Waziri Simbachamwene ametudhalilisha Polisi

Waziri Simbachamwene ametudhalilisha Polisi

Kazi za jeshi lolote muda wowote kazi inakwisha kosa dogo tu mtaani,hasa wasio ma ofisa!
 
Polisi wote mnao soma post hii nyie ni vilazaaa,ndio maaana mmekimbilia huku kwenye upolisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Ndio maaana sisi serikali tunawatuma hata mambo ya kijinga na mnayatekeleza tena kwa furaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Simbachawene yuko sahihi kabisa. Hata lile zoezi la Magufuli la vyeti feki halikufanyika Polisi.

Laiti lingefanyika basi Polisi wengi wangerudi mtaani kwa kuwa wenyewe ndiyo wanaongoza kwa kuchukua vyeti vya wengine na kuombea mafunzo
Na halikufanyika makusudi, ili waendeleee kuburuzwa buruzwaa tuuu.uta kuta kapolisi muda wote kamefuraaaaa yaaani,ukikagusa kidogo tuu kamelipukaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Kama ulijisifia bure bure basi imekula kwako, kama ni kweli waonyeshe hivyo vyeti vyako uondoe mzizi wa fitina.
 
takwimu ambazo sio rasmi.


waliojiunga polisi wakiwa na f4, 90% wana fooo za mwishoni au zero kabisa wakaingia kutokea jkt kama std vii-B.


walioingia kwa f6 lazima walichemka wakiwa six. wakawa na chaguo la mwisho kwenda upolisi.


wenye dip, degrii waliongia polisi na Wa fani ambazo ajira yake ni ngumu kama maendelei ya jamii, ustawi, mipango na uchumi nak.


kundi lingine ni wakurya... hawa wanaamini walizaliwa kuja kuwa walinzi.


hakuna mtu anafaulu vzr anakuwa anawaza kwenda upolisi. wengi wanawaza kwenda jwtz ingawa huko vilaza ni marambili ya polisi, teeth na uhamiaji.

nawapongeza takukuru kwa kuajiri wasomi pekee.
 
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.

Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.

Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.

Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.

Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.

Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Kingai bana, PGO inakupa tabu kuielewa
 
Isn't generalization?!!

Isn't fallacy?!!

Akitokea Polisi mmoja mjinga haina maana ni wote....ingekuwa hivyo jeshi hilo lingeshafutwa kikatiba.....

Chuki huviza moyo....Kuna Polisi wengi sana ni wema mno na weledi wa kazi zao haswa......

SIEMPRE JMT
Vipi kingai,mahita, goodluck, na jumanne??
 
Simbachaweni amepigilia misumari wa mwisho, kesi yabowe imedhihirisa maneno yake, eti kesi ina mashaidi wote ni polisi
 
Simbachawene alishakamatwa na polisi akiwa waziri wa TAMISEMI kwa makosa ya usalaama barabarani aluposhuka tu alianza kuwaambia askari namaana huoni bendera? Wakamwambia tatizo siyo bendera tatizo ni mwendokasi sehemu ambayo hairuhusiwi JPM alimwambia lipa faini umeyataka mwenyewe acha askari wafanye kazi yao tangu kipindi hicho ana chuki na askari polisi! Idara ya polisi siyo kwamba ni idara ambayo ina wafanyakazi walioishia kidato cha nne wapo wenye elimu kubwa! Kama idara nyingine.
 
Back
Top Bottom