Waziri Simbachamwene ametudhalilisha Polisi

Jana nimemsikia waziri wa mambo ya ndani akidai wameita waliofeli katika ajira za mambo ya ndani kwa kuwa wanahitaji watu wa kubeba bunduki mtaani.

ni wazi fikra za wizara hii haziendani na kasi ya ukuaji wa sekita ya elimu katika nchi yetu kwamba nchi yetu imeongeza shule nyingi sana na vyuo vingi sana na tunakoelekea hata boda boda, mama lishe, machinga watakuwa na shahada.

hatuwezi kufanya mabadiliko makubwa katika sekita ya elimu kwa kuhakikisha watu wengi zaidi wanapata fursa za kusoma na kufikia elimu ya juu na tukabaki na dhana za zamani kuwa wasomi wanatakiwa kuwa maafisa wanaokaa maofisini tu na huku fursa za kukaa ofisini kwa wasomi wetu hatuna na wasomi wanabaki nyumbani na tukiamini kazi fulani ni kwa watu wasiosoma.

swala la kupanda vyeo au kujiendeleza litaendana na nafasi zinazopo na siyo kigezo cha ufaulu tu na kujikuta jamii ina wasomi wasio na ajira huku upendeleo ukitolewa kwa wasiosoma.

kadiri tunavyopiga hatua katika sekita ya elimu ndivyo mazingira fulani yanavyobadirika na kutoa kipaumbele kwa wanaojituma katika sekita ya elimu.
miaka ya 60 wakati tuna uhaba wa wasomi katika taifa letu darasa la saba walikuwa mameneja, maafisa, walimu n,k katika utendaji mbalimbali katika nchi yetu

miaka ilivyopita na tukatengeneza wasomi tukasema angalau kada ya chini ni kidato cha nne.

kwa sasa tumetengeneza vyuo vingi vya elimu ya juu, vyuo vingi vya elimu ya kati ni wakati sahihi wa kusema mwenyeshahada kazi iliyopo ni kubeba bunduki ukaenda kulinda benki au kukaa nyumbani na shahada yako na uchaguzi uwe ni wake.

ni wakati sasa wa kuwaambia hawa wenye shahada kazi zilizopo kwa wingi kuendana na wingi wenu ni kazi za chini na mchague kuzifanya ama kuziacha na siyo watu wanajitahidi kusoma na kuwacheka wasiosoma na wakifika juu mnawaambia wasiosoma ndiyo wenye weledi wa kazi.

mtu anamaliza chuo miaka mitano hana ajira, yuko kwa ndugu analishwa na kupewa nauli alafu unamwambia hawezi kuchukua bunduki na kulinda benki wakati hawezi hata kujilisha.

otherwise tupunguze intake za wanafunzi katika vyuo vya elimu za juu ili waendane na udogo wa nafasi za ajira za maafisa katika jamii yetu.
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP

Alichokifanya waziri ni kusema ukweli.... Hata PGO hamjui
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Tuliza mshono,mkuu,kuna madaraja matatu ya binadamu,
1.Golden boys
2.Silver boys
3.Iron boys

GOLDEN BOYS: ni wasomi amabao Wana vyeo serikalini mfano,Rais,mawaziri makatibu wakuu n.k

SILVER BOYS: ni wasomi wenye kipato cha wastani na wenye kufanya kazi ambazo ni nyepesi,wanatumia akili kwenye kazi kwa kiasi kikubwa,yaani hakuna kuhenya Wala kutumia nguvu nyingi Sana,mfano walimu,madaktari n.k.

IRON BOYS:Hawa hutumia nguvu kuliko akili kwenye kazi zao, yaani hawahitaji kuwa na elimu kubwa Wala ufaulu darasani,ni watu amabao uwezo wa reasoning no mdogo, mfano. Askari, kuli e.t.c

Hivyo Basi,waziri yupo sahihi kwa maelekezo yake.polisi hahitaji kuwa na akili darasani au ufaulu kwa Sababu kazi zote za ua askari ni kazi ambazo zipo kwenye hili kundi la MWISHO! Yaani iron boys.so,usilielie mkuu.vumili,uwezo wako wa akili ndo umekuponza na sio simbachawene!
 
simbachawene kakosea.

alichosema ni sawa na kusema sio vizuri watu ote wawe wasomi wa kuanzia shahada maana tutakosa watu wa kuatuma kzi ndogondogo labda.
hii sio kweli.
kwa ufupi kwenye nchi hii hata watu ote wakiwa na elimu ya kufika PHD inaonyesha kua nchi hiyo watu wake uwezo wa akili upo juu.
na hii itasaidia kufanya shughuli zao kwa akili kubwa na maendeleo ya haraka.


ndio hivyo hata kwenye jeshi letu.
kupanda vyeo sio kutofanya kazi alizojifunza.

askari anajifunza ulinzi na kwalide. hivyo hata wakipeana vyeo bado hili la ulinzi watapangana tu na itakua bora kwa kua watafanya ulinzi wakiwa wanajielewa sasa.
naana wanakua wasomi lakini pia wanavyeo ,hivyo sio lahisi kuona ujinga unaofanywa sasa na hao waliofeli.


simbachawene alitakiwa aseme .kuajili wasomi.serkali haina hela ya kuwalipa mishahala ya levo yao labda.
hapo kidoogo angeeleweka. lakini sio kwenye mgawanyo wa kazi.
 
