Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,733
- 15,196
Kama mqmq yakoUnakojolewa matakoni wewe
Kama mqmq yakoUnakojolewa matakoni wewe
Legacy Defenders mtapata taabu sana. Hivi kwa nini msimshirikishe Gwajima awasaidie kumfufua mume wenu?Kwa miaka 6 hawakuwahi kushindwa ,kwa nini washindwe sasa?
Watumishi wengi toka Magu afe,wamekua na viburi sana siku hizi! Labda Wana mgomo baridi kwa kutokupandishiwa Mishahara,Sasa wanatukomoa sisi!! Hata Majaliwa hawamuogopi!!Mzee wa Per diem na Maelekezo hewa. Mr. Fix
Watumishi Wana hasira wanataka Mishahara ipandishwe! Huduma nyingi zitazorota! Kind of Mgomo baridi!!Seems rasilimali watu nchi hii ni tatizo, kuna shida kubwa mahali aisee. Hujuma hizi hata sio poa kwa taifa.
Kama wasomi wenyewe ndonyinyi taifa taabani umeandika upuuziKufuatia huduma za bandari ya Dares salaam kuzorota kwa mwezi mzima sasa na wateja kuanza kulalamika kwa huduma mbovu wanayopewa ,waziri mkuu mh Kassim Majaliwa leo tarehe 12 mwezi may amefanya ziara ya kushitukiza ili kujonea tatizo ni nini.
Ikumbukwe leo mbunge Costa Chami alitoa hoja kuliomba bunge liahirishe shughuli zote ili kujadili hujuma na rushwa zinazoendelea bandarini hadi kupelekea malori kukaa kwa wiki nzima bila kupata huduma.
My take
Malori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.
Huwezi kuchafua oil chafu itakuchafua, tayari chadema maji ya shingo .
Magufuli aliwagaragaza akiwa hai atawagaragaza akiwa mauti.
Piga kazi Mh Majaliwa wewe ndiyo tumaini letu.
=====
WAZIRI MKUU AZITAKA TPA, TRA, TASAC NA EGA ZIFANYE KAZI KWA USHIRIKIANO
Aagiza dosari za mfumo wa TANCIS zishughulikiwe
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania, Mamlaka ya Bandari Tanzania na Mamlaka ya Serikali Mtandao kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuboresha utendaji wa Bandari ya Dar es Salaam
Ameyasema hayo leo (Jumatano, Mei 12, 2021) alipotembelea bandari ya Dar es Salaam ili kuona utendaji wa bandari baada ya malalamiko ya Wafanyabiashara na Wadau wa Bandari yanayohusiana na shughuli za utoaji wa mizigo Bandarini kuzorota.
Akiwa Bandarini hapo Waziri Mkuu amesema, “TPA endeleeni kuiimarisha bandari yetu, hii ni sura ya uchumi wa nchi yetu, zungumzeni lugha moja ya uwajibikaji, TRA muwepo maeneo yote yanayohitaji uwepo wenu na muda wote wateja wetu wahudumiwe ili bandari yetu iendelee kuwa bora. Nchi nyingi zinatutegemea”
Amesema kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania ihakikishe mfumo wa pamoja wa forodha Tanzania (TANCIS) unafanya kazi kwa ufanisi ili kupuinguza malalamiko ya wateja kuhusu mfumo huo.
“Dosari zote za mfumo wa TANCIS zifanyiwe kazi, mfumo usituharibie, mnapoona kuna madhaifu fanyeni marekebisho ya haraka, tunataka wateja waingie na kutoka kwa muda mfupi” Amesema.
Naye Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Bw. Eric Hamissi amefafanua hatua ambazo tayari TPA imechukua katika kuhakikisha Bandari inatoa huduma zenye tija na ufanisi ambapo pia amewaomba Wadau kuwa na uvumilivu wakati kazi ya kukarabati magati ikitarajiwa kukamilika mwezi Agosti mwaka huu.
Kwa upande mwingine Waziri Mkuu amemuagiza Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania kuhakikisha mifumo yote ya utoaji mizigo Bandarini hususani mfumo wa TANSIC unaimarishwa ili kuiwezesha Bandari na Wadau wengine nao kufanya kazi kwa ufanisi na tija.
Wakati huo huo Bunge la Tanzania limeahirisha mjadala wa Wizara ya Afya kwa takribani dakika 20 kujadili sakata la malori kutoshusha wala kupakia mizigo kwa muda wa siku tano katika Bandari ya Dar es Salaam.
