mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,221
- 4,693
Unakataa wakati mwanvita Makamba amekubali hiyo ishu ni kweli sema anadai wao ndio walitaka kutapeliwa. So acha kabisa kutetea kitu usichokijua.Sauti siyo ya Mtaliano bali ni mtu toka Middle East yaweza kuwa Misri, Myahudi, Mjordani, Mirani, Mpalestina au Mlebanoni. Mtaliano nimekataa kutokana na Accent yake.