Mkuu aisee yaani shukuru Mungu alipita mbali na wewe.. Alikuwa katili sana tena baadhi ya matukio aliyafurahia lengo kuu ikiwa ni yeye kuogopeka nchi nzimaMarehemu hakua katili nadhani ni arrogance na nadhani hata vitu vingi hakufanya yeye ni wasomi wetu waliomzunguka, shida ni kwamba hakukemea
Mkuu aisee yaani shukuru Mungu alipita mbali na wewe.. Alikuwa katili sana tena baadhi ya matukio aliyafurahia lengo kuu ikiwa ni yeye kuogopeka nchi nzima
I hope sio kauli ya mzaha. Zito akamatwe aeleze.Huu ni uzandiki mbaya sana kwa mwanasiasa kumchafua kiongozi aliyetangulia mbele za haki.
Maadamu jinai haina mwisho na huyu Zitto anadai kuwa hayati Magufuli alituma watu kuchoma mali zake, nyumba iliyoko Kigoma na shamba la korosho huko mtwara.
Kama huyu Zitto sio muongo basi akamatwe na kusaidia jeshi la polisi liwakamate hao waliotumwa kuchoma mali zake. Maana hili ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo cha maisha.
My take; Kufuga wanasiasa kama huyu Zitto kwenye taifa letu ni kufuga maadui wasiofaa kabisa.
Zaidi, soma: 'Mtwara: Shamba la Korosho linalodaiwa kuwa la Zitto lachomwa moto na watu wasiojulikana. Zitto alikana...
Nyumba ya Mbunge Zitto Kabwe Mkoani Kigoma yaungua moto
Nyumba ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) iliyopo Mwandiga, mkoani Kigoma yaungua moto. Bado chanzo hakijajulikana. Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amezungumzia tukio la kuteketea moto nyumba yake jioni ya leo na kueleza kuwa licha ya moto huo kuunguza vitu...www.jamiiforums.com
Stuxnet huu ni ujumbe wako murua kabisa.I hope sio kauli ya mzaha. Zito akamatwe aeleze.
Kuna programme ya kumchafua magufuli wanapewa pesa nje. Ni kawaida mabeberu anapoondoka kiongozi mwanamapinduzi wanatumia hela nyingi kumchafua kuua legacy yake na wanasiada vibaraka wanatumika.
Alipopinduliwa nkwame nkurumah walimchafua hadi ikawa aibu ghana mtu kujiassociate na nkurumah. Alipokufa sekou toure wa guinee na alipopinduliwa modibo keita wa mali propaganda kubwa ya mabeberu ilipita kumchafua.
Alipong'atuka nyerere walijitahidi sana bila mafanikio. Tuliona kina lissu wakitumika. Na baada ya kufa magufuli tumeona jinsi wanavyohangaika watu wamuone alikua mtu mbaya ila wamefeli vibaya. Tumeona wahuni wakizuka ila wataabika tu.
Watu walipewa maelekezo wakafanya ya ziada mkuu... Kuna kikosi kazi kilitengenezwa Task Force humo ndani walikuwa TRA, Polisi, Wakuu wa vitengo wengi wakajipendekeza pia humo Ndani..Ni mawazo yangu tu, sijui sana ila jinai haifi. Kuna watu walipewa maelekezo labda walienda kwenye extremes
Na kama ikithibitika tuhuma zake ni kweli mtaenda kufukua ule mzoga kule Chato muuwajibishe?Huu ni uzandiki mbaya sana kwa mwanasiasa kumchafua kiongozi aliyetangulia mbele za haki.
Maadamu jinai haina mwisho na huyu Zitto anadai kuwa hayati Magufuli alituma watu kuchoma mali zake, nyumba iliyoko Kigoma na shamba la korosho huko mtwara.
Kama huyu Zitto sio muongo basi akamatwe na kusaidia jeshi la polisi liwakamate hao waliotumwa kuchoma mali zake. Maana hili ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo cha maisha.
My take; Kufuga wanasiasa kama huyu Zitto kwenye taifa letu ni kufuga maadui wasiofaa kabisa.
Zaidi, soma: 'Mtwara: Shamba la Korosho linalodaiwa kuwa la Zitto lachomwa moto na watu wasiojulikana. Zitto alikana...
Nyumba ya Mbunge Zitto Kabwe Mkoani Kigoma yaungua moto
Nyumba ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) iliyopo Mwandiga, mkoani Kigoma yaungua moto. Bado chanzo hakijajulikana. Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amezungumzia tukio la kuteketea moto nyumba yake jioni ya leo na kueleza kuwa licha ya moto huo kuunguza vitu...www.jamiiforums.com
Magufuli ni takataka tu hapa wacha kuilinganisha na akina Kwame Nkrumah na J K Nyerere. Rudi kwa mwalimu wako akakusomeshe tena.I hope sio kauli ya mzaha. Zito akamatwe aeleze.
