Waziri Simbachamwene ametudhalilisha Polisi

Waziri Simbachamwene ametudhalilisha Polisi

Kumbe mapolisi asilimia kubwa ni wale waliofeli kimasomo ndio maana hata hawajui PGO ni ni mdudu gani
Watanzania tujiandaee na maumivi ya kupambana na vilaza walio bebeshwa silaha kihalali
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Hivi jamani kweli huyu waziri kathubutu kutamka maneno hayo au wanamzingizia? Hivi kweli Polisi ambayo ndiyo wanaowafanyia investigation watuhumiwa mbali mbali kujua kama wana hatia kisha kupeleka mashauri yao mahakamani hawafanyi kazi ya ueledi?
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Waziri kaongea ukweli tupu, kazi yenu haina tofauti na kampuni za ulinzi
 
Hivi jamani kweli huyu waziri kathubutu kutamka maneno hayo au wanamzingizia? Hivi kweli Polisi ambayo ndiyo wanaowafanyia investigation watuhumiwa mbali mbali kujua kama wana hatia kisha kupeleka mashauri yao mahakamani hawafanyi kazi ya ueledi?
Tunafanya kwa weledi ila hatutakiwi kuijua JPO na wengi tumeisikia kwenye sakata la Kingai, Mahita na magaidi
 
Hta

Hata ukiwa na degree tano kwenye upolisi unatakiwabujue kazi yako bado ni ulinzi tu hata iweje ipo siku utasimama kulinda watu.
Sisi tunalinda Mali, raia na usalama kwa ujumla
 
Haikuwa kauli nzuri. DG TISS, PCCB, etc kuna ongozwa na failure? Nadhani walipaswa kuweka vigezo vingine na si iwe kufeli. Ndiyo maana hata kwenye elimu za misingi na secondary failure ndiyo anafundisha na bright anafundisha chuo.
 
Hivi jamani kweli huyu waziri kathubutu kutamka maneno hayo au wanamzingizia? Hivi kweli Polisi ambayo ndiyo wanaowafanyia investigation watuhumiwa mbali mbali kujua kama wana hatia kisha kupeleka mashauri yao mahakamani hawafanyi kazi ya ueledi?
Mara nyingi polisi hulazimisha kushinda kesi kwa hisani ya jaji, turejee vifungo vya akina Sugu Mbeya na Akina Mbowe Dar ambao wote mwisho walisafishwa na mahakama kuwa hawakua na hatia ya kuhalalisha vifungo! Adhabu za namna hiyo ziko nyingi sana kwa wapinzani.
 
Yuko sahihi, hakuna Polisi mwenye kujielewa aliyesoma akaelimika akakubali maagizo ya kuchukua kura fake na kuweka kwenye ballot box, huyu ni mpuuzi kama wapuuzi wanaokuwa wamemtuma tu.

Facts zipo nyingi sana zinazothibitisha kuwa Polisi hawana ajili, sio kweli kuwa kila order ni ya kutekeleza, only in Tanzania.
Kwa kuongezea ukiwa police timamu mwenye ufaulu huwezi kumkamata mtanzania kwa kosa la kufanya jogging. Waziri wenu yuko sahihi sana.
 
Back
Top Bottom