Anza kuthibitisha la Mbowe kuharibiwa mashamba yake halafu uone uwezekano wa Zitto kuchomewa mikorosho.Unathibisha vipi?
Fatma yeye walimchomea ofisi.Siasa za JIWE zilikuwa za Hovyo sana ,unashangaa kuchomewa shamba na nyumba? Mbona ni ndogo sana hizo ,ulijiuliza wale waliokutwa kwenye viroba? Ben,Azory,Kanguye,Rujabe wamepotea!!
Kama aliweza kusema wafungwa wawe wanapigwa mateke na wafanyishwe kazi ngumu Kweli kweli, mara mashangazi wapigwe.Hakuna shaka yeyote,hayo matendo alikuwa nayo sana tu
Ofisi ilivurumishiwa bomu.Huku Lissu akimwagiwa mvua ya risasi mwilini mwake.Hakika kuna viumbe wanafanana na binadamu.Fatma yeye walimchomea ofisi.
Yule kiumbe alikuwa "skrubu-mlegezo"!😂😂😂😂Kama aliweza kusema wafungwa wawe wanapigwa mateke na wafanyishwe kazi ngumu Kweli kweli,Mara mashangazi wapigwe.
Siwezi kushangaa hata hayo mengine wanayosema aliyafanya.
Inaonyesha bado kuna watu walipenda sana kuonea wenzao na kuzipa familia nyingi majonzi kwa sababu tu ya baadhi ya watu kuongea vitu visivyowapendeza wao.Kwa nini kama ana taarifa akamatwe au ukiwa na taarifa za uhalifu mpaka ukamatwe? Kama hivyo ndivyo, nani yuko tayari kukamatwa ili atoe taarifa? Kama anaona inatakiwa angesema 'Zitto awasaidie polisi kupata taarifa kuhusu kuchoma shamba lake'.
Tofauti zao ni idadi ya watu aliowaua na namna alivyokuwa anaua Hitler. Na kama angeendelea kuwa hai idadi ingetimiaHuu mfano wa Hitler sio relevant.
Marehemu atatajwa tu aidha kwa mema au mabaya yakeHivi mpaka sasa bado kuna watu wanaangaika na marehemu kweli?
Yule jamaa wa Butimba ambaye natumia picha yake kama avatar hakufukuzwa bali alihamishiwa Ukerewe. To put records rightMkuu mbona makasiriko sana au kwa vile alikufukuza kazi yako ya askari magereza
UmkhontoweSizwe akili yako haijai kisoda, inakutosha kuvukia barabara tuShetani ni yule jamaa yenu anayeshikishwa ukuta kule mamtoni. Yeye unahitaji kukamata wangapi ili kujua ushetani wake?
Jenga hoja acha matusi ya eti "pumba" vitendo vya kuharibu mali za wapinzani yakiwemo mauaji vilishamiri kwa uwazi kipindi hicho cha Jpm, na polisi walikuwa wakitaarifiwa bila kuchukua hatua stahiki,Acha kuongea pumba, ushirika na JPM kisa tu kutaka Zitto aeleze wailiompa taarifa za JPM kutuma watu wachome nyumba zake?
Mashamba ya Mbowe yanaingia vipi? Hujui sheria ya mazingira?
Zitto kaibua hoja, anatakiwa awa a aidie polisi kuwapata wahalifu
Of course Mtawala aliyenyamazia unyama wote wakati alikuwa na mamlaka ya kuchukua hatua anapaswa kuhusishwa na huo unyama!Huu ni uzandiki mbaya sana kwa mwanasiasa kumchafua kiongozi aliyetangulia mbele za haki.
Maadamu jinai haina mwisho na huyu Zitto anadai kuwa hayati Magufuli alituma watu kuchoma mali zake, nyumba iliyoko Kigoma na shamba la korosho huko mtwara.
Kama huyu Zitto sio muongo basi akamatwe na kusaidia jeshi la polisi liwakamate hao waliotumwa kuchoma mali zake. Maana hili ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo cha maisha.
My take; Kufuga wanasiasa kama huyu Zitto kwenye taifa letu ni kufuga maadui wasiofaa kabisa.
Zaidi, soma: 'Mtwara: Shamba la Korosho linalodaiwa kuwa la Zitto lachomwa moto na watu wasiojulikana. Zitto alikana...
Nyumba ya Mbunge Zitto Kabwe Mkoani Kigoma yaungua moto
Nyumba ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) iliyopo Mwandiga, mkoani Kigoma yaungua moto. Bado chanzo hakijajulikana. Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amezungumzia tukio la kuteketea moto nyumba yake jioni ya leo na kueleza kuwa licha ya moto huo kuunguza vitu...www.jamiiforums.com
🤫🖕Funga mdomo huo aisee... siasa huijui na JIWE KWELI LILIKUWA LINATENDA HAYO MAOVU.
funga bakuli lako maana utapata taabu sana.
🤫🖕Kuna chuki za aina ngapi kwani?
Nitaandika kuhusu uhalifu wa Magufuli hadi siku yangu ya mwisho ya kupumua. Yaani yule muuaji na mwizi ndiyo mnalazimisha aonekane katenda mema ya ajabu Tanzania. HAPANA