Waziri Simbachawene, Zitto akamatwe na kulisaidia jeshi la polisi kumpata kijana aliyempa taarifa kuwa hayati Magufuli alituma watu kuchoma mali zake

Kwa nini kama ana taarifa akamatwe au ukiwa na taarifa za uhalifu mpaka ukamatwe? Kama hivyo ndivyo, nani yuko tayari kukamatwa ili atoe taarifa? Kama anaona inatakiwa angesema 'Zitto awasaidie polisi kupata taarifa kuhusu kuchoma shamba lake'.
Inaonyesha bado kuna watu walipenda sana kuonea wenzao na kuzipa familia nyingi majonzi kwa sababu tu ya baadhi ya watu kuongea vitu visivyowapendeza wao.
 
Acha kuongea pumba, ushirika na JPM kisa tu kutaka Zitto aeleze wailiompa taarifa za JPM kutuma watu wachome nyumba zake?

Mashamba ya Mbowe yanaingia vipi? Hujui sheria ya mazingira?

Zitto kaibua hoja, anatakiwa awa a aidie polisi kuwapata wahalifu
Jenga hoja acha matusi ya eti "pumba" vitendo vya kuharibu mali za wapinzani yakiwemo mauaji vilishamiri kwa uwazi kipindi hicho cha Jpm, na polisi walikuwa wakitaarifiwa bila kuchukua hatua stahiki,

Iweje leo utudanganye kuwa hii ni hoja mpya iliyoibuliwa kwamba sasa polisi waanze kumsaka Zitto. Je wewe ulikuwa wapi siku zile lilipotokea jambo hilo mbona ilisikika na kuvuma pande zote kuwa kuna watu wanatumwa na "system" kuwadhoofisha wapinzani wa Jpm. Hapa jenga hoja usikimbilie kutukana.
 
Huu ni uzandiki mbaya sana kwa mwanasiasa kumchafua kiongozi aliyetangulia mbele za haki.

Maadamu jinai haina mwisho na huyu Zitto anadai kuwa hayati Magufuli alituma watu kuchoma mali zake, nyumba iliyoko Kigoma na shamba la korosho huko mtwara.

Kama huyu Zitto sio muongo basi akamatwe na kusaidia jeshi la polisi liwakamate hao waliotumwa kuchoma mali zake. Maana hili ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo cha maisha.

My take; Kufuga wanasiasa kama huyu Zitto kwenye taifa letu ni kufuga maadui wasiofaa kabisa.

Zaidi, soma: 'Mtwara: Shamba la Korosho linalodaiwa kuwa la Zitto lachomwa moto na watu wasiojulikana. Zitto alikana...

Of course Mtawala aliyenyamazia unyama wote wakati alikuwa na mamlaka ya kuchukua hatua anapaswa kuhusishwa na huo unyama!
 
Kuna chuki za aina ngapi kwani?

Nitaandika kuhusu uhalifu wa Magufuli hadi siku yangu ya mwisho ya kupumua. Yaani yule muuaji na mwizi ndiyo mnalazimisha aonekane katenda mema ya ajabu Tanzania. HAPANA
🤫🖕
 
Upinzani wa Tanzania ni aibu kubwa sana, wako busy na mambo kijinga jinga mengi, wabunge wazima wana shindana kutrend kama wasanii wa bongo movie. Upinzani hauna agenda zaidi ya kushinda online wakisema uongo.
 
Hakuanza kusema leo kuhusu mali zake kuchomwa au kuharibiwa.

Ila sawa naona watampa ya Mbowe atulie huko kimya
 
Back
Top Bottom