Bro...hakuna sababu ya hasira,chukua kwa ufupi sana mfano huu[emoji116]
Mimi ni dereva wa mashirika wa kusome,nimefanya kazi na NGO's zaidi ya miaka zaidi ya 15
Nilipokua napata hasira za mshahara mdogo au kunekana mimk ni mtu wa chini sana wa kudharaulika nilipatwa na uchungu,nilipokumbuka kua nimejenga nyumba ya kuishi nilianza kukusaya pesa ya kununua gari dogo,na nikafanikiwa...kisha nikaacha kazi na kuingia mtaani kama taxi driver,maisha hayahitaji aibu wala uoga,ule mshahara wa shirika naupata,kinachokosekana ni ile tu kuonekana kwamba mimi ni dereva wa shirika kubwa,haisaidii..swala ni pesa,uhulu wa maisha yako na amani moyoni.
Hakuna boss amewahi kumheshimu wa chini,ni wachache sana.
Chukua maamuzi acha uoga