Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

mpaka sasa mwanadada mange kule mtandao wa insta anapost clip na picha mbalimbali za ushahidi wa jinsi mwanadada mwamvita anavyotafuta watu wenye pesa na kuwaunga na kaka ake watoe hongo wapate dili serikalini. kuna muitaliano anadai usd 1million baada ya kuahidiwa dili la kujenga bandari ya bagamoyo
picha na sauti nashindwa upload

Bandari nyingine tena mbona mchina alishakabiziwa bado wanatafuta tenda?
 
Hiyo verified mara ya mwisho ameitumia lini??

Maana yangu ni unaweza ukawa unabishana na January mwenyewe hapa..
Nimekusoma chief, Asante. Kuna watu humu JF wanafikiri kwamba wao ndo wana authentic views na akili za kuchambua ukweli na uongo. Tujadili maada iliyoletwa bila kua na upande wowote, mbivu na mbichi.uwazi na ukweli unajengwa kwa mijadala huru.
 
Hiyo accent labda mwafrika mwenye uraia wa Italy
Kwani hakuna wazungu wazawa wa Afrika wenye Afrikan accent? Tuangalieni kule South kuna wazungu wanaongea English with accent ya Xhosa na Shona
 
Nafungua inasema can't open no download system gan ifunguke Jarman
 
Wewe upo kwenye group gani sasa??

La wala nchi au group la vijana 46 buku 7 kutoka Lumumba??
Ni mwanacha wa kawaida mwenye mrengo wa Tanzania kwanza.....kwa hisani ya mtanzania....!!
 
Msisahau pia duniani kuna watu walizaliwa kwa ajili ya kupinga tu. Wao hawataki logic hawatak evidence hawataki chochote wanataka kupnga tu. wako tayari kuugeza ukwel kuwa uongo ama uongo kuwa kwel kwa ajl ya kupnga
 
Kwa CCM, ukishatangaza kuutaka URAIS lazima ujiandae kwa haya; Iwe ulifanya ama la. Hawa kina Mange wanatumika na hao waliojificha nyuma. Kazi kweli kweli CCM, pole Makamba. Ukimtumikia kafiri, tegemea kufanyiwa ukafiri na wewe!
 
Nauliza tu hivi wale vijana wake 46 wapo? Maana naona humu hawazidi hata 6. Pls makatani Waite vijana waje watetee Magufuri asije akakutumbua bila ganzi. Au ndio chama kinanuka madeni hata posho hawapati siku hizi? Nchi imeoza kila mahali. Eti ndiye alikuwa analilia uwaziri Mkuu!!
 
Mkuu ficha ujinga wako. Aibu kutetea mambo ya hovyo.
 
Ni mwanacha wa kawaida mwenye mrengo wa Tanzania kwanza.....kwa hisani ya mtanzania....!!
Mwanachama wa kundi la wapuuzi 46... Ndio maana umekimbia hapa kutetea mwanaume mwenzako..

Wala nchi nyuzi kama hizi hautawaona... Hawa akina Barbarosa ndio wanakula nchi, na kamwe kwenye thread za kuteteana kama hizi huwezi kuwakuta.. Nyie mburula mnaotumwa kwa ujira hapa leo mtakesha kutetea..
 
[QUjingalao, post: 15483887, member: 56995"]Mbona lowassa aliwafaa huko Chadema..
chungeni kauli zenu[/QUOTE]
We jamaa Wa hovyo kweli, unaleta uchama hata mambo ya kitaifa.
 
Mimi sishangazwi na kubainika kwa Makamba kuwa mpiga dili ikulu. Sishangazwi kwa sababu yeye amekuwa akijigamba kuwa ana uzoefu wa muda mrefu ikulu. Tukumbuke kuwa awamu zote mbili: za Mkapa na Kikwete zilisheheni wapiga dili.
 
Back
Top Bottom