Ahahaha nahisi mleta Uzi siyo polisi.
Hujaeleza kwanini ulinusulika kupigwa na wananchi?
div.1 ya 7 ukaenda polisi?ili uje uwe IGP au?😲😲
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Kaka, endelea na Kazi..ya in charge muachie in charge mwenzie
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP

Ebu tulia div 0 ulinde mageti huko..!! 😅😅
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Mie naona kasema kweli. Kama RPC hajui hata PGO ina muelekeza nini si kweli kwamba polisi mna elimu ndogo?
Tukisema vyeti mnavyo tumia ni vya ndugu zenu tuna kosea??
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Mkuki kwa nguruwe.........
Bora ujiuzuru utafute kazi ya kiwango chako baba!
 
jeshi la polisi ni chombo kinacho mali na watu.

kuna siku IGP na wakuu wengine wa polisi wanalala mika kuhusu watu kutoripoti matukuo.

visa ambavyo vinafanya watu kuogopa matukio ni kama.
•uvujaji wa siri kati ya mtoa ripoti na mtuhumiwa.
visa hivi ni vingi sana huku mitaani.
•kesi za mauaji
Hili swala ndo hatari kabisa watu wengi ujipata kuwa matatani asilimia kubwa !

wanaotambua !
Jamani tafadhali sana msilaumu Polisi.
Nimemwelewa sana Simbachamwene Jana.
Mi zamani nilikuwa nashangaa sana Polisi wanakamata raia ili wawasaidie kazi. Utasikia amekamatwa ili aisaidie Polisi.

Huyu raia haijui PGO wala hajaenda CCP Moshi anawasaidiaje Polisi?

Kumbe tatizo wanachukuliwa wale mazuzumagic waliofeli, kichwani hamna kitu zaidi ya kujua kurusha miguu tu.

Tusiwastaajabie King Ai na Maheetar
 
Mie naona kasema kweli. Kama RPC hajui hata PGO ina muelekeza nini si kweli kwamba polisi mna elimu ndogo?
Tukisema vyeti mnavyo tumia ni vya ndugu zenu tuna kosea??
Polisi ni wasomi sana, hawataki kutumia PGO wanataka watumie Four Figure
1634022551733.png
 
Yuko sahihi, hakuna Polisi mwenye kujielewa aliyesoma akaelimika akakubali maagizo ya kuchukua kura fake na kuweka kwenye ballot box, huyu ni mpuuzi kama wapuuzi wanaokuwa wamemtuma tu.

Facts zipo nyingi sana zinazothibitisha kuwa Polisi hawana ajili, sio kweli kuwa kila order ni ya kutekeleza, only in Tanzania.
Aiseeee !!
 
Of course tunahitaji jeshi la polisi la wenye elimu, wenye uwezo wa kujiendeleza kielimu kwa kuwa tu wanayo angalau division three ya kidato cha nne na wenye kufanya kazi kwa mujibu wa sheria ila kwa kuwa ccm haipendi watu wanaojieliwa na wenye kuzingatia sheria basi serikali inapendelea hawa division iv hata wakiagizwa kupiga wanaodai haki zao wawapige kweli kuwa hawana pa kwenda endapo watafukuzwa kwa kutotii amri ya mwajiri wao (mwanasiasa kwa hisani ya walipa kodi).
Kwa kuwa tunafahamu lengo la serikali/waziri basi tunaunga mkono hoja yake kuwa iko sahihi kazi ya polisi ni kupiga gwaride, kulinda benki na kupambana na bawacha
 
Polisi mnajidhalilisha wenyewe.
Juzi Kati mlienda na bunduki za kivita kuwakabili wanawake waliokua wanafanya jogging wasiokua na hata vimwiko.
Mnapokea amri bila kujitafakari ndio maana hata waziri anayewasimamia ameeachunguzaa na kuona kichwani hamnazo.
Mnafaa kwa gwaride (funga mguu, fungua mguu na kulinda pesa)
 
Elimu yake inamruhusu kuongea hivyo. Polisi ni zero brain creatures.
Hivi wakisema wana mgomo wa siku 2 tu, wewe kagari kako ka mkopo, Simu yako na laptop yako utakatiza nayo tandale kwa mtogole? hako kanyumba kako wakija masela kumi nje kumi ndani utampigia simu nani aje kukuokoa? acheni dharau wakati nyie wakiachiwa wahuni wafanye watakavyo nusu saa tu utajiharishia wewe
 
Back
Top Bottom