwenye umri wa miaka 30+, sijaoa wala sina familia na pia sina mwanamke yeyote wa kudumu,nakuja hapa kuomba kwenu ushauri wa kina juu ya haya mazingira ninayo ya pitia maana yamekua tishio kwa maisha yangu sasa na siku za usoni ndugu zangu, nisaidie kijana wenu

NIMEKUA NIKIKUMBANA NA MAZINGIRA HAYA NDUGU ZANGU

1: kuhisi upweke sana moyoni kiasi cha kujiona siyo binadamu wa kawaida

2: Napatwa na hisia za uchungu na hasira hali inayo pelekea kuhisi kama nataka kulipuka flani hivi. ( Yani kunakua na kitu kama natakiwa nikitapike au ni kipasue ndani ya moyo wangu kitoke niwe salama)

3: Mwili wangu na akili umechoka sana mpaka na jihisi mwili hauna energy ya kutosha na akili kuzimia

4: Nimekua ni kihema sana na kutoa hewa kwa nguvu ili mwili urelax

5: Nimekua mtu wakukosa amani moyoni kabisa ndugu zangu niwe kazini, niwe nyumbani au hata kwenye mikusanyiko ya watu

6: Sina marafiki wa kudumu hata mmoja kwa sasa na kuchangamana na watu najikuta tuu automatically hata nikiwa na watu bado nakuwa mpweke sana.

7: Sina furaha kabisa , japo na fake sana furaha ila kiukweli mimi sinaga furaha hata kidogo tuu

8: Nime kuwa ni mtu wa kuhisi na kuona imagination za matukio ya kutisha tisha na ya hatari tupu ndugu zangu kama ajali, vifo, mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu na manyanyaso makali , pamoja na vitendo vya kikatili sana kwa binadamu na wanyama

9: Nimekua ni mtu wa kukosa usingizi kabisa, japo mwili unataka muda wote uwe umelala tuu

10: Macho yangu ya mekua angavu sana inafika mahali nakua kama mtu mwenye kusinzia sana

HATUA NILIZO JITAHIDI KUZICHUKUA KUKABILIANA NA MAZINGIRA HAYO ILA ZIKAGONGA MWAMBA

1: Nilienda hospitali ya Rufaa nikakutana na wataalamu wa afya ya mwili nikawaelezea jinsi nilivyo, wakanielekeza kwa wataalamu wa afya ya akili ila niliishiwa kupewa dawa kama "amitrilia" na zikagonga mwamba baadae nilihamishiwa kwa specialist mmoja na kunipa dozi ya vidonge vya "phenobabiton"


2: Dawa zao ziligonga mwamba zote na madaktari wakanionyesha kukata tamaa na mimi japo hawakuniambia ila mazungumzo yao yalionyesha hivyo, waliingia mpaka library zaidi ya madaktari tano ila waliishia kuniambia katumie hizo dawa tuu na uombe sana.

3: Nimejitahidi kwenda kwenye maombi ila naona huko wananichanganya sana , kila mtumishi anaongea lake .

4: Nimejitahidi kujichanganya kwenye gym na viwanja vya mazoezi , pamoja na kupiga mazoezi makali sana ila hakuna badiliko chanya bado nipo hivyo hivyo

Ndugu zangu naombeni ushauri na msaada wenu nifanyaje ndugu zangu.

Asanteni



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nilitamani nkutumie audio zenye matumaini bahati mbaya bando ni hafifu.

Tafuta hili somo youtube "uponyaji kws waliovunjika moyo"
Yapo masomo nane(08) ukitulixa akili ukasikiliza vizur naona uponyaji wa hayo yotee

Pole sana mkuu kwa yote unayopitia
 
Back
Top Bottom