Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,697
- 26,093
Kenya train yao ni 120km/h sidhani kama ni kiwango kikubwa sanaMbona sijaweka tusi lolote! Kama kunatusi samahani inawezekana kiswahili kimekua.
Treni ya SGR Kenya ina mwendo kasi zaidi ya hii yetu, huo ndio ukweli. Huu mpango wa kubadili reli ulipitishwa na Jumuia ya Afrika Mashariki(EAC) kwa sababu nchi zote tatu reli zimeungana.