Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Uongo mwengine hauna hata mshiko.
Hata kama kuna voice note..watu wanateng.eneza kuchafuana
Bandari ya Bagamoyo inahusu nini Italy.
Mradi ule upo wazi ni katia ya Serikali ya TZ China na Oman funds...na contractor ni wachina wenyewe wanao fadhili....
Uongo mwengine bwana...na watu kwa chuki wanakubali kula ndoana ya uongo.
Basi hata hamutafuti historia ya kujengwa bandari ya bagamoyo?
Sasa huyo mtaliano anahusu nini ? Hata akilini haingIii.
Huyu mwanamke mange ni muongo sana na hupendda kutukana watu na kuchafua watu bure....anafanya hayo akiwa nje ya nchi....
Ni mjuba kweli kweli akianza kutukana basi utafikiri hana vocublary nyengine isipokua matusi.....namna alivo mtukana Hoyce Temu na kumdhalilisha hafai kabisa kushabikiwa...

Huyo muitaliano alijua hayo?? Ye kaambiwa kaka angu mtu mkubwa ukitaka unapata akaamini!! Kumbe kakutana na mapapaa msofee!! Ukimuongela Mange kumbuka hata saa mbovu husema ukweli mara mbili ktk saa 24
 
Yaani kuna mtu mwenye akili timamu anayemuamini huyu mwanamke anayemshauri Wema kutafuta wanae wenye pesa badala ya kumshauri kutafuta pesa zake?

Huyu usikute ana ugomvi au wivu na huyo Mwamvita tu halafu watu wanaingia kichwakichwa

Maana oflate amekuwa mtu wa kutengeneza e-mail na akaunti fake kwenye mitandao na kudanganya watu na hata kutukana watu.

Kiufupi ni Psychiatric huyu haaminiki

Kipindi cha uchaguzi mkuu alkua akitukana watu kwa tuhuma za uongo.Ni mtu wa ovyo ovyo sana
Ben Saanane mzee wa "Bring back our General" 😀😀😀 kumbe upo
 
That's my kaka....katika ubora wako uliotukuka kabisa.
Hata mimi naunga mkono hoja ya Mange kujiunga JF aje ashushe nondo zake huku kwa watu smart sio huko Instagram.
Kiukweli nimeshangaa kuona response ya watu ni ndogo sana tofauti na siku akiandika upuuzi kuhusu Wema comments zinafika hadi 1,000 na zaidi!
Ila leo kaweka issue serious muitikio ni mdogo sana.
Mange njoo JF,ukimaliza hii issue unaweza kuondoka tu sio lazima ubaki huku.
Afanye hivyo... Kule Instagram hatapata attention kubwa, aje hapa ateme kila kitu, wakubwa wengi na vyombo vya usalama vinapita humu kila saa..
 
Voice verification is necessary kuhahakisha ni sauti ya bi makamba, huu ni mchezo rahisi sana kuubuni na kumharibia mtu Jina.

Na ingependenza kama hizo evidence kama ni za kweli azipeleke kwenye Authority husika, na pia nchi husika hiyo kampuni iliposajiliwa , kwani hata kwao kuna sheria za kuwahukumu watoa rushwa. Unless this is a pre planned character assassination.
Kuna watu wanaweza kuiga sauti za watu,mmoja wao ni stev nyerere,hii kitu watu wamekaa wakajirecord kuwachafua wenzao
 
Hawa majamaa wanazan nchi hii wapo wao tu, ila nahisi ile sheria ya mtandao january aliishikia kidedea makusudi kwa ajili ya watu kama hao
Kumbe ndio maana alichelewesha ile form , alafu akapambana kubana mitandao, kajamaa kabaya!!
 
Uongo mwengine hauna hata mshiko.
Hata kama kuna voice note..watu wanateng.eneza kuchafuana
Bandari ya Bagamoyo inahusu nini Italy.
Mradi ule upo wazi ni katia ya Serikali ya TZ China na Oman funds...na contractor ni wachina wenyewe wanao fadhili....
Uongo mwengine bwana...na watu kwa chuki wanakubali kula ndoana ya uongo.
Basi hata hamutafuti historia ya kujengwa bandari ya bagamoyo?
Sasa huyo mtaliano anahusu nini ? Hata akilini haingIii.
Huyu mwanamke mange ni muongo sana na hupendda kutukana watu na kuchafua watu bure....anafanya hayo akiwa nje ya nchi....
Ni mjuba kweli kweli akianza kutukana basi utafikiri hana vocublary nyengine isipokua matusi.....namna alivo mtukana Hoyce Temu na kumdhalilisha hafai kabisa kushabikiwa...
Mkuu naona povu kweli kweli, pole bhana yawezekana nyie ndo wanufaika wenyewe.Muitaliano kapigwa, hau hujasoma vzr nini?? Kwa lugha nyingine unaweza husisha hii issue na utapeli ndani yake.Pole mkuu.
 
Akaunti anayo na ni verified user, lakini kuna huyo mtu anataka kutuaminisha kwamba yeye ndo anatumia akili zaidi kuchambua kwamba voice notes sio za kweli.
Hiyo verified mara ya mwisho ameitumia lini??

Maana yangu ni unaweza ukawa unabishana na January mwenyewe hapa..
 
Mkuu yani hapa JF ndio kipimo tosha cha IQ za wabongo huyu Mange ana stress zake za maisha basi kazi yeye ni kutukana tu mitandaoni na wabongo bila kuyapima wanayabeba kama yalivyo sasa Makamba na Bandari ya Bagamoyo vinahusiana nini? Kama maisha yamemshinda huko ughaibuni arudi tu bongo mbona LE MUTUZ karudi na maisha yanasonga kama kawaida.



Mbona mnaleta utetezi usio na tija kwa taifa letu? Nyie mmejuaje kama hayo aliyopost ni ya uongo? Mmekaa kishabiki tu, issue kama ina maslahi ya nchi tuzungumze ukweli sio mmekaa kuteteatetea tu hapa
 
Voice verification is necessary kuhahakisha ni sauti ya bi makamba, huu ni mchezo rahisi sana kuubuni na kumharibia mtu Jina.

Na ingependenza kama hizo evidence kama ni za kweli azipeleke kwenye Authority husika, na pia nchi husika hiyo kampuni iliposajiliwa , kwani hata kwao kuna sheria za kuwahukumu watoa rushwa. Unless this is a pre planned character assassination.
Na yule mlomweka ndani kule Zanzibar kwa voice clip ambayo sio yake mkamfanyie hiyo voice verification. Mkuki kwa nguruwe si ndio?
 
Mbona mnaleta utetezi usio na tija kwa taifa letu? Nyie mmejuaje kama hayo aliyopost ni ya uongo? Mmekaa kishabiki tu, issue kama ina maslahi ya nchi tuzungumze ukweli sio mmekaa kuteteatetea tu hapa
Mulianza kwa kumfitinisha na Magufuli asipewe uwaziri akawatia kidole sasa mmekimbilia insta[emoji23] [emoji23]
 
huyu juzi si alisema kuwa serikali iliyopita ilikuwa inawabeba sana, duu
 
Back
Top Bottom