Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,626
- 4,326
Duh..natetemeka.
January hapendwi na wengi! Mimi mmoja wao
Ndio ,ila tushukuru hilo bifu ndo limemtuma amwanike pia,maana wangekuwa friends,hata angepata hizo nyeti habari za rushwa kuhusu Makambas asingewaanika.Thanks to the bifu laoJanuary alijua atakua Rais so alijiandaa kitambo ili mitandao isimwanike na alifanikiwa, ila nazan pia kuna bifu kati ya mange na mwamvita. Kuna bosi wangu flan aliniambia mtu akija kumsemea flan cha kwanza chunguza uhusiano wao huyo msemaji na msemewa
Kama ushahidi umewekwa amtaje ili iwe nini,hayo mambo ndiyo hatuyataki,vyombo vyetu vifanye kazi,mtu anatoa taarifa badala ya wahusika kufanyia kazi munataka mtoa taarifa afanye kazi ya vyombo vya usalama wakati dondoo ametoa.wahusika wanalipwa mshahara kwa kazi gani,mafunzo waliyopata yamewasaidia niniAweke more evidences na amtaje huyo aliyemwambia kuhusu uchafu wa makamba. Sio kuchafuana bali haki itendeke.
Time will tell...kila kitu huanza na tetesi na waitaliano wana tabia za ku rekodi kila kitu BTW mwamvita na kakaake wana hizi tabiaOh my God...hii kitu ina ukweli wakuu??
Mimi nampenda kama kaka, lakini sio kama kiongozi.January hapendwi na wengi! Mimi mmoja wao
Duh,shkamoo mange...najua atacheza vizuri kwenye part yake kuwamaliza maaduiHizo ni mojawapo ya audio clips