Kuna programme ya kumchafua magufuli wanapewa pesa nje. Ni kawaida mabeberu anapoondoka kiongozi mwanamapinduzi wanatumia hela nyingi kumchafua kuua legacy yake na wanasiada vibaraka wanatumika.
Alipopinduliwa nkwame nkurumah walimchafua hadi ikawa aibu ghana mtu kujiassociate na nkurumah. Alipokufa sekou toure wa guinee na alipopinduliwa modibo keita wa mali propaganda kubwa ya mabeberu ilipita kumchafua.
Alipong'atuka nyerere walijitahidi sana bila mafanikio. Tuliona kina lissu wakitumika. Na baada ya kufa magufuli tumeona jinsi wanavyohangaika watu wamuone alikua mtu mbaya ila wamefeli vibaya. Tumeona wahuni wakizuka ila wataabika tu.
Wee cheti feki unajua nini. Eti nenda kwa mwalimu wako. Nkwame nkurumah unamwelewa kwanza wewe? Mijitu tumbo mbele inajidai inajua. Ungekua na akili na utu usingeweza kumwita magufuli takatakaMagufuli ni takataka tu hapa wacha kuilinganisha na akina Kwame Nkrumah na J K Nyerere. Rudi kwa mwalimu wako akakusomeshe tena.
Mukishavuta Bangi ya Tarime na mwenzio Nyankurungu2020 mnaaza kuona vichaa wanafanana na Baba wa Taifa. Shame on you
Afadhali mimi inaniwezesha kuvukia barabara, hawa jamaa 👇 akili yao haiwatoshi hata kuvukia mto kwenda Masai mara!UmkhontoweSizwe akili yako haijai kisoda, inakutosha kuvukia barabara tu
Wanavuka na kurudi, ndiyo maana watalii wanajazana kuja kuangalia world biggest wildbeast migrationAfadhali mimi inaniwezesha kuvukia barabara, hawa jamaa 👇 akili yao haiwatoshi hata kuvukia mto kwenda Masai mara! View attachment 2052950
Hakuna Cha uzandiki hapo kusema maovu ya viongozi waliopita,kufa.Huu ni uzandiki mbaya sana kwa mwanasiasa kumchafua kiongozi aliyetangulia mbele za haki.
Maadamu jinai haina mwisho na huyu Zitto anadai kuwa hayati Magufuli alituma watu kuchoma mali zake, nyumba iliyoko Kigoma na shamba la korosho huko Mtwara.
Kama huyu Zitto sio muongo basi akamatwe na kusaidia jeshi la polisi liwakamate hao waliotumwa kuchoma mali zake. Maana hili ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo cha maisha.
My take; Kufuga wanasiasa kama huyu Zitto kwenye taifa letu ni kufuga maadui wasiofaa kabisa.
Zaidi, soma: 'Mtwara: Shamba la Korosho linalodaiwa kuwa la Zitto lachomwa moto na watu wasiojulikana. Zitto alikana...
Nyumba ya Mbunge Zitto Kabwe Mkoani Kigoma yaungua moto
Nyumba ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) iliyopo Mwandiga, mkoani Kigoma yaungua moto. Bado chanzo hakijajulikana. Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amezungumzia tukio la kuteketea moto nyumba yake jioni ya leo na kueleza kuwa licha ya moto huo kuunguza vitu...www.jamiiforums.com
Huu mfano wa Hitler sio relevant.
Wiki sasa toka amri itolewe..vp hajakamatwa tu?Huu ni uzandiki mbaya sana kwa mwanasiasa kumchafua kiongozi aliyetangulia mbele za haki.
Maadamu jinai haina mwisho na huyu Zitto anadai kuwa hayati Magufuli alituma watu kuchoma mali zake, nyumba iliyoko Kigoma na shamba la korosho huko Mtwara.
Kama huyu Zitto sio muongo basi akamatwe na kusaidia jeshi la polisi liwakamate hao waliotumwa kuchoma mali zake. Maana hili ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo cha maisha.
My take; Kufuga wanasiasa kama huyu Zitto kwenye taifa letu ni kufuga maadui wasiofaa kabisa.
Zaidi, soma: 'Mtwara: Shamba la Korosho linalodaiwa kuwa la Zitto lachomwa moto na watu wasiojulikana. Zitto alikana...
Nyumba ya Mbunge Zitto Kabwe Mkoani Kigoma yaungua moto
Nyumba ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) iliyopo Mwandiga, mkoani Kigoma yaungua moto. Bado chanzo hakijajulikana. Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amezungumzia tukio la kuteketea moto nyumba yake jioni ya leo na kueleza kuwa licha ya moto huo kuunguza vitu...www.jamiiforums.com
Bwashee we huoni wanavyoliwa na mamba kila mwaka? Wangekuwa na akili wangebadili mbinu!Wanavuka na kurudi, ndiyo maana watalii wanajazana kuja kuangalia world biggest wildbeast migration
Ila kwa huyu imekuwa too much, i didn't seen ever!.Marehemu atatajwa tu aidha kwa mema au mabaya yake