Waziri Mkenda, TCU, na wabunge saidieni wanafunzi wa SUA kuna shida ya maamuzi ya uongozi

robinson crusoe

JF-Expert Member
Oct 22, 2020
740
1,214
Tufahamishane kwamba, ni kweli takribani nusu ya wanafunzi wa SUA wameshindwa kuhitimu ktk mahafali ya mwezi Novemba 2023 kama ilivyo kawaida ya miaka yote, na wanatakiwa kurudia mitihani baada ya mwaka mzima wa kusubilia mitihani. Sababu kubwa ni maamuzi mabaya ya viongozi wa chuo. Waliamua kuingiza ubunifu mpya usiyokuwepo chuo chochote duniani.

Viongozi wa SUA wamefuta muda maalumu wa mitihani ya marudio tofauti na taratibu za vyuo vikuu. Sababu kubwa iliyotolewa na uongozi kwa wahadhiri ni kwamba ili wapate muda wa likizo. Uamuzi huu haukupitia majadiliano yoyote, ni maamuzi ya viongozi watatu wa chuo. Hakuna mwanataaluma anayeelewa faida ya mabadiliko hayo, maana miaka yote wanakwenda likizo, kila mtu kwa muda wake.

Hili ni tatizo kwa watu wote wanaotegemea kujiunga na chuo hiki na walipaji wa ada. Ukijiunga na SUA huna uhakika wa kumaliza chuo kwa miaka iliyopangwa.

Sasa, wanafunzi wanadaiwa kulipia ada ya shilingi elfu 30 kwa mitihani ya marudio, ikimaanisha mitihani ya marudio imekuwa ni biashara ndani ya chuo. Yaani chuo Kinajiongezea mapato kwa mitihani ya marudio bila bodi ya mikopo au walipaji wengine kutaarifiwa. Wanafunzi wanatakiwa kulipia wakati ni wanafunzi halali na wana usajili wa masomo kwa mwaka mzima.

Nje ya chuo, viongozi hawasemi ukweli wa uamuzi huu, na kuna tetesi za kuzunguka kwa wabunge wasilisemee mjengoni. Wanajivunia kuwa una lengo la kuinua elimu, sijui kwa njia gani inayojulikana kwao tu? Waacheni wanafunzi wakajitafutie maisha mtaani badala ya kuwalazimisha kulipia gharama za kutengeneza.

Hili ni zigo lako Mh. Waziri, Mkenda na TCU, ambao ndo wadhibiti ubora. Wabunge mbaneni waziri huko Bungeni aseme nini kinaendelea ktk taasisi za wizara yake. Za chinichini zinasema viongozi wanafanya lobbying kwa wabunge ili lisisemwe, lakini kwa mtindo huu tuliosoma tunawatetea wanafunzi. Wote tumesoma vyuo vikuu, hatukukutana na usanii huu.
 
SUA tena! Ndo maana Makonda anapata wateja.

Hivi chuo hiki kinaongozwa na watu gani hawa wasioamini kufanya makosa? Wanaleta ubunifu kwenye mambo yaliyorekebishwa miaka Zaidi ya elfu iliyopita na vyuo vikuu vya maana kuliko wao! Wahuni hawa!

Serikali iwe na tahadhari na uendeshaji wa vyuo. Vyuo vikiongozwa na watu wasioamini wanafanya makosa, ndo maana tunaona tabia za kishenzi ktk maofisi. Kwani wakirekebisha watapata laana? Shiiit!
 
Vijana someni acheni kutafuta huruma,kama mlifikiri SUA ni sawa na SAUT au CBE imekula kwenu.
You are not an academician. academician hawezi kusema hayo! It is a pity! Frank unaniangusha sana maana nakufikiriaga kama mtu wa standard za real academician! Kuna mambo ambayo ni standard and universal kwa dunia ya elimu, hasa kwenye University!

tatizo ni wahadhiri uchwara from extended high schools
 
Vijana someni acheni kutafuta huruma,kama mlifikiri SUA ni sawa na SAUT au CBE imekula kwenu.
Chuo sio kibanda umiza kwamba leo mnaingia mmevua shati, kesho marufuku. Leo tunaonyesha EPL kesho ngumi za vitasa. Chuo kinaendeshwa na taratibu zisizo za kienyeji.
Hawa viongozi wa SUA wanaishi kama wako kilabuni. Ndio maana biashara yao kuu ni kuimiliki lodges na kufungua vibaa mitaani.
 
Tufahamishane kwamba, ni kweli takribani nusu ya wanafunzi wa SUA wameshindwa kuhitimu ktk mahafali ya mwezi Novemba 2023 kama ilivyo kawaida ya miaka yote, na wanatakiwa kurudia mitihani baada ya mwaka mzima wa kusubilia mitihani. Sababu kubwa ni maamuzi mabaya ya viongozi wa chuo. Waliamua kuingiza ubunifu mpya usiyokuwepo chuo chochote duniani.

Viongozi wa SUA wamefuta muda maalumu wa mitihani ya marudio tofauti na taratibu za vyuo vikuu. Sababu kubwa iliyotolewa na uongozi kwa wahadhiri ni kwamba ili wapate muda wa likizo. Uamuzi huu haukupitia majadiliano yoyote, ni maamuzi ya viongozi watatu wa chuo. Hakuna mwanataaluma anayeelewa faida ya mabadiliko hayo, maana miaka yote wanakwenda likizo, kila mtu kwa muda wake.

Hili ni tatizo kwa watu wote wanaotegemea kujiunga na chuo hiki na walipaji wa ada. Ukijiunga na SUA huna uhakika wa kumaliza chuo kwa miaka iliyopangwa.

Sasa, wanafunzi wanadaiwa kulipia ada ya shilingi elfu 30 kwa mitihani ya marudio, ikimaanisha mitihani ya marudio imekuwa ni biashara ndani ya chuo. Yaani chuo Kinajiongezea mapato kwa mitihani ya marudio bila bodi ya mikopo au walipaji wengine kutaarifiwa. Wanafunzi wanatakiwa kulipia wakati ni wanafunzi halali na wana usajili wa masomo kwa mwaka mzima.

Nje ya chuo, viongozi hawasemi ukweli wa uamuzi huu, na kuna tetesi za kuzunguka kwa wabunge wasilisemee mjengoni. Wanajivunia kuwa una lengo la kuinua elimu, sijui kwa njia gani inayojulikana kwao tu? Waacheni wanafunzi wakajitafutie maisha mtaani badala ya kuwalazimisha kulipia gharama za kutengeneza.

Hili ni zigo lako Mh. Waziri, Mkenda na TCU, ambao ndo wadhibiti ubora. Wabunge mbaneni waziri huko Bungeni aseme nini kinaendelea ktk taasisi za wizara yake. Za chinichini zinasema viongozi wanafanya lobbying kwa wabunge ili lisisemwe, lakini kwa mtindo huu tuliosoma tunawatetea wanafunzi. Wote tumesoma vyuo vikuu, hatukukutana na usanii huu.
Matukio yote ya kitaaluma kwa mwaka mzima huratibiwa na uongozi wa chuo. Matukio yote muhimu ikiwamo ratiba za mitihani mbalimbali katika vyuo vikuu vingi vyenye "accreditation" ikiwamo hiyo mitihani ya "supplementary" huonekana katika "prospectus" ama "academic almanac".

Je! Kwa chuo chenye hadhi kama ya SUA hapa nchini kinakosa vitu hivi muhimu kwa wanataaluma wake. Kama huo ndiyo ni ukweli basi kuna shida kubwa sana katika ofisi za Chief Academic Officer na Chief Administration Officer.
 
Tufahamishane kwamba, ni kweli takribani nusu ya wanafunzi wa SUA wameshindwa kuhitimu ktk mahafali ya mwezi Novemba 2023 kama ilivyo kawaida ya miaka yote, na wanatakiwa kurudia mitihani baada ya mwaka mzima wa kusubilia mitihani. Sababu kubwa ni maamuzi mabaya ya viongozi wa chuo. Waliamua kuingiza ubunifu mpya usiyokuwepo chuo chochote duniani.

Viongozi wa SUA wamefuta muda maalumu wa mitihani ya marudio tofauti na taratibu za vyuo vikuu. Sababu kubwa iliyotolewa na uongozi kwa wahadhiri ni kwamba ili wapate muda wa likizo. Uamuzi huu haukupitia majadiliano yoyote, ni maamuzi ya viongozi watatu wa chuo. Hakuna mwanataaluma anayeelewa faida ya mabadiliko hayo, maana miaka yote wanakwenda likizo, kila mtu kwa muda wake.

Hili ni tatizo kwa watu wote wanaotegemea kujiunga na chuo hiki na walipaji wa ada. Ukijiunga na SUA huna uhakika wa kumaliza chuo kwa miaka iliyopangwa.

Sasa, wanafunzi wanadaiwa kulipia ada ya shilingi elfu 30 kwa mitihani ya marudio, ikimaanisha mitihani ya marudio imekuwa ni biashara ndani ya chuo. Yaani chuo Kinajiongezea mapato kwa mitihani ya marudio bila bodi ya mikopo au walipaji wengine kutaarifiwa. Wanafunzi wanatakiwa kulipia wakati ni wanafunzi halali na wana usajili wa masomo kwa mwaka mzima.

Nje ya chuo, viongozi hawasemi ukweli wa uamuzi huu, na kuna tetesi za kuzunguka kwa wabunge wasilisemee mjengoni. Wanajivunia kuwa una lengo la kuinua elimu, sijui kwa njia gani inayojulikana kwao tu? Waacheni wanafunzi wakajitafutie maisha mtaani badala ya kuwalazimisha kulipia gharama za kutengeneza.

Hili ni zigo lako Mh. Waziri, Mkenda na TCU, ambao ndo wadhibiti ubora. Wabunge mbaneni waziri huko Bungeni aseme nini kinaendelea ktk taasisi za wizara yake. Za chinichini zinasema viongozi wanafanya lobbying kwa wabunge ili lisisemwe, lakini kwa mtindo huu tuliosoma tunawatetea wanafunzi. Wote tumesoma vyuo vikuu, hatukukutana na usanii huu.
Hebu nenda kasome huko, mnakesha samaki samaki mkifeli mnakuja kutisumbua hapa.
 
Ulichokiandika hakina hata chembe ya ukweli mkuu
Vijana someni acheni kutafuta huruma,kama mlifikiri SUA ni sawa na SAUT au CBE imekula kwenu.
Hata klabu ya pombe wapo wale wa aina yenu. Wale ambao hutumwa kutukana watu ili wapewe pombe.

Tuliopitia mikononi mwa vyuo vikuu hatuachi kutia neno kila tunapoona mbumbumbu wakiharibu elimu. Kwa hili la SUA linajirudia tena na tena! Chuo hiki kinakuwa ni jalala la kujifunzia uongozi wa akili mbovu.

Kiutawala, kuna viongozi wa juu watatu au wanne ambao wanaendesha chuo kwa shughuli za kila siku; yupo boss wao VC, wapo wasidizi wake wawili au watatu. Swali langu ni kwamba, imekuwaje kundi hili la maprofesa wakawa na akili finyu wote kwa pamoja? Yawezekana wanasifiwa na wanasiasa. Tukumbuke sasa hivi sifa za mwanasiasa darasa la 7, profesa anatoa meno.

Najificha kwa siku mbili niulize kinachotokea hapo chuoni. Nitapata taarifa nzuri tu maana kuna waalimu kama 3 na wanafunzi 4 ambao nina waamini. Nitawaletea hapa hapa nini tatizo la sua kwa undani.
 
Hata klabu ya pombe wapo wale wa aina yenu. Wale ambao hutumwa kutukana watu ili wapewe pombe.

Tuliopitia mikononi mwa vyuo vikuu hatuachi kutia neno kila tunapoona mbumbumbu wakiharibu elimu. Kwa hili la SUA linajirudia tena na tena! Chuo hiki kinakuwa ni jalala la kujifunzia uongozi wa akili mbovu.

Kiutawala, kuna viongozi wa juu watatu au wanne ambao wanaendesha chuo kwa shughuli za kila siku; yupo boss wao VC, wapo wasidizi wake wawili au watatu. Swali langu ni kwamba, imekuwaje kundi hili la maprofesa wakawa na akili finyu wote kwa pamoja? Yawezekana wanasifiwa na wanasiasa. Tukumbuke sasa hivi sifa za mwanasiasa darasa la 7, profesa anatoa meno.

Najificha kwa siku mbili niulize kinachotokea hapo chuoni. Nitapata taarifa nzuri tu maana kuna waalimu kama 3 na wanafunzi 4 ambao nina waamini. Nitawaletea hapa hapa nini tatizo la sua kwa undani.
Nimerudi. Nadodosa tu maana hadithi ya SUA ni ndefu na kusikitisha. Hata UD ni hayo hayo Lakini wao nahisi kwa kuwa kwenye mji mkubwa, wana aibu kiasi. Tuanze kwa kusema kama CDF, teuzi zina matatizo.

Ninazo taarifa toka pande mbili; Wanafunzi na wanataaluma. nazitaja kwa mtiriko ili zisiwachoshe.

1. Maoni ya Wanafunzi:
i) Wanaipenda SUA inayokazia masomo, lakini kwa sasa viongozi wanataka pesa toka kwa wanafunzi. Wanalipia hata mitihani ya ndani ya chuo wakati tuition ilishalipwa. Wanafunzi wanatiwa presha ili wafeli, warudie, ili chuo kiingize pesa za mitihani ya marudio.

ii) Masomo kwa wanafunzi ni mateso. Walianza na sheria tofauti wanamaliza na sheria tofauti. Hata waalimu hawajui anayeziandika ni nani, na kwa lengo gani.

iii) Kuwaondolea mitihani ya supplementary ni maamuzi yanayolenga kukusanya pesa toka kwa wananfunzi ambao wanalipiwa na bodi au wazazi/ndugu.

iv) Viongozi wa wanafunzi chuoni wanatishwa na viongozi wa chuo kwa kutumia jina la CCM. Wanasema CCM ndiyo imesema.

v) Wanafunzi hawafahamu hata sura za viongozi wa Chuo. Kila wakati wako maofisini. Mijadala ya TBC wanapangwa na kupewa maneno ya kusifia chuo, ndo maana mijadala inakuwa kama spika ya mchina. wanasema yaliyorekodiwa.

2. Maoni ya Wanataaluma.
i) Viongozi wamekosa busara. Wanaonesha 'arrogance' ya madaraka yao na hilo limewanyima busara. ndiyo maana hawatilii mashaka maamuzi yao hata kama hayafai.

ii) Kuna udhaifu wa jinsi walivyopatikana. Wana tabia ya kudeka kwa kuonesha wana uhusiano na wanasiasa. Hawakutegemea kuwa viongozi kwa muda huo. Kitendo cha kuwapa uongozi, wakaamini wana uwezo wa ziada kuliko wale ambao hata wao waliamini wanastahili. Imekuwa ni kawaida Viongozi wa chuo kujisifia kwamba wanafahamiana na rais. Wanaonesha kwamba waliteuliwa kwa sababu wanafahamina na rais.

iii) Wanaonekana ni akina Mungai wa SUA kwa upande wa elimu. Utawala unaamua bila kushirikisha wanataaluma kwa kisingizo cha serikali inataka hivyo. Hata mambo ya taaluma yanabadilishwa na viongozi wa chuo na siyo wataalamu wa mambo husika.

iv) Muda wa mitihani ya marudio umeondolewa bila majadiliano. Hakuna faida kwa wanataaluma ni mahangiko kwa wanafunzi wanaotaka wamalize na kujitafutia maisha. Hata mazoezi kwa vitendo imekuwa ni shida tofauti na vyuo vingine.

v) Wanafunzi washauriwe kuikwepa SUA kwa miaka hii inapowezekana. Waende vyuo vyenye sheria zinazoeleweka (stable).

vi) Hakuna chuo duniani ambacho wanafunzi hawahitaji mitihani ya marudio (supplementary). Kila chuo duniani kina sessions mbili za mitihani kwa mwaka wa msomo.

vii) Huu mtindo mpya siyo ubunifu wa watu wenye busara. umeshindwa kuzingatia kwamba wanaosoma wamelipa pesa zao. hata mikopo, ni yao wenyewe.

viii) Kuna tabia ya viongozi kuwa ‘womanizer’. Umri ni mkubwa lakini wanaelekea kukosa aibu; ndani na nje ya Chuo.
 
Toka vyuo vimewekwa kiganjani mwa serikali ni mengi tu yanayo endelea huko, muda utaongea zaidi, tusubiri.
 
Nimerudi. Nadodosa tu maana hadithi ya SUA ni ndefu na kusikitisha. Hata UD ni hayo hayo Lakini wao nahisi kwa kuwa kwenye mji mkubwa, wana aibu kiasi. Tuanze kwa kusema kama CDF, teuzi zina matatizo.

Ninazo taarifa toka pande mbili; Wanafunzi na wanataaluma. nazitaja kwa mtiriko ili zisiwachoshe.

1. Maoni ya Wanafunzi:
i) Wanaipenda SUA inayokazia masomo, lakini kwa sasa viongozi wanataka pesa toka kwa wanafunzi. Wanalipia hata mitihani ya ndani ya chuo wakati tuition ilishalipwa. Wanafunzi wanatiwa presha ili wafeli, warudie, ili chuo kiingize pesa za mitihani ya marudio.

ii) Masomo kwa wanafunzi ni mateso. Walianza na sheria tofauti wanamaliza na sheria tofauti. Hata waalimu hawajui anayeziandika ni nani, na kwa lengo gani.

iii) Kuwaondolea mitihani ya supplementary ni maamuzi yanayolenga kukusanya pesa toka kwa wananfunzi ambao wanalipiwa na bodi au wazazi/ndugu.

iv) Viongozi wa wanafunzi chuoni wanatishwa na viongozi wa chuo kwa kutumia jina la CCM. Wanasema CCM ndiyo imesema.

v) Wanafunzi hawafahamu hata sura za viongozi wa Chuo. Kila wakati wako maofisini. Mijadala ya TBC wanapangwa na kupewa maneno ya kusifia chuo, ndo maana mijadala inakuwa kama spika ya mchina. wanasema yaliyorekodiwa.

2. Maoni ya Wanataaluma.
i) Viongozi wamekosa busara. Wanaonesha 'arrogance' ya madaraka yao na hilo limewanyima busara. ndiyo maana hawatilii mashaka maamuzi yao hata kama hayafai.

ii) Kuna udhaifu wa jinsi walivyopatikana. Wana tabia ya kudeka kwa kuonesha wana uhusiano na wanasiasa. Hawakutegemea kuwa viongozi kwa muda huo. Kitendo cha kuwapa uongozi, wakaamini wana uwezo wa ziada kuliko wale ambao hata wao waliamini wanastahili. Imekuwa ni kawaida Viongozi wa chuo kujisifia kwamba wanafahamiana na rais. Wanaonesha kwamba waliteuliwa kwa sababu wanafahamina na rais.

iii) Wanaonekana ni akina Mungai wa SUA kwa upande wa elimu. Utawala unaamua bila kushirikisha wanataaluma kwa kisingizo cha serikali inataka hivyo. Hata mambo ya taaluma yanabadilishwa na viongozi wa chuo na siyo wataalamu wa mambo husika.

iv) Muda wa mitihani ya marudio umeondolewa bila majadiliano. Hakuna faida kwa wanataaluma ni mahangiko kwa wanafunzi wanaotaka wamalize na kujitafutia maisha. Hata mazoezi kwa vitendo imekuwa ni shida tofauti na vyuo vingine.

v) Wanafunzi washauriwe kuikwepa SUA kwa miaka hii inapowezekana. Waende vyuo vyenye sheria zinazoeleweka (stable).

vi) Hakuna chuo duniani ambacho wanafunzi hawahitaji mitihani ya marudio (supplementary). Kila chuo duniani kina sessions mbili za mitihani kwa mwaka wa msomo.

vii) Huu mtindo mpya siyo ubunifu wa watu wenye busara. umeshindwa kuzingatia kwamba wanaosoma wamelipa pesa zao. hata mikopo, ni yao wenyewe.

viii) Kuna tabia ya viongozi kuwa ‘womanizer’. Umri ni mkubwa lakini wanaelekea kukosa aibu; ndani na nje ya Chuo.
Kwa maelezo haya ina maana Mitihani ya wanafunzi sasa ni sehemu ya mradi wa chuo. Ukiwauliza viongozi hawa siyo ajabu wakasema gharama ni kubwa na bhla-bhla nyingiiii! Ukweli ni kwamba ni ukosefu wa mawazo yanayofaa, naogopa kusema ujinga.

Vyuo vya maana, siyo tu vinatoza ada, bali pia vinalipia ada baadhi ya wanafunzi. Yaani sisi tumeishia kuongozwa na watu wanaowaza makuisanyo kama TFF!

Mh. Rais Samia, tafadhari teua watu wenye uwezo wa kufikiri na siyo wenye vyeti na majina kama ya profesa kumbe ni kwa sababu walifundishwa na hawawezi kufikiri. Ndo maana wanatafuta urafiki wa kisiasa, eti CCM. wengine hata dini ili tu wawe karibu na rais. Shiiit!
 
Matukio yote ya kitaaluma kwa mwaka mzima huratibiwa na uongozi wa chuo. Matukio yote muhimu ikiwamo ratiba za mitihani mbalimbali katika vyuo vikuu vingi vyenye "accreditation" ikiwamo hiyo mitihani ya "supplementary" huonekana katika "prospectus" ama "academic almanac".

Je! Kwa chuo chenye hadhi kama ya SUA hapa nchini kinakosa vitu hivi muhimu kwa wanataaluma wake. Kama huo ndiyo ni ukweli basi kuna shida kubwa sana katika ofisi za Chief Academic Officer na Chief Administration Officer.
Kwanza ulikosea kusema SUA ni chuo chenye hadhi. Hawana! Hawa ni wazembe, hata siyo uhuni. Kuna watu wansema uhuni, hapana! Muhuni anajitambua. Hawa jamaa hawajitambui,

Umeona ni wangapi ktk Afrika? Wote na UD wako hoi. Hawa ndo wasomeshaji wakubwa ktk nchi, ili serikali tuendelee. Utaenmdeleaje wakati watu wanasoma vyuo vilivyokufa-kufa? Sababu kubwa ni uongozi wa kizembe kama hawa wanaozungumziwa. Mtu anafurahi tu kuitwa kiongozi wa chuo, wakati hajui anaongoza nini. Mbaya zaidi anajiamini. RUBBISH!
 
Back
Top Bottom