Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Kuna vitu kama ni kiongozi makini,allegations nzito kama hizi,zikikugusa tu,huitaji mamlaka ya uteuzi kukuchukulia hatua,ni kukaa pembeni kupisha uchunguzwe wewe na dada yako pamoja na huyo mliyemlia chake. Ndio maana Mwamvita anaona Tanzania hakuna sehemu nzuri ya kuishi kama hotels ambazo amekuwa akibadisha kulala
Ila wafanye Vyote Pesa ya mtaliano huwa hailiki kirahisi yani watainya hiyo mtaliano hatapeliwi
 
Uongo mwengine hauna hata mshiko.
Hata kama kuna voice note..watu wanateng.eneza kuchafuana
Bandari ya Bagamoyo inahusu nini Italy.
Mradi ule upo wazi ni katia ya Serikali ya TZ China na Oman funds...na contractor ni wachina wenyewe wanao fadhili....
Uongo mwengine bwana...na watu kwa chuki wanakubali kula ndoana ya uongo.
Basi hata hamutafuti historia ya kujengwa bandari ya bagamoyo?
Sasa huyo mtaliano anahusu nini ? Hata akilini haingIii.
Huyu mwanamke mange ni muongo sana na hupendda kutukana watu na kuchafua watu bure....anafanya hayo akiwa nje ya nchi....
Ni mjuba kweli kweli akianza kutukana basi utafikiri hana vocublary nyengine isipokua matusi.....namna alivo mtukana Hoyce Temu na kumdhalilisha hafai kabisa kushabikiwa...
Wewe unadhani kina Ustadhi Juma na Musoma, papaa msofe, chief kiumbe nk wanaishi vipi mjini?
Ni vitu hivihivi ambavyo havina connection mtu anapigwa navyo sound anawapa watu utajiri wa kuosha magari yao kwa champagne na kuyapangusa kwa dola.
Kwani hii ndo habari ya kwanza ya huyu dogo na dada yake kumuelewesha mzungu na kupiga fungu?
 
Kikubwa ninachoshindwa kuelewa kwenye hili ni inakuaje watu waliokua wakimtukana Mange wakimuita hana akili, wakimtukana kila aina ya tusi chini ya jua hili leo wanamuona kua ni mtu jasiri anaetetea nchi na mwenye upendo wa dhati? Miezi michahe mlikua mkimtukana kwa vile tu alikua akiandika ubaya wa upande wao, lakini leo kwa vile anaandika mabaya ya upande mwingine, mabaya ya mtu wasiye mpenda, mtu wanayeona anawanyima riziki basi watamsifu Mange kwa mapambi na shangwe za kila aina. Nadhani wewe unaeshabikia wakati ulikua ukimdharau upimwe akili, usimuamini muongo hata akisema ukweli.
Don't judge the messenger judge the message
 
Mbona alivyokuwa anamtukana Lowassa kipindi cha Kampeni mlikuwa mnamwita Jembe na mpaka zawadi mkamtumia??? Leo amekuwa mbaya tena??
Wapi niliwahi kumuita jembe???
Hebu acha kukurupukia watu
 
Uongo mwengine hauna hata mshiko.
Hata kama kuna voice note..watu wanateng.eneza kuchafuana
Bandari ya Bagamoyo inahusu nini Italy.
Mradi ule upo wazi ni katia ya Serikali ya TZ China na Oman funds...na contractor ni wachina wenyewe wanao fadhili....
Uongo mwengine bwana...na watu kwa chuki wanakubali kula ndoana ya uongo.
Basi hata hamutafuti historia ya kujengwa bandari ya bagamoyo?
Sasa huyo mtaliano anahusu nini ? Hata akilini haingIii.
Huyu mwanamke mange ni muongo sana na hupendda kutukana watu na kuchafua watu bure....anafanya hayo akiwa nje ya nchi....
Ni mjuba kweli kweli akianza kutukana basi utafikiri hana vocublary nyengine isipokua matusi.....namna alivo mtukana Hoyce Temu na kumdhalilisha hafai kabisa kushabikiwa...
Mkuu , kinachokufanya useme kwamba huu ni uongo kutoka kwa dada Kimambi ni nini? Ni kwamba kwasababu unawafahamu January na Mwamvita vizuri au ni kwasababu dada Kimambi amewahi wadharirisha wengine huku kwenye mitandao ? Kwanini usiache nafasi ya January na dada yake watoke kupinga kwamba sio kweli na hizo voice notes sio sauti ya dada wa January kwa maslahi ya taifa? Tujifunze kuwa na objective views kwenye mada zinazogusa maslahi ya taifa
 
Uongo mwengine hauna hata mshiko.
Hata kama kuna voice note..watu wanateng.eneza kuchafuana
Bandari ya Bagamoyo inahusu nini Italy.
Mradi ule upo wazi ni katia ya Serikali ya TZ China na Oman funds...na contractor ni wachina wenyewe wanao fadhili....
Uongo mwengine bwana...na watu kwa chuki wanakubali kula ndoana ya uongo.
Basi hata hamutafuti historia ya kujengwa bandari ya bagamoyo?
Sasa huyo mtaliano anahusu nini ? Hata akilini haingIii.
Huyu mwanamke mange ni muongo sana na hupendda kutukana watu na kuchafua watu bure....anafanya hayo akiwa nje ya nchi....
Ni mjuba kweli kweli akianza kutukana basi utafikiri hana vocublary nyengine isipokua matusi.....namna alivo mtukana Hoyce Temu na kumdhalilisha hafai kabisa kushabikiwa...
Mkuu, wabongo wengi wanapenda umbea, hawafikirii wala hawachuji, wanameza hivyo hivyo.
 
