selemangrace346
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 468
- 639
Waziri yupo sahihi viumbe hawa ni failure na hii inadhihirishwa na matendo yao...wanatumia nguvu nyingi kuliko akili.
Kwani bwana mkubwa ukipata daraja gani mtihani wako wa kidato cha nne?Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.
Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.
Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.
Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.
Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.
Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Ili waweze kufanya Yale waelekezao bambika huyo, ACHA yule, zuia mkutano huu, muruke yule, nyima dhamani yule, muruke huyu, mwongezee kirungu yule, muruke huyu. Yote hayo yanahitaji akili kubwa. 🤸Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.
Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.
Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.
Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.
Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.
Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Simbachawene ni mkweli mpaka basiKauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.
Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.
Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.
Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.
Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.
Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Ujinga unaofanywa na polisi mmoja mara nyingi kama siyo mara zote hunyamaziwa na jeshi zima la polisiIsn't generalization?!!
Isn't fallacy?!!
Akitokea Polisi mmoja mjinga haina maana ni wote....ingekuwa hivyo jeshi hilo lingeshafutwa kikatiba.....
Chuki huviza moyo....Kuna Polisi wengi sana ni wema mno na weledi wa kazi zao haswa......
SIEMPRE JMT
IIli waweze kufanya Yale waelekezao bambika huyo, ACHA yule, zuia mkutano huu, muruke yule, nyima dhamani yule, muruke huyu, mwongezee kirungu yule, muruke huyu. Yote hayo yanahitaji akili kubwa. 🤸
Kilichokupeleka huko ni tamaa yako ya kukimbiza magendo ya elfu 30 sasa unamlaumu nani?Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.
Mimi wiki kadhaa nyuma niliponea chupuchupu kufa kwa kipigo, baada ya wananchi kujua Mimi ni polisi.
Maumivu hayajaisha bado nakuja kutukanwa na waziri wangu.
Watoto wangu wanajua Mimi nilikuwa nakuwa wa kwanza darasani, na pia wanajua kuwa mtihani wa form 4 nilipata one ya point 7.
Kauli ya waziri imesababisha watoto wangu waniulize maswali magumu ikiwemo kuniomba vyeti vya taaluma ili wapime Kati yangu na waziri nani ni muongo.
Waziri Simbachamwene tuombe radhi ASAP
Kwanza hamtakiwi kulalama, wewe upo mahali ambapo siisahihi, inatakiwa ndio, ndio, ndio.Kilichokupeleka huko ni tamaa yako ya kukimbiza magendo ya elfu 30 sasa unamlaumu nani?
Kwani hukujua kazi ya police ni ulinzi?
Pambana na hali yako sasa ulitaka aseme upolisi ni afsa kitambi meneja wakati ni ulinzi?
DuhKilichokupeleka huko ni tamaa yako ya kukimbiza magendo ya elfu 30 sasa unamlaumu nani?
Kwani hukujua kazi ya police ni ulinzi?
Pambana na hali yako sasa ulitaka aseme upolisi ni afsa kitambi meneja wakati ni ulinzi?
Acheni chuki polisi na sisi ni watu, chuki zenu mnasababisha tuwafanyieni ubaya mkifika kituoniKilichokupeleka huko ni tamaa yako ya kukimbiza magendo ya elfu 30 sasa unamlaumu nani?
Kwani hukujua kazi ya police ni ulinzi?
Pambana na hali yako sasa ulitaka aseme upolisi ni afsa kitambi meneja wakati ni ulinzi?