Waziri Simbachamwene ametudhalilisha Polisi

Waziri Simbachamwene ametudhalilisha Polisi

Degree ya kulenga ugoko wa Mbowe
Mkuu mbona mimi naona kama aliwapandisha sana kusema mnalinda benk? Lakini ukweli ni kwamba polis kazi kubwa mnayoifanya ni kupambana na CHADEMA!
Hiyo ayo ukaisomee degree ya kazi gani? Je sio kweli kuwa kila siku na hata kwenye sherehe kubwa kama Uhuru na Muugano polisi huwa wanaonyeshwa hadi kwenye tv zote wakipiga gwaride? Au uliwahi hata siku moja gwaride likipigwa na walimu???
Hiyo Division ya kwako nani alikuzuia usiende A-level na kusomea fai zingine?
Life is how you make it yourself my bro!
 
 
Jana nimemsikia waziri wa mambo ya ndani akidai wameita waliofeli katika ajira za mambo ya ndani kwa kuwa wanahitaji watu wa kubeba bunduki mtaani.

ni wazi fikra za wizara hii haziendani na kasi ya ukuaji wa sekita ya elimu katika nchi yetu kwamba nchi yetu imeongeza shule nyingi sana na vyuo vingi sana na tunakoelekea hata boda boda, mama lishe, machinga watakuwa na shahada.

hatuwezi kufanya mabadiliko makubwa katika sekita ya elimu kwa kuhakikisha watu wengi zaidi wanapata fursa za kusoma na kufikia elimu ya juu na tukabaki na dhana za zamani kuwa wasomi wanatakiwa kuwa maafisa wanaokaa maofisini tu na huku fursa za kukaa ofisini kwa wasomi wetu hatuna na wasomi wanabaki nyumbani na tukiamini kazi fulani ni kwa watu wasiosoma.

swala la kupanda vyeo au kujiendeleza litaendana na nafasi zinazopo na siyo kigezo cha ufaulu tu na kujikuta jamii ina wasomi wasio na ajira huku upendeleo ukitolewa kwa wasiosoma.

kadiri tunavyopiga hatua katika sekita ya elimu ndivyo mazingira fulani yanavyobadirika na kutoa kipaumbele kwa wanaojituma katika sekita ya elimu.
 
Waziri kaweka unafiki pembeni kagongs penyewe,nani hasiyejus kuwa polisi wetu ni vilaza? Na serikali unafanya hivyo makusudi ili kuwatumikisha vizuri kwa manufaa yao ya kisiasa. Maana ukiweka walio vizuri watakuwa wanafanyia reasoning maagizo mengi ya watawala kitu ambacho watawala hawataki kitokee never on earth.
 
Kumbe kipindi kile cha Kunji UDSM wanachuo walikuwa sawa kuwakejeli Askari wetu...!!!
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Muwashieni moto huyo hana adabu,hiyo wizara inafaa mapolisi wenzenu kama Lugola Kangi.
 
Ko hata kule "teeth" kupo kama alivyo sema waziri?
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Malizaneni naye huko huko, yeye mwenyewe ana elimu ya kuunga unga.......mtaelewana zaidi.
 
Huo ni udhalilishaji waziri ajiudhuru na mheshimiwa Raisi ambaye ni amiri jeshi mkuu aingilie kati kupata division one sio kigezo zaidi ya utayari wa askari na kujitoa kwake ule mziki wa AMZA unahitaji division one kweli tuache siasa kwenye mambo ya majeshi.
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
wa hapa ni kama umbwa akiambiwa shika....anashika they do not reason
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Mkuu, mbona unamuonea bure huyo waziri?
 
Waziri kasema kweli kabisa na kuna mengine kawasitiri angesema mngemponda mawe-division one haiwezi kwenda kupiga gwaride, kulinda benki, ...
Mnaongelea F4 au mnaongelea kitu gani jamani hebu fanyeni hesabu jamani 1 ya Sanaa au ya sayansi? Mbona tunajisahau Sana kuwa 1 ya Sanaa hata ungeenda Hadi University bado ⅞ utarudi mtaani kuwa machinga tunao wengi mtaani hawana kazi na degree zao yupi bora atakaeenda polisi moja kwa moja na huyo mwenye degree za sandukuni. Hebu tuwe makini tunahitaji jeshi la watu wenye ueredi wa kutosha sio hao wasiojua hata msahafu wao unasemaje.
aka PGO
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Msumari wa kichwa! NI JESHI LA VILAZA period
 
Hapa Waziri amekosea.
1. Ina maana huko polisi hawapandishwi vyeo kuwa makududi.
2. Ina maana elimu sio msingi kwenye kazi za jeshi la polisi.
3. Jeshi la polisi litawezaje ku-operate ktk era ya technolojia kama waajiriwa ni failures.
4. Je si vema basi wachukue darasa la 7 kabisa ieleweke.
5. Je viongozi walioko sasa hivi ktk jeshi la polisi, ina maana nao walikuwa failure??
6. Kwa mtazamo huu wa Waziri, ipo miaka tutakuta jeshi la polisi Hali a maafisa waliosndaliwa.
Kwa kweli amelidhalilisha Sana jeshi la Polisi. Natumaini hili alitolee marekebisho.
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom