Na hicho ndicho kitakachofanya mwewe kunyakua kofia na kilemba cha bi tozo mchana kweupe!!halafu mwewe anaelekea kumvika wa kusini Baada ya wa visiwani kupozi kwa muda!!Tunapenda kukopa sababu tunajua madeni yatalipwa, na watakaowajibika kuyalipa ni hao watakaokuwepo