Hahahahaa ujue hadi nimecheka tu.
Lowassa ataendelea 'kurock' akili mwako hadi siku unaingia kaburini.
HAINA TATIZO, Kurock ON THE SIDELINE!I will happily enter my grave as long as he rocks on the sideline.
 
Hauwezi kujudge kwa clips za kukata kata. Hatuwekee mtiririko mzima hapa JF ndio tuweze kujudge.

Hii hauwezi kujua alikuwa anaongelea hayo katika mazingira gani. Kwa mfano, mimi naweza kuongelea umuhimu wa kujenga Bagamoyo Port mtu anaweza kuchukua sehemu ambayo nimesema "Bagamoyo Port" akatengeneza maneno yake ya ufisadi akaunganisha na sehemu yangu niliyosema Bagamoyo Port.

Sijasema kwamba hizi clips sio za kweli bali tunaitaji mtiririko.
Mkuu hizo Clip zimetolewa Instagram na Instagram urefu wa video au sound clip unayoruhusiwa kuweka maximum ni sekunde 15 tu.. Ndio maana huyu binti kaikata kata hivo... Cha msingi ni kumuomba huyu dada kuliko kuendelea kutema hizi dondo kule Instagram ambako kuna watoto wa shule wasioelewa chochote aje hapa JF apewe special thread ashushe mauchafu yote pamoja na hizo e-mail kazi ibaki kwa wasafishaji kusafisha uchafu...

Mpaka sasa nimeshapata vijana 17 kati ya wale 46...
 
kWA NIGERIA UMENOWA,HAWANA LAFUDHI YA HIVYO.hUYO NI MUITALIANO KABISA?YAP SAUTI NYINGINE NI SIMU NI KWELI KABISA?MAANA WALIKUWA WANAWASILIANA KWA SIMU NA MZUNGU NDO AKAREKODI
Baelezeee tatooooo!
 
Mimi nakafahamu haka kasichana kanachoitwa mange hana Tofauti Sana na wema Seputu kwenye kusaka mabwana isitoshe hii ishu sio ya kuijadili hapa sisi Kama intellectual wenye kujua wivu wa kike huyu dada sio Mara ya kwanza amekuwa akituhumu watu na kulipwa ujira katika skendo anazopewa na hili jambo amekuwa akilifanya kwa mazoea kutoka kwa watu mbalimbali hapa town Kama anaoushahidi huyu mzungu aende staright kufungua kesi sio kupika hujuma zisizokuwa na msingi!
 
Yaani kuna mtu mwenye akili timamu anayemuamini huyu mwanamke anayemshauri Wema kutafuta wanae wenye pesa badala ya kumshauri kutafuta pesa zake?

Huyu usikute ana ugomvi au wivu na huyo Mwamvita tu halafu watu wanaingia kichwakichwa

Maana oflate amekuwa mtu wa kutengeneza e-mail na akaunti fake kwenye mitandao na kudanganya watu na hata kutukana watu.

Kiufupi ni Psychiatric huyu haaminiki

Kipindi cha uchaguzi mkuu alkua akitukana watu kwa tuhuma za uongo.Ni mtu wa ovyo ovyo sana
Mkuu, hadi wewe? Tangu lini umeanza kushambulia mtu badala ya kuongelea haja anayoileta?
 
Bado sijamwamini huyu Mange. Aongeze evidences zibazoweza kushawishi then tuendelee. Muda bado upo.
 
Mimi nakafahamu haka kasichana kanachoitwa mange hana Tofauti Sana na wema Seputu kwenye kusaka mabwana isitoshe hii ishu sio ya kuijadili hapa sisi Kama intellectual wenye kujua wivu wa kike huyu dada sio Mara ya kwanza amekuwa akituhumu watu na kulipwa ujira katika skendo anazopewa na hili jambo amekuwa akilifanya kwa mazoea kutoka kwa watu mbalimbali hapa town Kama anaoushahidi huyu mzungu aende staright kufungua kesi sio kupika hujuma zisizokuwa na msingi!
Hivi unaweza kwenda kushtaki umedhulumiwa bangi?? Kwa hiyo kumbe mlilipa kutukana wagombea wa Ukawa?? Kipindi hicho mlimuita jembe!! Ukifuga hayawani usipomlisha iko siku atakula mwanao!! Mlitengeneza mahayawani vumilieni
 
Hata voice note zinatengenezwa la msingi hapa tutafute ukweli
 
Mkuu hizo Clip zimetolewa Instagram na Instagram urefu wa video au sound clip unayoruhusiwa kuweka maximum ni sekunde 15 tu.. Ndio maana huyu binti kaikata kata hivo... Cha msingi ni kumuomba huyu dada kuliko kuendelea kutema hizi dondo kule Instagram ambako kuna watoto wa shule wasioelewa chochote aje hapa JF apewe special thread ashushe mauchafu yote pamoja na hizo e-mail kazi ibaki kwa wasafishaji kusafisha uchafu...

Mpaka sasa nimeshapata vijana 17 kati ya wale 46...
That's my kaka....katika ubora wako uliotukuka kabisa.
Hata mimi naunga mkono hoja ya Mange kujiunga JF aje ashushe nondo zake huku kwa watu smart sio huko Instagram.
Kiukweli nimeshangaa kuona response ya watu ni ndogo sana tofauti na siku akiandika upuuzi kuhusu Wema comments zinafika hadi 1,000 na zaidi!
Ila leo kaweka issue serious muitikio ni mdogo sana.
Mange njoo JF,ukimaliza hii issue unaweza kuondoka tu sio lazima ubaki huku.
 
Back
Top Bottom