Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,899
- 33,464
Watu wanajipigia tu mabilioni hapo TRA na hata huko TPA.
na ukumbuke wenzetu wa chadema wanasubiri hela zimwagike mtaani waanze kuokota.
Rais Samia asicheke na nyani kabisa, hivi siku 5 kuna hela kiasi gani zimepotea hapo?
Tuko hapa makusanyo yanaweza kurudi bilion 4
na ukumbuke wenzetu wa chadema wanasubiri hela zimwagike mtaani waanze kuokota.
Rais Samia asicheke na nyani kabisa, hivi siku 5 kuna hela kiasi gani zimepotea hapo?
Tuko hapa makusanyo yanaweza kurudi bilion 4