Hoja ya kuahirishwa kwa mjadala imewasilishwa leo Jumatano Mei 12, 2021 na mbunge wa Mafinga Mjini (CCM), Cosato Chumi.
Chumi amesema Bandari hiyo ndio chanzo kikubwa cha kuendeleza nchi na kufanikisha miradi, “malori hayashushi wala kupakia mizigo kwa maana uchumi kwa namna fulani umesimama. Na tunazungumzia ushindani kati ya bandari yetu na nchi jirani.”
“Katika hali hii hatuwezi kukaa kimya na kuacha mambo ya namna hii yaendelee ndio maana ninajenga hoja tuahirishe mjadala ili tujadili jambo hili nyeti.”
Amesema kuna mizigo inayokwenda kwenye miradi mbalimbali ikiwemo wa uzalishaji wa umeme wa maji katika bwawa la mwalimu Nyerere na ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), lakini imekwama katika bandari hiyo.
Amesema mizigo inayokwenda nchi jirani imekwama wakati Taifa linatarajia bandari hiyo kuwa na ushindani.
Baada ya hoja hiyo, Naibu Spika Dk Tulia Ackson aliruhusu hoja hiyo ijadiliwe kwa muda wa dakika 20 ambapo wabunge saba walipata nafasi ya kuchangia.
Akijibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama amesema tayari Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekwenda Dar es Salaam kushughulikia suala hilo.
Zaidi aoma;
1). Malori yakwama bandarini Dar, madereva walalamikia ukiritimba na rushwa kurudi kama zamani
2). Bunge lajadili malori kukwama bandarini
View attachment 1782494
View attachment 1782644View attachment 1782645
Hapo ndipo kuna kitu cha kujiuliza nini sababu ya haya kwa muda mfupi tu huu after!.Kwa miaka 6 hawakuwahi kushindwa ,kwa nini washindwe sasa?
Kwani Lisu anasemaje?PM katatua tatizo kweli hapo? Mbona sijaona solution yoyote? TRA timua haraka wazembe sana, Mh. Waziri Mkuu, mbona kama unawabembeleza TRA, huo mfumo wanauchezea, piga chini hao TRA, sasa hapo mbona sijaona utatuzi wa tatizo, mmmhh, Mh. Waziri Mkuu, watu wazembe sana hapo TPA, piga chini, utaona mambo yananyooka
Chadema wana laanaPumbavu Kabisa sasa Chadema inaingiaje hapo.
Mataga mnapwaya sana kwenye uzembe wenu mpaka muwataje Chadema.
Mko wenyewe Bungeni mnashindwa hata kumuuliza maswali Waziri Mkuu.
Hili suala la Magari kukwama siyo la leo kwani Dar es salaam haina wabunge mnapwaya sana.
Kufuatia huduma za bandari ya Dares salaam kuzorota kwa mwezi mzima sasa na wateja kuanza kulalamika kwa huduma mbovu wanayopewa ,waziri mkuu mh Kassim Majaliwa leo tarehe 12 mwezi may amefanya ziara ya kushitukiza ili kujonea tatizo ni nini.
Ikumbukwe leo mbunge Costa Chami alitoa hoja kuliomba bunge liahirishe shughuli zote ili kujadili hujuma na rushwa zinazoendelea bandarini hadi kupelekea malori kukaa kwa wiki nzima bila kupata huduma.
My take
Malori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.
Huwezi kuchafua oil chafu itakuchafua, tayari chadema maji ya shingo .
Magufuli aliwagaragaza akiwa hai atawagaragaza akiwa mauti.
Piga kazi Mh Majaliwa wewe ndiyo tumaini letu.
=====
WAZIRI MKUU AZITAKA TPA, TRA, TASAC NA EGA ZIFANYE KAZI KWA USHIRIKIANO
Aagiza dosari za mfumo wa TANCIS zishughulikiwe
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania, Mamlaka ya Bandari Tanzania na Mamlaka ya Serikali Mtandao kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuboresha utendaji wa Bandari ya Dar es Salaam
Ameyasema hayo leo (Jumatano, Mei 12, 2021) alipotembelea bandari ya Dar es Salaam ili kuona utendaji wa bandari baada ya malalamiko ya Wafanyabiashara na Wadau wa Bandari yanayohusiana na shughuli za utoaji wa mizigo Bandarini kuzorota.
Akiwa Bandarini hapo Waziri Mkuu amesema, “TPA endeleeni kuiimarisha bandari yetu, hii ni sura ya uchumi wa nchi yetu, zungumzeni lugha moja ya uwajibikaji, TRA muwepo maeneo yote yanayohitaji uwepo wenu na muda wote wateja wetu wahudumiwe ili bandari yetu iendelee kuwa bora. Nchi nyingi zinatutegemea”
Amesema kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania ihakikishe mfumo wa pamoja wa forodha Tanzania (TANCIS) unafanya kazi kwa ufanisi ili kupuinguza malalamiko ya wateja kuhusu mfumo huo.
“Dosari zote za mfumo wa TANCIS zifanyiwe kazi, mfumo usituharibie, mnapoona kuna madhaifu fanyeni marekebisho ya haraka, tunataka wateja waingie na kutoka kwa muda mfupi” Amesema.
Naye Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Bw. Eric Hamissi amefafanua hatua ambazo tayari TPA imechukua katika kuhakikisha Bandari inatoa huduma zenye tija na ufanisi ambapo pia amewaomba Wadau kuwa na uvumilivu wakati kazi ya kukarabati magati ikitarajiwa kukamilika mwezi Agosti mwaka huu.
Kwa upande mwingine Waziri Mkuu amemuagiza Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania kuhakikisha mifumo yote ya utoaji mizigo Bandarini hususani mfumo wa TANSIC unaimarishwa ili kuiwezesha Bandari na Wadau wengine nao kufanya kazi kwa ufanisi na tija.
Wakati huo huo Bunge la Tanzania limeahirisha mjadala wa Wizara ya Afya kwa takribani dakika 20 kujadili sakata la malori kutoshusha wala kupakia mizigo kwa muda wa siku tano katika Bandari ya Dar es Salaam.
Hoja ya kuahirishwa kwa mjadala imewasilishwa leo Jumatano Mei 12, 2021 na mbunge wa Mafinga Mjini (CCM), Cosato Chumi.
Chumi amesema Bandari hiyo ndio chanzo kikubwa cha kuendeleza nchi na kufanikisha miradi, “malori hayashushi wala kupakia mizigo kwa maana uchumi kwa namna fulani umesimama. Na tunazungumzia ushindani kati ya bandari yetu na nchi jirani.”
“Katika hali hii hatuwezi kukaa kimya na kuacha mambo ya namna hii yaendelee ndio maana ninajenga hoja tuahirishe mjadala ili tujadili jambo hili nyeti.”
Amesema kuna mizigo inayokwenda kwenye miradi mbalimbali ikiwemo wa uzalishaji wa umeme wa maji katika bwawa la mwalimu Nyerere na ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), lakini imekwama katika bandari hiyo.
Amesema mizigo inayokwenda nchi jirani imekwama wakati Taifa linatarajia bandari hiyo kuwa na ushindani.
Baada ya hoja hiyo, Naibu Spika Dk Tulia Ackson aliruhusu hoja hiyo ijadiliwe kwa muda wa dakika 20 ambapo wabunge saba walipata nafasi ya kuchangia.
Akijibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama amesema tayari Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekwenda Dar es Salaam kushughulikia suala hilo.
Zaidi aoma;
1). Malori yakwama bandarini Dar, madereva walalamikia ukiritimba na rushwa kurudi kama zamani
2). Bunge lajadili malori kukwama bandarini
View attachment 1782494
View attachment 1782644View attachment 1782645
Tutakoma, nchi inarudi nyuma"Hali ya awamu ya sita ni Tete kwa hali hii " waziri mkuu Hana ukali wala meno makali kwa sababu anajua ni awamu yake ya mwisho"
Majaliwa hawezi kufanya hayo kwa sababu mama anataka waende hivi ilivyo!Alitakiwa kila akifanya ziara ya kushtukiza anaondoka na mmoja au wawili.
Hapo tungemuelewa.
Ziara hizo hawaziogopi hao maana hakuna jipya sana
Hela zikikosekana watagombana. Tutazidi kutoa maoniMajaliwa hawezi kufanya hayo kwa sababu mama anataka waende hivi ilivyo!
Nakuahakikishia baada ya miezi 6 mapato yatarudi kuwa bilioni 4 kwa mwezi