Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 338
- 891
Wale waliokuwa wakitetea kuwa DP World wakija hawatapunguza watu kazi njooni hapa mtueleze. Jamaa ndio wameishauziwa taratibu wanaanza kuondoa watu. Kiko wapi?
---
Tarehe 22 Oktoba, 2023 Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) iliingia Mkataba na Kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai unaohusu uendeshaji wa Gati Na. 0 hadi 3 na Gati Na. 4 hadi 7 za Baridari ya Dar es Salaam kwa kipindi cha miaka thelathini (30). Kutokana na makubaliano hayo yanayohusisha usimamizi na uendeshaji wa maened tajwa, Watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam wanapaswa kuchagua kati ya kubaki TPA au kusitisha mkataba wa ajira wa TPA na papo hapo kuajiriwa upya na Kampuni ya DP World.
Menejimenti imekamilisha zoezi la utoaji elimu kwa Watumishi wote wa TPA walio kwenye maeneo husika lililoanza Tarehe 4 hadi 19 Machi, 2024 kwa lengo la kuwapa Watumishi wote uelewa sahihi wa mabadiliko ya uendeshaji yanayoendelea Bandari ya Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine, elimu hii inahusisha mabadiliko ya uendeshaji wa bandari, utaratibu wa makabidhiano, utaratibu wa mtumishi kusitisha mkataba na TРА па раро hapo kuajiriwa upya na Kampuni ya DP World (KWA MTUMISHI ATAKAYEKUWA AMEAMUA KUFANYA HIVYO KWA HIYARI YAKE MWENYEWE BILA KUSHURUTISHWA), pamoja na stahiki ambazo zitatolewa na TPA kwa mtumishi atakayeamua kusitisha mkataba wa ajira wa TPA na kuajiriwa upya na Kampuni ya DP World.
Kwa msingi huo, nawajulisha Watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam kuwa, makabidhiano kati ya TPA na Kampuni ya DP World yameanza kutekelezwa. Kwa kuwa zoezi la utoaji elimu kwa Watumishi limekamilika, Watumishi watakaoamua kuajiriwa upya na Kampuni ya DP World wanatakiwa kufika na kuorodhesha taarifa zao Jengo la TPA Makao Makuu, Ukumbi wa Mikutano Ghorofa ya 32 kabla au ifikapo Tarehe 29 MACHI, 2024.
Update:
- Mamlaka ya Bandari (TPA) yatoa ufafanuzi kuhusu hali ya ajira za Watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam
Tarehe 22 Oktoba, 2023 Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) iliingia Mkataba na Kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai unaohusu uendeshaji wa Gati Na. 0 hadi 3 na Gati Na. 4 hadi 7 za Baridari ya Dar es Salaam kwa kipindi cha miaka thelathini (30). Kutokana na makubaliano hayo yanayohusisha usimamizi na uendeshaji wa maened tajwa, Watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam wanapaswa kuchagua kati ya kubaki TPA au kusitisha mkataba wa ajira wa TPA na papo hapo kuajiriwa upya na Kampuni ya DP World.
Menejimenti imekamilisha zoezi la utoaji elimu kwa Watumishi wote wa TPA walio kwenye maeneo husika lililoanza Tarehe 4 hadi 19 Machi, 2024 kwa lengo la kuwapa Watumishi wote uelewa sahihi wa mabadiliko ya uendeshaji yanayoendelea Bandari ya Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine, elimu hii inahusisha mabadiliko ya uendeshaji wa bandari, utaratibu wa makabidhiano, utaratibu wa mtumishi kusitisha mkataba na TРА па раро hapo kuajiriwa upya na Kampuni ya DP World (KWA MTUMISHI ATAKAYEKUWA AMEAMUA KUFANYA HIVYO KWA HIYARI YAKE MWENYEWE BILA KUSHURUTISHWA), pamoja na stahiki ambazo zitatolewa na TPA kwa mtumishi atakayeamua kusitisha mkataba wa ajira wa TPA na kuajiriwa upya na Kampuni ya DP World.
Kwa msingi huo, nawajulisha Watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam kuwa, makabidhiano kati ya TPA na Kampuni ya DP World yameanza kutekelezwa. Kwa kuwa zoezi la utoaji elimu kwa Watumishi limekamilika, Watumishi watakaoamua kuajiriwa upya na Kampuni ya DP World wanatakiwa kufika na kuorodhesha taarifa zao Jengo la TPA Makao Makuu, Ukumbi wa Mikutano Ghorofa ya 32 kabla au ifikapo Tarehe 29 MACHI, 2024.
Update:
- Mamlaka ya Bandari (TPA) yatoa ufafanuzi kuhusu hali ya ajira za Watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam