Live on Jambo Tanzania: Sera Mpya ya Elimu, Mtaala Mpya wa Elimu: Rais Samia apewe Maua -Waziri wa Elimu, Prof. Adolph Mkenda

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,503
113,613
Wanabodi,

Namuangalia Waziri wa Elimu, Prof. Adolph Mkenda akizungumzia hatua za utekelezaji wa sera mpya ya elimu na mtaala mpya wa elimu, kiukweli kabisa Rais Samia apewe maua yake!

Wale wenye access angalieni...

Ukiondoa the landmark ya Baba wa Taifa kutoa bure elimu ya msingi, na JPM kutoa elimu bure mpaka secondary, ni Rais Samia anaacha the biggest landmark kwa elimu ya Tanzania, sasa elimu ya lazima ni mpaka kidato cha 4!

Tanzania ya sasa hakuna tena ile aibu ya mtu kuishia darasa la saba!

Kiukweli kabisa, kwenye hili la sera mpya ya elimu na Mtaala Mpya, wa elimu, Rais Samia Suluhu Hassan apewe maua yake!

Tumuunge mkono Waziri wa Elimu Prof. Mkenda na team yake, tunakwenda kupata Tanzania bora zaidi!

I was dam right kumhusu Samia since the beginning, angalia nilisema nini kumhusu Samia mara tuu baada ya kuingia wakati nilipohojiwa na Sauti ya Ujerumani, DW Radio Pascal Mayalla: Tanzania sasa inajenga Mifumo na sio kujenga watu kama enzi za Hayati Magufuli.

Kujenga kwenyewe mfumo sasa ndio huku!

Paskali
 
Sijaona jipya kwenye huo mtaala kama bado lugha ya kufundishia haijaweka bayana bali ni kubahatisha kati ya Kiswahili na Kingereza!

Ilitakiwa kuwa clear kuwa lugha ya kufundishia iwe kingereza na kiswahili libaki somo tuu!
 
Wanabodi
Namuangalia Waziri wa Elimu, Prof. Adolph Mkenda akizungumzia hatua za utekelezaji wa sera mpya ya elimu na mtaala mpya wa elimu, kiukweli kabisa Rais Samia apewe maua yake!.

Wale wenye access angalieni...

Ukiondoa the landmark ya Baba wa Taifa kutoa bure elimu ya msingi, na JPM kutoa elimu bure mpaka secondary, ni Rais Samia anaacha the biggest landmark kwa elimu ya Tanzania, sasa elimu ya lazima ni mpaka kidato cha 4!.

Tanzania ya sasa hakuna tena ile aibu ya mtu kuishia darasa la saba!.

Kiukweli kabisa, kwenye hili la sera mpya ya elimu na Mtaala Mpya, wa elimu, Rais Samia Suluhu Hassan apewe maua yake!.

Tumuunge mkono Waziri wa Elimu Prof. Mkenda na team yake, tunakwenda kupata Tanzania bora zaidi!.

I was dam right kumhusu Samia since the beginning, angalia nilisema nini kumhusu Samia mara tuu baada ya kuingia wakati nilipohojiwa na Sauti ya Ujerumani, DW Radio Pascal Mayalla: Tanzania sasa inajenga Mifumo na sio kujenga watu kama enzi za Hayati Magufuli

Kujenga kwenyewe mfumo sasa ndio huku!.

Paskali
Tusisahau mitaala yetu ijenge ktk CBET badala knowledge base ktk ngazi ya secondary.
Ktk ngazi ya vyuo yale mambo ya explain ; define nadhani yapunguwe
Kwa mfano vyuo vingi hapa nchini hivi wanajikuta wanakariri badala ufahamu.
Wakati nipo Udsm ktk ngazi ya Msc haya niliyashuhudia
 
Wanabodi
Namuangalia Waziri wa Elimu, Prof. Adolph Mkenda akizungumzia hatua za utekelezaji wa sera mpya ya elimu na mtaala mpya wa elimu, kiukweli kabisa Rais Samia apewe maua yake!.

Wale wenye access angalieni...

Ukiondoa the landmark ya Baba wa Taifa kutoa bure elimu ya msingi, na JPM kutoa elimu bure mpaka secondary, ni Rais Samia anaacha the biggest landmark kwa elimu ya Tanzania, sasa elimu ya lazima ni mpaka kidato cha 4!.

Tanzania ya sasa hakuna tena ile aibu ya mtu kuishia darasa la saba!.

Kiukweli kabisa, kwenye hili la sera mpya ya elimu na Mtaala Mpya, wa elimu, Rais Samia Suluhu Hassan apewe maua yake!.

Tumuunge mkono Waziri wa Elimu Prof. Mkenda na team yake, tunakwenda kupata Tanzania bora zaidi!.

I was dam right kumhusu Samia since the beginning, angalia nilisema nini kumhusu Samia mara tuu baada ya kuingia wakati nilipohojiwa na Sauti ya Ujerumani, DW Radio Pascal Mayalla: Tanzania sasa inajenga Mifumo na sio kujenga watu kama enzi za Hayati Magufuli

Kujenga kwenyewe mfumo sasa ndio huku!.

Paskali
Unajidanganya na kupotosha umma, msingi mkuu kabisa wa kujenga mfumo imara wa taasisi za kuendesha nchi au Serikali ni KATIBA BORA, wala siyo kuunda magenge ya watu wa kumsifia MTEUAJI kama ilivyo hapa Tz na Afrika nzima kwa ujumla. Isitoshe, hiyo Sera Mpya ya Elimu unayoisifia hapa imeletwa/imeanzishwa Tz bila ya kufanya kwanza Utafiti wa Kina na bila Kuushirikisha Umma mpana wa wananchi ili nao watoe mchango wa mawazo yao. Ni kikundi cha watu wachache kimejifungia ndani wakatunga mambo yao na kisha wakatoka nje na kuwatangazia wananchi kwamba Wameandaa Sera bora ya Elimu jambo ambalo siyo kweli.
Public Participation ilihitajika sana ktk mchakato wa uandaaji wa Sera hiyo ya Elimu.
 
Back
Top Bottom