ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 8,682
- 16,249
Huu uzi umewauma sana akina dada ambao bado hawajaolewa nakuwakatisha tamaa baadhi ya wanaume ambao wako kwenye uchumba na wanawake ambao ni 30+,kikubwa wanawake wasikubali kuchezewachezewa hovyo,matokeo yake baadhi ya wanaume wenzetu wanaona kwamba mwanamke mwenye umri mkubwa anakua katumika sana wakati yawezekana siyo kweli kwa baadhi.Mjitunze jamani,tembeeni na wanaume wachache kabla ya ndoa ili hata mtazamo wa watu juu yenu ubadilike.Hebu nyie akina dada angalieni wanawake wanavyolala hadi asubuhi kwa wanaume,hao wanawake wanaenda mavyuoni wakiwa labda na miaka 18,anafika huko anatumika wee hadi mwisho wa kozi husika,baada ya hapo anapangiwa kazi kituoni kwake,lets say kazi ya unesi,anapigwa weee hadi anafikisha miaka 30+,huyo mwanamke kuolewa inakua shida sana hasa kwasasa,mtu anaona bora nayeye amchukue mdada ambaye anaweza akaanza kumchosha hadi afike 30 akiwa kwenye mikono yake.Poleni sana akina dada ambao bado hjaolewa,wengine wanajitahidi sana ku-care wanaume,wanawanunulia hadi vyombo vya usafiri ili adhma ya kuolewa itimie lakini wapi,nikifikiria msimu wa baridi unaokuja kuanzia mwezi ujao hadi mwezi wa sita,wakina dada wengi waliojipangia watakua kwenye stress sana na wengine kuamua kuchukua wanaume hata wawatu ili kupunguza ubaridi nahivyo kuendelea kujiweka kwenye mazingira yakutoweza kuolewa kirahisi na watafuta wachumba kisa wataonekana wahuni kumbe ni baridi na upweke ndiyo unawafanya wafanye hivyo.